Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Ni michuano ya soccer liyoanzishwa na mashirikisho ya mpira ya nchi wanachama barani ulaya(Union Of European Football Assocciations) miaka ya 1955 ikijulikana kama EUROPEAN COMPETITION CLUB'S CUP...hadi kufikia mwaka 1992 ambapo kombe lililokuwa likitolewa kwa mshindi wa michuano hiyo lilifanyiwa mabadiliko ya kimuundo(rebranded)...hii ilipelekea jina la michuano hiyo kubadilika na kuitwa UEFA CHAMPIONS LIGUE(LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA)...Hapo chini ni picha ya kombe ambalo lililokuwa likitolewa baada ya kufanyiwa mabadiliko anzia mwaka 1992 hadi Sasa...
Katika michuano hii kila timu inayoshiriki hupata kitita cha pesa katika kila hatua ya ushiriki kama ilivyo hapo...
. Hiyo inamaana timu itakayoibuka kinara kwenye hatua zote hizo za michuano bila kupoteza itajinyakulia kitita cha €57,200,000.
- First qualifying round: €220,000
- Second qualifying round: €320,000
- Losers third qualifying round: €420,000
- Losers play-off round: €3,000,000
- Winners play-off round: €2,000,000
- Base fee for group stage: €12,700,000
- Group match victory: €1,500,000
- Group match draw: €500,000
- Round of 16: €6,000,000
- Quarter-finals: €6,500,000
- Semi-finals: €7,500,000
- Losing finalist: €11,000,000
- Winning the Final: €15,500,000
Tokea kuanzishwa kwake michuano hiyo...Timu inayoongoza kutwaa taji hilo ni Real Madrid ikifuatiwa na nyingine kama ilivyo hapo...
* TIMU ZILIZOSHINDA TAJI HILO
FOOTBALL CLUBS THAT WON THE TITTLE
Real Madrid Imechukua Mara 11...Imepoteza Mara 3.
Milan Imechukua Mara 7...Imepoteza Mara 4
Bayern Munich Imechukua Mara 5...Imepoteza Mara 5
Barcelona Imechukua Mara 5...Imepoteza Mara 3
Liverpool Imechukua Mara 5...Imepoteza Mara 2
Ajax Imechukua Mara 4...Imepoteza Mara 2
Internazionale Imechukua mara 3...Imepoteza Mara 2
Manchester United Imechukua Mara 3...Imepoteza Mara 2
Juventus Imechukua Mara 2...Imepoteza Mara 6
Benfica Imechukua Mara 2...Imepoteza Mara 5
Nottingham Forest Imechukua Mara 2...Imepoteza Mara 0
Porto Imechukua mara 2...Imepoteza Mara 0
*WIMBO WA UEFA CHAMPIONS LEAGUEBila ubishi huu ni wimbo unaokonga sana Nyoyo za mashabiki Wengi wa soccer duniani,ulitungwa na mwanamuziki Mwingereza mwenye taaluma hiyo ya muziki anaitwa TONY BRITTEN mwaka 1992...mara tu baada ya mabadiliko ya kombe hilo kufanyika, Wimbo huo umetungwa kwa kutumia luga Tatu tofauti kwa pamoja zinazotumiwa rasmi na shirikisho la soka barani ulaya(UEFA) ambazo ni Kijerumani, Kifaransa na Kiingereza na maana yake in English ni kama ilivyo hapo chini...
Original song...
Champions League Theme
Ce sont les meilleures équipes
Es sind die allerbesten Mannschaften
The main event
Die Meister
Die Besten
Les grandes équipes
The champions
Une grande réunion
Eine große sportliche Veranstaltung
The main event
Ils sont les meilleurs
Sie sind die Besten
These are the champions
Die Meister
Die Besten
Les grandes équipes
The champions
Die Meister
Die Besten
Les grandes équipes
The champions
In English translation...
Champions league Anthem
They are the best teams
They are the best teams
The Main Event
The master
The best
Great teams
The Champions
A big meeting
A great sporting event
The Main Event
They are the best
They are the best
These are the champions
The master
The best
Great teams
The Champions
The master
The best
The Champions
#Mnaweza kuusikiliza Huo wimbo wote...Full version hapo...
*UPCOMING UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL On 3rd June Of 2017 in CARDIFF
Ni Fainali ya 59 ya michuano hiyo barani ulaya, Ikiwakutanisha JUVENTUS(Mabingwa Wa Serie-A 2016/2017) Vs REAL MADRID(Mabingwa Wa LaLiga-Santander 2016/2017) itakayofanyika CARDIFF...tarehe 3 june.
View attachment 517759-Juve amefika Fainali za UEFA Mara 8...ameshinda 2 na kupoteza 6(Mara nyingi zaidi ya Madrid).
View attachment 517760
View attachment 517764
View attachment 517765
#Mambo muhimu kwenye fainali hii...ambayo inahitajika kuyajua.
-Real amefika fainali Mara 14...ameshinda 11...na kupoteza 3(Mara chache zaidi ya Juve).-Pia Real Madrid inataka kuandika historia ya kuchukua mataji mawili yani LaLiga na UEFA Katika msimu mmoja...baada ya miaka 59 tokea msimu wa 1957/1958.
-Real Madrid inahitaji kuandika historia mpya kwenye michuano hiyo...kuwa ndiyo timu pekee barani ulaya kuchukua Taji hilo mara mbili mfululizo kama bingwa mtetezi.
-Goli kipa Wa Juve ameruhusu magoli matatu tu kuingia wavuni tokea waanze michuano hii ya UEFA msimu huu.-Juve wameweza kutoka na Clean sheet 9(Hajafungwa goli ata moja kwenye mechi tisa za UEFA) katika mechi 12 za UEFA walizocheza msimu huu.
-Zidane anataka kuweka record ya kuwa kocha pekee barani ulaya aliyeweza kutetea taji lake la UEFA Champions League.
-Juve wameruhusu magoli 27 tu kwenye mechi zote za ligi walizocheza huku Madrid wameruhusu Magoli 41 kwenye mechi zote za Ligi walizocheza.
-Gianluigi Buffon anaelekea kustaafu Mpira kutokana na Umri wake...hivyo hii ni nafasi adhimu sana kwake kuchukua taji hili muhimu akiwa na Juve.
-Dani Alves anahitaji kuandika historia ya kuchukua Taji la UEFA na Juve katika msimu wake Wa kwanza.
-Cristiano Ronaldo anahitaji ashinde taji hili ili afikie record ya Mpinzani wake Wa soka(Messi) Ya kutwaa mataji manne ya UCL.
Juventus wanatarajiwa kutumia mfumo wa "4-2-3-1" au "3-4-2-1"...Juve hawatacheza mchezo Wa kushambulia muda wote Bali watatumia mashambulizi ya Counter dhidi ya Madrid,kwa mfumo Huo wa "4-2-3-1" utakaotumia Juve utamruhusu Higuain pekee kucheza mbele kama Forward huku Dyabala na mandzukich wakipandisha mipira kwa kujiami na wengine wakibaki nyuma Kwa tension ya kuzuia, Juve anajua wazi Madrid atashambulia sana kutafuta goli la mapema ili aweze kuumiliki mchezo na kujihamini...hivyo kipindi cha kwanza Juve hatoshambulia sana atajitahidi kulinda goli lisiingie ila kipindi cha pili atajaribu kushambulia kiasi akiona Madrid kacharuka sana atarudi kucheza kama first-half....na itakuwa bora sana kwa Juve kwenda Hadi extra-time ikiwezekana ata penalties wakijua Kipa wakueleweka wanaye kuliko kuruhusu goli dakika 90 za mchezo...na ikitokea wamefungwa mapema itawalazimu wafunguke ili wasawazishe...na hapa kuna mawili wanaweza wakafanikiwa ama wakaongezwa magoli.
*ANALYSIS
#JUVENTUS FC
#REAL MADRID C.FMadrid wanatarajiwa kutumia mfumo Wa "4-3-1-2" au "4-3-3"...Madrid wanafahamu vyema ubora Wa defence ya Juve hivyo basi watahitaji goli la mapema ili waweze kuutawala mchezo...ukizingatia watakuwa na Full-backs wao wote wakupandisha mipira(Marcelo & Carvajal) ila watategemea sana mipira ya kupenyeza(penetrations) ili kuitoboa ngome ya Juve.
Note: Ifahamike mbali na uchambuzi Huo...Mpira ni dakika 90,na kuna ushindi wa magoli ya faulo na penalty pia...hivyo lolote litaweza kutokea mchezoni.
Update nyingine tutaendelea kupeana Wadau...tukiwa tunausubiri huu [HASHTAG]#MTANANGE[/HASHTAG]!
Bufon siyo katika penalty nadhani Navas nimzuri sana kwenye matuta Ila kwa kuwa watu wengi wanampa Juve nafasi naona kama Madrid anaweka Historia tena
