Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hiyo pesa yako ndogo kwanini usiwanunulie chakula watoto Yatima ukapata thawabu je wajua yawezekana leo. Ndo siku yako ya mwisho kupumua ?Hellow african
Mimi siyo mchoyo bhna leo nataka nimtoe mtu out yeyote twende wavuvi kemp pale tukanyweee mpaka uchoke wewe muhimu uwe na vibe usi mpolee kama msabato no pale ni kwenda kunywa kulewa na kusazaa
Bill ikizidi uwezo wangu nakuachia bili yako muhimu unywe kistaarabu location wavuvi kemp
Mkuu acha kutishiana ukitoa ww sadaka si inatosha embu pita hukuHiyo pesa yako ndogo kwanini usiwanunulie chakula watoto Yatima ukapata thawabu je wajua yawezekana leo. Ndo siku yako ya mwisho kupumua ?
Nitakutukana ujue nitolee uchoro wako aseSio kutishana sioni Kama utafika Kesho endapo usipotubu na kujiandaa kwa safari yako ya mwisho
๐๐๐Hahaha wapi tunafurahisha gengeBro kumbe upo vizuri[emoji23]
Leo uje na nauli yako sikupi lift sikuile ulifanya mpaka tukapata ajari kidimbwiMkuu nitafika hapo ile mida ya new shift
Unaleta utani kwenye vitu serious mzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha wapi tunafurahisha genge
AiseeMkuu mtumie na maza yako pesa kidogo jana nilionana naye alikuwa anasema maisha magumu.
Kijana mchovu huyu ataenda kukununulia maji makubwa tu[emoji23]Kijana atakua kaokota hela leo si bure [emoji23]
Sijui niende kupata ofa, maana nina kiuu
Ahahah kwahiyo unataka kuja wavuviUnaleta utani kwenye vitu serious mzee [emoji23]
Ahahahh sio kwa mama yangu hana shida ndogo ndogoMkuu mtumie na maza yako pesa kidogo jana nilionana naye alikuwa anasema maisha magumu.
๐๐๐jiandae chap nakupitia na gar imejaaa full tankKijana atakua kaokota hela leo si bure ๐
Sijui niende kupata ofa, maana nina kiuu
HAa haaa haa usijal mkiuuLeo uje na nauli yako sikupi lift sikuile ulifanya mpaka tukapata ajari kidimbwi