X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #101
vizuri huwa havidumu....roho nzuri ya yule jamaa ilipitiliza kiwango...ni miongoni mwa wasukuma wachache sana wenye roho kama yake...Matanga mbushi Kijijini kwao kasaidia familia nyingi nafkiri kila nyumba ina mtoto polisi naskia ye ndo alikua mkuu wa chuo lakin ukizingua kwenye mafunzo anakufukuza ila miaka mingine mbele anakurudishia ccp na badae unakua polis nilipata stori zake kasaidia watu wengi Sana ambao wengine hata yeye alikua hawakumbuki
Alivyofariki msiba wake ulikua wa Kijiji kizima
Jkt ulipitabora umenielewa ndugu yangu...nilianza kuzifuatilia hizo nafasi tokea nimemaliza darasa la 7....kwa kifupi kiwanja kipo dar es salaam huko kitunda
hapanaJkt ulipita
Mimi Nina vigezo vyote, msaada jamani
Mimi Nina vigezo vyote, msaada jamani
mkuu nisaidie bwanaSiyo pazuri huko unapotaka kwenda...
Wewe ni mtoa rushwakwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.
najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.
View attachment 1898297
ni bakhshishi...kwani kuna mtu kaniomba...rushwa si inaombwaWewe ni mtoa rushwa
Siyo pazuri huko unapotaka kwenda...
Mimi Nina vigezo vyote, msaada jamani
Insurance and risk managementTaaluma gan unayo
Amesema atatoa zawadi ya kiwanja, zawadi siyo rushwa. Acheni kutengeneza vijimaneno vya mtaani.Wewe ni mtoa rushwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu Ukishaipata, hasira zako za kuhonga kazi kwa kutoa kiwanja uje uwatolee bodaboda, wapinzani na wauza mkaa.
Omba kazi nyingine hii ya upolisi nakuombea ukose kabisa! Tena ukiendelea kubembeleza hii kazi nakuombea upate laana ya maisha yako yote.
Tena shindwa katika jina la Yesu Kristo