Offer : Comment chochote kuhusu Demiss ukipata like nyingi unapata zawadi!

Mie nasikia mtaani Demiss na Kalumanzila wameachana na wenyewe kuthibitisha hivyo lakini hadi hii leo sababu rasmi ya kuachana hatuijui! Je, tatizo kati ya hawa 2 lovebirds ni lipi? [emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama hiyo picha ya "profile" ni yako au unakaribia kufanana nayo, midomo yake inaonesha jinsi ulivyo - Mpenda watu na mama mlezi mzuri.
 
Sema shogaangu una akili
Yaani ukikaa unapata wazo jipya la kuanzishia uzi
Shost yataka moyo maana wajua hawa watan zangu hawaishi kuniponda lazima uwe na moyo wa uvumilivu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…