Odinga atangaza maandamano ya kishindo ya kuwang'oa majaji wa mahakama kuu asema mahakama ilifanya ujambazi na ujinga

Odinga atangaza maandamano ya kishindo ya kuwang'oa majaji wa mahakama kuu asema mahakama ilifanya ujambazi na ujinga

Ruto kashaapa na uhuru jamaako alikuwepo mzee kubali tu yaishee
 
Mwenzako kashindwa uchaguzi kaenda Zanzibar kucheza na Kobe wewe mwananchi wa kawaida unaingia barabarani kuandamana unachezea Rungu za kutosha😁
 
Niliandika humu kuwa utulivu wa Kenya unamtegemea sana huyu mzee.
Akiwatulizaga watu wake hawafanyi lolote
Na Ruto, akifanya makosa, ya kumpuuza kabisa , na akashindwa kukidhi mategemeo ya wakenya waliyonayo kwake, ataongoza nchi kwa shida sana!!bora kenyata alijionea mbali, ili amalize muda wake vizuri ni bora uzungumze naye na akafanikiwa.Kwani ukweli utabakia pale pale kuwa Odinga ana wafuasi wenhi sana.
 
Mzee Odinga alishasema ataheshimu uamuzi wa mahakama japo hakubaliani nao....ina maana kabadili kauli?
MK254
 
Kabla hajaanza hayo maandamano ajiulize kwanza ni roho gani iko upande wa Ruto na ni roho gani iko upande wake yasije kumpata yaliyowapata Amaleki

KUTOKA 17: 13-16
13 Yoshua akawaangamiza Amaleki na watu wake kwa ukali wa upanga.
14 Bwana akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.
15 Musa akajenga madhabahu, akaiita jina lake Yehova-nisi;
16 akasema, Bwana ameapa; Bwana atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.
Hili la siasa na dini ndilo analolalamikiwa Rutto,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Na Ruto, akifanya makosa, ya kumpuuza kabisa , na akashindwa kukidhi mategemeo ya wakenya waliyonayo kwake, ataongoza nchi kwa shida sana!!bora kenyata alijionea mbali, ili amalize muda wake vizuri ni bora uzungumze naye na akafanikiwa.Kwani ukweli utabakia pale pale kuwa Odinga ana wafuasi wenhi sana.

Sasa kwa nini alianguka kwenye uchaguzi!?
 
Back
Top Bottom