Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Au kijana bora sisi tunashindia uji ila mida ya wanga tunatembeza vyupa vya kibabe HennessyWhy mabint wakati kuna majaa maazetu hapa hawana hela ya kula Binadamu Mtakatifu na Gily kila siku wanashindia uji wa ugali
Wewe mwenye afadhali unakula wali na dagaa wa kigoma usiku uko kilabuni unachoma maini nan wa kusaidiwa?
Anyway mm nikisaidiwa kazi inatosha