X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #21
kuna mmoja nachat nae kwa meseji ila haingiliki kaka...nimemwambia anisaidie ananiambia vigezo tu ndio vitakavyo nibeba..nielekeze jinsi ya kumpanga labda mimi nakosea...Hapo mtaani kwenu kama Kuna mkubwa yoyote mtumie huyo kupata nafasi,utumishi wa umma wa nchi hii ni WA upendeleo na kujuana sana,Mimi nilikosa nafasi ya jeshi kutokana na upendeleo mwaka 2002,sasa kama Hari ilikuwa ngumu miaka 20 iliyopita,leo itakuwaje?
Tafuta watu,connections hao watakuweka sehemu nzuri
asante kwa ushauri nitaufanyia kaziUkianza kuomba na ukiwa na umri wa miaka 18 ndani ya miaka 12 inamaana una 30 sasa hivi
Polisi mwisho miaka 26 kama hujafika degree, kama una degree na masters ni 28
USHAURI: Uza kiwanja fungua kampuni ya ulinzi chukua wanamgambo waajiri. Wewe utakuwa mkurugenzi
MWISHO: unachokifanya ni RUSHWA mpaka hapo umejitoa ktk vigezo vya kuwa polisi
ivi sasa nina miaka 26...ila kwenye sekta hizo mchawi ni refa tu.....yupo mtu namjua aliingia akiwa na miaka 32....wala hakubadirisha cheti....tena aliingia na elimu ya darasa la saba...enzi za marehe Matanga...dah....mwenyezi Mungu amlaze mahala pema pepo...siajabu hivi sasa na mimi ningekuwa askari...Matanga Mbushi ninaamini umepewa ukilanja huko peponi ulikuwa na roho nzuri sana BABAUmetafuta zaidi ya miaka kumi na mbili.18 +12=30 kule ni miaka 26 kwenda chini muraaaa kachonge cheti cha kuzariwaa kwanza.
sina wa kumpima nina uhitaji kweliUnawapima watu siyo?
nashukuru asante...wazo lako nitalifanyia kaziHuyo anayeomba kazi ya upolisi bora aendelee kusota kitaa dawa imuingie kisawasawa
ndio na mara zote nimekosa...last time nilipata namba za aliekuwa mkuu wa chuo cha polisi enzi hizo..marehemu Matanga Mbushi...akaniambia mwanangu jiandae mwakani utaaingia...huo mwakani ukawa mwaka wa shetani 2015...na yeye akahamishwa...miaka 2 baadae nikasikia amefariki....iliniuma ndoto zangu zikawa zimefifia...Kaka upolisi umeutafuta miaka nane??
kitunda...dar es salaam....picha unayo iona hapo juu ndio muonekano harisi wa hicho kiwanjaKiwanja kiko wapi?
Viwanja vyote ni vizuri ila si kila kiwanja ni kizuri kwa kila mtu.
Kuna viwanja hata bure huwezi chukua
Wewe Mkurya hii kazi itakufaa.kitunda...dar es salaam....picha unayo iona hapo juu ndio muonekano harisi wa hicho kiwanja
sio rushwa ... ni zawadiUnatoa rushwa
nipiganishie na mimi mkuu....nimezihangaikia sana hizo nafasi bila mafanikioMimi Kuna muda nilishinda mashindano ya Isha ya Polisi jamii... Nikatumiwa barua kutoka was IGP kwamba nikihitaji kujiunga na Polisi nitapewa kipaumbele.
Nilitoboa kirahisi saana hamna interview Wala nini. Naonyesha barua tu naambiwa nyie tuna maelekezo yenu mtakuja siku ya kuondoka tu.
Miaka 19 Sasa nshakuwa OC FFU. [emoji41]
kwa haraka haraka mteja hawezi kupatikanaWewe Mkurya hii kazi itakufaa.
Kiuze upate milioni 5, milioni 2 unahonga na milioni 3 utaitumia wewe mwenyewe kwa matumizi yako
asante kwa ushauri wako...nitaufanyia kaziHicho kiwanja unachotaka kuhonga utakirudisha kwa miaka mingapi kwa kutegemea mshahara wa polisi? Hautegemei kuumiza wengine ili ufanikiwe haraka?
Uza hicho kiwanja ufanye uwekezaji wowote huku ukitafuta kazi nyingine ila sio upolisi. Tutakuombea mabaya mpaka ukome na hilo pepo lako la upolisi
kwa haraka haraka mteja hawezi kupatikana
Kiko wapi? Kesho asubuhi ukaapishwe kuwa IGP?kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.
najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa...View attachment 1898297
bora umenielewa ndugu yangu...nilianza kuzifuatilia hizo nafasi tokea nimemaliza darasa la 7....kwa kifupi kiwanja kipo dar es salaam huko kitundaInawezekana alikuwa anatafuta JKT na Unjagu kwa pamoja mkuu ila alianza kutafuta Unjagu alafu baada ya miaka 4 akaanza kutafuta na U-jkt so kwa miaka 8 ya mwisho ya utafutaji wake alikuwa anapiga parallel ..........
Turudi kwenye uwanja sasa, nakubaliana na hoja yako, atuambie huu uwanja uko wapi! Kama upo kawe beach karibu na Kikwete au Masaki itarahisisha sana watu kujitoa kumsaidia
dah....mkuu mimi lengo langu nijiunge na jeshi tu la polisi....piganisha nipate nafasi kiwanja uchukue bure kabisaAu nikuletee 3 ml. Chap kwa haraka?
bado sijauhitaji uIGP ndugu yangu nataka nianzie chini kabisa...ila kipo kitunda....hapo darisalamaKiko wapi? Kesho asubuhi ukaapishwe kuwa IGP?
ndio ndugu yangu niombe walau nipate mwaka huu....Kaka upolisi umeutafuta miaka nane??