Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

Babu, tusameheane tusiombeane mabaya wala kutakiana laana.
Kila mtu ana ndoto ya kupata kile anachokipenda.
Ingawa unaweza kupenda kitu kumbe kina shari ndani yake na ukakichukia kitu kumbe kina heri ndani yake.
Si police wote wabaya na si madaktari wote ni wema.
nashukuru kwa kunielewa ndugu yangu....mambo yapo hivyo kazi ya mtu haiendani na tabia kuna mijitu ni mikatiri na inafanya biashara ya mamantilie
 
Alafu Ukishaipata, hasira zako za kuhonga kazi kwa kutoa kiwanja uje uwatolee bodaboda, wapinzani na wauza mkaa.

Omba kazi nyingine hii ya upolisi nakuombea ukose kabisa! Tena ukiendelea kubembeleza hii kazi nakuombea upate laana ya maisha yako yote.

Tena shindwa katika jina la Yesu Kristo
nashukuru ila namuomba Mungu dua yako isinipate...nimelelewa ndani ya jeshi la polisi...kiujumla jeshi la polisi limenilea limenisomesha...hadi leo nahanaika kulitafuta naijua thamani yake lakini ndio hivyo bahati sina
 
Samahani mkuu, umesoma vigezo hata vitatu tu vya kujiunga na hilo jeshi?

12+8=20
Tuseme kuzaliwa mpaka kusoma kwako ulitumia miaka6.
20+6=26 umri huu tayari disqualified

Tuzungumzie huo uwanja sasa
Upo eneo gani.

Kila la kheri ktk maombi yako, lakini tahadhari tu nakupa, watu wanautamani huo uwanja kuliko hiyo kazi uipendayo. Ogopa matapeli km vipi mtafute Kamanda Sirro direct hukosi shavu. Una magamba yoyote ya ujuzi?
ndio ninayo leseni ya udereva...ninacho cheti cha udereva pamoja na vyeti vya sekondari kwa umri nina miaka 26...
 
nashukuru ila namuomba Mungu dua yako isinipate...nimelelewa ndani ya jeshi la polisi...kiujumla jeshi la polisi limenilea limenisomesha...hadi leo nahanaika kulitafuta naijua thamani yake lakini ndio hivyo bahati sina
Naishi ndani ya Tanzania na nimewahi kufanya kazi ya bodaboda na kazi nyinginyingi tofautitofauti, hivyo usiwapambe polisi wakati nina uzoefu nao.
 
Naishi ndani ya Tanzania na nimewahi kufanya kazi ya bodaboda na kazi nyinginyingi tofautitofauti, hivyo usiwapambe polisi wakati nina uzoefu nao.
inawezekana ndugu yangu kwani hakuna boda boda wenye tabia ovu...? kwahiyo unataka kuniambia boda boda wote ni waovu ukiwemo wewe...?
 
Alafu Ukishaipata, hasira zako za kuhonga kazi kwa kutoa kiwanja uje uwatolee bodaboda, wapinzani na wauza mkaa.

Omba kazi nyingine hii ya upolisi nakuombea ukose kabisa! Tena ukiendelea kubembeleza hii kazi nakuombea upate laana ya maisha yako yote.

Tena shindwa katika jina la Yesu Kristo
walikukosea nini polisi
 
Pole sana kijana mwenzangu mungu akutie nguvu,azima yako iweze kutimia......izi nafasi naona kama watatoana roho sana,kwani yapata miaka 3 hadi 4 hakuna depo iliyoenda uko kipindi icho,so hapo naona zile kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mikoa zikiwekana bila kushurutishwa
 
Pole sana kijana mwenzangu mungu akutie nguvu,azima yako iweze kutimia......izi nafasi naona kama watatoana roho sana,kwani yapata miaka 3 hadi 4 hakuna depo iliyoenda uko kipindi icho,so hapo naona zile kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mikoa zikiwekana bila kushurutishwa
asante ndugu yangu....kwakweli tunaopata shida nini sisi tu ambao hatuna ndugu wa kutushika mkono...ila tutafika tu
 
Unapenda kazi hiyo kutoka rohoni au unaitamani?
naipenda sana...kiongozi tatizo bahati...ningekuwa sijaipenda ningeshaachana nayo...ila bado najipa moyo kuwa ipo siku tu nitakutana nayo
 
Back
Top Bottom