Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

kuna mmoja nachat nae kwa meseji ila haingiliki kaka...nimemwambia anisaidie ananiambia vigezo tu ndio vitakavyo nibeba..nielekeze jinsi ya kumpanga labda mimi nakosea...
 
asante kwa ushauri nitaufanyia kazi
 
Umetafuta zaidi ya miaka kumi na mbili.18 +12=30 kule ni miaka 26 kwenda chini muraaaa kachonge cheti cha kuzariwaa kwanza.
ivi sasa nina miaka 26...ila kwenye sekta hizo mchawi ni refa tu.....yupo mtu namjua aliingia akiwa na miaka 32....wala hakubadirisha cheti....tena aliingia na elimu ya darasa la saba...enzi za marehe Matanga...dah....mwenyezi Mungu amlaze mahala pema pepo...siajabu hivi sasa na mimi ningekuwa askari...Matanga Mbushi ninaamini umepewa ukilanja huko peponi ulikuwa na roho nzuri sana BABA
 
Kaka upolisi umeutafuta miaka nane??
ndio na mara zote nimekosa...last time nilipata namba za aliekuwa mkuu wa chuo cha polisi enzi hizo..marehemu Matanga Mbushi...akaniambia mwanangu jiandae mwakani utaaingia...huo mwakani ukawa mwaka wa shetani 2015...na yeye akahamishwa...miaka 2 baadae nikasikia amefariki....iliniuma ndoto zangu zikawa zimefifia...
 
Kiwanja kiko wapi?
Viwanja vyote ni vizuri ila si kila kiwanja ni kizuri kwa kila mtu.
Kuna viwanja hata bure huwezi chukua
kitunda...dar es salaam....picha unayo iona hapo juu ndio muonekano harisi wa hicho kiwanja
 
Kwani lazima uwe polisi? Fanya mambo mengine
 
nipiganishie na mimi mkuu....nimezihangaikia sana hizo nafasi bila mafanikio
 
asante kwa ushauri wako...nitaufanyia kazi
 
Kiko wapi? Kesho asubuhi ukaapishwe kuwa IGP?
 
bora umenielewa ndugu yangu...nilianza kuzifuatilia hizo nafasi tokea nimemaliza darasa la 7....kwa kifupi kiwanja kipo dar es salaam huko kitunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…