X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #41
nashukuru kwa kunielewa ndugu yangu....mambo yapo hivyo kazi ya mtu haiendani na tabia kuna mijitu ni mikatiri na inafanya biashara ya mamantilieBabu, tusameheane tusiombeane mabaya wala kutakiana laana.
Kila mtu ana ndoto ya kupata kile anachokipenda.
Ingawa unaweza kupenda kitu kumbe kina shari ndani yake na ukakichukia kitu kumbe kina heri ndani yake.
Si police wote wabaya na si madaktari wote ni wema.