Odinga kurejea barabarani Mei 2

Odinga kurejea barabarani Mei 2

Unachokiota halitatokea chini ya serikali imara ya CCM. Kama unaona rahisi jaribu ku-organize maandamani uone kitakachokukuta. Huu ushujaa wa kuandika mitandaoni hata mtoto wa darasa la tatu anaweza.

Itunze post yako hiyo kwa matumizi ya baadaye.
 
Ulichukia sana akati niki kwambia hapa kwetu bado hatuna upinzani imara...🤣
Upinzani unataka mtu mmoja tu mahiri kwenye usukani. Kina Nyerere, Mandela, Seif au kina Raila hawakuwa wengi kwa idadi.
 
Back
Top Bottom