Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Sawa sawa🤗Usihofu nitakupa location safi kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa🤗Usihofu nitakupa location safi kabisa!
Piga block kama mie nimemuagnoreNitakutukana ujue nitolee uchoro wako ase
Sema huyu kijana Johnnie Walker haeleweki angekupa kampani😅Sawa sawa🤗
Kuna watu wajinga sanaHellow African
Mimi siyo mchoyo bhna leo nataka nimtoe mtu out yeyote twende wavuvi kemp pale tukanyweee mpaka uchoke wewe muhimu uwe na vibe usi mpolee kama msabato no pale ni kwenda kunywa kulewa na kusazaa
Bill ikizidi uwezo wangu nakuachia bili yako muhimu unywe kistaarabu location wavuvi kemp
Aah huyu ambaye hata gari anaazima, aki sina imani nae kabisa 🤣Sema huyu kijana Johnnie Walker haeleweki angekupa kampani😅
😅😅😅😅 wahuni sio binadamuHellow African
Mimi siyo mchoyo bhna leo nataka nimtoe mtu out yeyote twende wavuvi kemp pale tukanyweee mpaka uchoke wewe muhimu uwe na vibe usi mpolee kama msabato no pale ni kwenda kunywa kulewa na kusazaa
Bill ikizidi uwezo wangu nakuachia bili yako muhimu unywe kistaarabu location wavuvi kemp
🤣🤣 kazi ya uchawa unaiweza vizuri?Hahaah naona hutaki niishi kabisa bora nifie kifuani sio uvunguni mwa roli
Ndiyooo papa gily boss pekeee rais wa wananjf, kijana wa watu, mchaga wa kwanza kumiliki rafudhi ya America na meni meupe pee🤣🤣 kazi ya uchawa unaiweza vizuri?
🤣🤣🤣🤣🤣Ndiyooo papa gily boss pekeee rais wa wananjf, kijana wa watu, mchaga wa kwanza kumiliki rafudhi ya America na meni meupe pee
Mshahara shngap
Sina, mkuu sasa hv ukitegemea sehemu moja unakufa vby🤣🤣🤣🤣🤣
Mshahara wa uchawa ni kula makombo ya boss. Sasa nikila demu baadae nakuachie wewe😀
Unataka kushika mawili hujamaliza chuo unataka kaz. Huna mkopo?
Dah kilichobaki kujiua tu hapo😀Sina, mkuu sasa hv ukitegemea sehemu moja unakufa vby
Kesho nachukua roba naanza safisha mazingiraDah kilichobaki kujiua tu hapo😀
wapa ofaa😅😅😅😅 wahuni sio binadamu
Tutafisirie na sisi latatu C Ili na sisi tuelewe......Nonsense on it's best line,
👉It's too much pain and it's hurts
Ask your self what you did and gained
Since you came to earth,
Are you making it better or worse
Or the nature is making a comeback and it's reclaiming it's stuff🤔🤔
I mean no malice to nobodyTutafisirie na sisi latatu C Ili na sisi tuelewe......
Mimi sijui english mkaliman hayupo leoNonsense on it's best line,
👉It's too much pain and it's hurts
Ask your self what you did and gained
Since you came to earth,
Are you making it better or worse
Or the nature is making a comeback and it's reclaiming it's stuff🤔🤔