Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Ruto, akifanya makosa, ya kumpuuza kabisa , na akashindwa kukidhi mategemeo ya wakenya waliyonayo kwake, ataongoza nchi kwa shida sana!!bora kenyata alijionea mbali, ili amalize muda wake vizuri ni bora uzungumze naye na akafanikiwa.Kwani ukweli utabakia pale pale kuwa Odinga ana wafuasi wenhi sana.Niliandika humu kuwa utulivu wa Kenya unamtegemea sana huyu mzee.
Akiwatulizaga watu wake hawafanyi lolote
Hahahaa. Mjanja sana huyo Mzee kumbe anakaza akiwa ana kitu amelenga.Hapo anatafuta huruma ya maridhiano apewe kajinafasi alambe asali yake
Hili la siasa na dini ndilo analolalamikiwa Rutto,Kabla hajaanza hayo maandamano ajiulize kwanza ni roho gani iko upande wa Ruto na ni roho gani iko upande wake yasije kumpata yaliyowapata Amaleki
KUTOKA 17: 13-16
13 Yoshua akawaangamiza Amaleki na watu wake kwa ukali wa upanga.
14 Bwana akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.
15 Musa akajenga madhabahu, akaiita jina lake Yehova-nisi;
16 akasema, Bwana ameapa; Bwana atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.
Hili la siasa na dini ndilo analolalamikiwa Rutto,
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya Raila Odinga amerejea nchini humo akitokea Zanzibar
Raila amesema hakubaliani na uamuzi wa mahakama kushikilia ushindi wa Ruto na kusema mahakama ilifanya ujambazi na uamuzi wa kijinga
Amesema watafanya maandamano ya watu milioni kuelekea mahakama kuu kuwaondoa majaji kwani ni haki yao
View attachment 2357918
View attachment 2357917
View attachment 2357916
Hili la siasa na dini ndilo analolalamikiwa Rutto,
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Asali si mchezo hamna asietaka kuilamba 😀Hahahaa. Mjanja sana huyo Mzee kumbe anakaza akiwa ana kitu amelenga.
Haya Swahiba wacha tusubiri tuone.
Na Ruto, akifanya makosa, ya kumpuuza kabisa , na akashindwa kukidhi mategemeo ya wakenya waliyonayo kwake, ataongoza nchi kwa shida sana!!bora kenyata alijionea mbali, ili amalize muda wake vizuri ni bora uzungumze naye na akafanikiwa.Kwani ukweli utabakia pale pale kuwa Odinga ana wafuasi wenhi sana.
Kwa ruto hakuna handshake...ruto kauzuuuHahahaa. Mjanja sana huyo Mzee kumbe anakaza akiwa ana kitu amelenga.
Haya Swahiba wacha tusubiri tuone.
Hivyo hajajua kama anacheza pata potea eeh.Kwa ruto hakuna handshake...ruto kauzuuu
🤣🤣🤣 Noma sana.Asali si mchezo hamna asietaka kuilamba 😀