Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
Ukishaaza kuitikia ivyo soon unakuwa mmbeyaAisee
πππ we kijana ujue nakulisha wewKijana mchovu huyu ataenda kukununulia maji makubwa tu[emoji23]
Jamaa anajaribu na bora umemkanya mapema anaweza fanikisha Kukuudhi,,,ukaharibu swaumu,,,na Autini Yako ya Wavuvi kempu!!!Nitakutukana ujue nitolee uchoro wako ase
Ukuje chap sanaHAa haaa haa usijal mkiuu
Ndo wapi kwanza[emoji23]Ahahah kwahiyo unataka kuja wavuvi
Niko hapa magomeni nipitie bestπππjiandae chap nakupitia na gar imejaaa full tank
NB gari ya watu tukiangusha gari tunasaidiana kulipa
Yaani nitakuja kumuanzishia uzi huku mbona πKijana mchovu huyu ataenda kukununulia maji makubwa tu[emoji23]
o siri mkuu huyu kivurugeJamaa anajaribu na bora umemkanya mapema anaweza fanikisha Kukuudhi,,,ukaharibu swaumu,,,na Autini Yako ya Wavuvi kempu!!!
Usije utapotea kule kwaza utasahau na njia ya kwnu πππNdo wapi kwanza[emoji23]
πππ ngoja nile muhimu uwe umeshiba tu ugali na mrendaNiko hapa magomeni nipitie best
Hahaa tukiangusha tunaitelekeza
Mi niko mbeya huku [emoji23]Usije utapotea kule kwaza utasahau na njia ya kwnu [emoji23][emoji23][emoji23]
Si nitaibika mimi last bornπYaani nitakuja kumuanzishia uzi huku mbona π
enda soweto ukatembee kidogoMi niko mbeya huku [emoji23]
Tunazururaga si unajua wanachuo[emoji23]N
enda soweto ukatembee kidogo
Why mabint wakati kuna majaa maazetu hapa hawana hela ya kula Binadamu Mtakatifu na Gily kila siku wanashindia uji wa ugalijuzi niliwatumia mabinti 5 wa yanga afu 10 kuwapooza machungu ya kufungwa hapahapa jf
Nawajua hapo mwanjelwa yote umeimaliza ukija mwakani niambie nikupeleke kwenye nyumba ya bab yetu pale mbalizi ukawe menejaTunazururaga si unajua wanachuo[emoji23]
mabinti walinigusa zaidi kwa wakati huo nduguWhy mabint wakati kuna majaa maazetu hapa hawana hela ya kula Binadamu Mtakatifu na Gily kila siku wanashindia uji wa ugali
Aisee nenda πKijana atakua kaokota hela leo si bure π
Sijui niende kupata ofa, maana nina kiuu
Wacha niende kuenjoy na venye long weekend ishaanzaAisee nenda π