Ofa ya bia unakunywa unachotaka ukilewa sikubebi

Ofa ya bia unakunywa unachotaka ukilewa sikubebi

Why mabint wakati kuna majaa maazetu hapa hawana hela ya kula Binadamu Mtakatifu na Gily kila siku wanashindia uji wa ugali
Au kijana bora sisi tunashindia uji ila mida ya wanga tunatembeza vyupa vya kibabe Hennessy
Wewe mwenye afadhali unakula wali na dagaa wa kigoma usiku uko kilabuni unachoma maini nan wa kusaidiwa?
Anyway mm nikisaidiwa kazi inatosha
 
Au kijana bora sisi tunashindia uji ila mida ya wanga tunatembeza vyupa vya kibabe Hennessy
Wewe mwenye afadhali unakula wali na dagaa wa kigoma usiku uko kilabuni unachoma maini nan wa kusaidiwa?
Anyway mm nikisaidiwa kazi inatosha
Ahahahha ivi ujue Gily ni meneja wa tazara why asikupe mchongo sema uyi mchaga ana roho mbaya
 
Back
Top Bottom