Ofa ya bia unakunywa unachotaka ukilewa sikubebi

Ofa ya bia unakunywa unachotaka ukilewa sikubebi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow Africans,

Mimi siyo mchoyo bhana, leo nataka nimtoe mtu out yeyote twende Wavuvi Kemp pale tukanyweee mpaka uchoke wewe. Muhimu uwe na vibe, usiwe mpolee kama msabato no, pale ni kwenda kunywa, kulewa na kusaza.

Bill ikizidi uwezo wangu nakuachia bili yako, muhimu unywe kistaarabu. Location Wavuvi Kemp.
 
Hellow african

Mimi siyo mchoyo bhna leo nataka nimtoe mtu out yeyote twende wavuvi kemp pale tukanyweee mpaka uchoke wewe muhimu uwe na vibe usi mpolee kama msabato no pale ni kwenda kunywa kulewa na kusazaa

Bill ikizidi uwezo wangu nakuachia bili yako muhimu unywe kistaarabu location wavuvi kemp
Hiyo pesa yako ndogo kwanini usiwanunulie chakula watoto Yatima ukapata thawabu je wajua yawezekana leo. Ndo siku yako ya mwisho kupumua ?
 
Back
Top Bottom