OFFICIAL THREAD: UEFA™ Champions League Competition Analysis And Statistics

OFFICIAL THREAD: UEFA™ Champions League Competition Analysis And Statistics

Mkuu, unasema Madrid apige penetration pass? Barca alichemka hapo kwa hiyo style, tena Barca akiwa na manguli wa kudribble akina Messi na Neymar na hawakufua dafu.

Njia pekee ya kumuokoa Madrid ni Counter, PERIOD. Labda yatokee makosa madogo madogo ya hapa na pale yatakayofanywa na Juve ila sio kwa kupiga pass za kupenyeza. Hata hizo Counter sio mipira ya juu.

ACHANA NA VILE VIUMBE MKUU.

Juventus wangekuwa na mtu kama Lewandoski au Vidal hii Game wala tusingesubiri dakika 90 kujua nani anabeba kombe.

Sioni Madrid akipata goli kwa namna yoyote mbele ya Juventus, wale watu wanajua ni nini wanachokifanya uwanjani hususani linapokuja suala la kukaba.

Mkuu afadhali umenisaidia kushangaa. Pamoja na maada nzuri ila nahisi hapo kidogo ka-miscalculate. Ila all in all anyone can win, though Juve are the favorite.
 

Hàhaha!...wewe ilifahamika tu KUWA UTAKUWA UPANDE WA JUVE....KWANI NYIE SI NDO MLIPIGWA GOLI 5 NA CRISTIANO MWENYEWE AMA NIMEKUFANANISHA MKUU???😀😀😀😛😛😛
 
Kwa wale wa historia wanaamini Juve atamfunga Madrid kiulaini tu.
Tukiachana na historia Mimi naamn ushindi mnono tu utaenda kwa Juve na si Madrid.
 
Kwa ile defence ya juventus na striker benzema asee,daah madrid anakazi nzito aseee
 
Huyo barzaghli ndo nuksi mkuu,yule kocha wao Juve Allegri alisema baada ya kufanya Sub ya barzaghli kuingia kipindi cha pili...kwenye match yao ya 2nd Leg against Barca...ALIJUA WAZI ATA WANGEINGIZWA WAKINA MESSI SITA KUTOKEA BENCHI WASINGESHINDA ILE MATCH...Nilichekaga sana, Dah!...yani Juve kwenye Defence sio wakisport sport kabisa asee.
Zile zilikuwa ni tambo tu Mkuu, achana na Messi akiwa on form, achana na huyu mtu kabisa. Ni rahisi hata Navas kushinda au Kroos kufunga ila sio Ronaldo au Bale.

Mkuu wale watu kufungwa sio mchezo.
 
Lakini hutoamini mkuu REAL Atabeba hili Taji lake la 12...Juve watafungika tu...mie nachowafahamu Madrid kwenye games kubwa kama hizi huwa hawanaga upuuzi hata punje, ILISEMEKANA JUVE NI MFUPA ULIOMSHINDA FISI(BARCELONA)...JE MBWA(MONACO) ANGEUWEZA???...Lakini Huo msemo yule Mbappe akaufutilia mbali na kumfunga Buffon goli dakika ya 69...Wakati watu wazima BARCA mlishindwa kupata goli ata la kusingiziwa kwa DAKIKA 180!
...Hivyo kwa kilichowakuta nyie BARCA Sidhani kama ndicho kitakachomkuta REAL...Me nachojua mpira hubadilika mkuu.
Mbappe mshirikina yule, usikute aliingia na hirizi uwanjani akaificha kwenye kiatu.
 
Kwa wale wa historia wanaamini Juve atamfunga Madrid kiulaini tu.
Tukiachana na historia Mimi naamn ushindi mnono tu utaenda kwa Juve na si Madrid.
Binafsi siangalii historia ila natazama facts, Juve anaenda kubeba hii ndoo.
 
Mbappe mshirikina yule, usikute aliingia na hirizi uwanjani akaificha kwenye kiatu.

Hahaha!...Wanamwita KYLIAN MMBAPPE-LOTTIN...ile Siku nilifurah jinsi yule kinda alivyowafanya CHIELLIN NA BONUCCI Wajinga kwa muda kidogo, Manake Chiellin alishika nguzo ya goli akimkodolea macho Buffon....ila weakness nyingine ya Juve niliyoigundua ni kuwa WALE JAMAA UKIWAPELEKEA MASHAMBULIZI YA KUFORCE NONSTOP UPEPO WAO UNAKATA...Na uzuri Wa Monaco hawakati tamaa wale vijana walilazimisha Hadi bibi kizee akawapa walichotaka...ila naweza nikadiriki kusema Monaco ni moja ya timu yenye washumbuliaji wazuri...sema tu Juve wana ukuta imara ...lakini lile goli kama wangelipata dakika za 40's hiviii....wangeweza kurudisha mabao mengine kwa namna walivyoongeza kasi ya mashambulizi mwishoni.
 
Real Madrid return to the final looking to defend the trophy they won last season by defeating Atletico Madrid at San Siro.

They will hope to have Welsh winger Gareth Bale fit to feature in his home city of Cardiff as they seek to be crowned European champions for the 12th time, but find Serie A titans Juventus standing in their way.

Juve have not won this competition since 1996, when they defeated Ajax at the Stadio Olimpico in Rome, and have been runners up four times since then - most recently in 2014-15, when they lost to Barcelona.

[HASHTAG]#WeWillSeeSuperbGame[/HASHTAG]
 
Massimiliano Allegri will attempt to banish the demons of that night by claiming the Bianconeri's third European title in Wales.

Je kocha Huyo Wa Juve atafanikiwa???
 
Sijui ni mimi tu, lakini fainali hii ya mwaka huu imekuwa na msisimuko wa aina yake, naifananisha na ile ya mwaka 2008 Man Utd vs Chelsea.

All in all, atakayekuwa kuwa mjanja wa kumsoma mwenzake vizuri ndiye atakaye shinda.

Sasa hiyo Character ya kusoma mchezo Wa wapinzani si ndo anayo [HASHTAG]#ZIZOU[/HASHTAG]....Wewe huonagi akifanyaga sub zake lazima timu Ishinde kama sio kusuluhu ikiwa imefungwa!
 
Ronaldo or Sergio Ramos could become only the second player to score in three different European Cup/Champions League finals after Di Stefano, who found the net in five different finals.
 
Hahaha!...Wanamwita KYLIAN MMBAPPE-LOTTIN...ile Siku nilifurah jinsi yule kinda alivyowafanya CHIELLIN NA BONUCCI Wajinga kwa muda kidogo, Manake Chiellin alishika nguzo ya goli akimkodolea macho Buffon....ila weakness nyingine ya Juve niliyoigundua ni kuwa WALE JAMAA UKIWAPELEKEA MASHAMBULIZI YA KUFORCE NONSTOP UPEPO WAO UNAKATA...Na uzuri Wa Monaco hawakati tamaa wale vijana walilazimisha Hadi bibi kizee akawapa walichotaka...ila naweza nikadiriki kusema Monaco ni moja ya timu yenye washumbuliaji wazuri...sema tu Juve wana ukuta imara ...lakini lile goli kama wangelipata dakika za 40's hiviii....wangeweza kurudisha mabao mengine kwa namna walivyoongeza kasi ya mashambulizi mwishoni.
Madrid wana washambuliaji wazuri kama Monaco? Halafu Mkuu kumbuka Juventus aliingia pale akiwa na ushindi wa kujihami wa bao 2.
 
Hahaha!...Wanamwita KYLIAN MMBAPPE-LOTTIN...ile Siku nilifurah jinsi yule kinda alivyowafanya CHIELLIN NA BONUCCI Wajinga kwa muda kidogo, Manake Chiellin alishika nguzo ya goli akimkodolea macho Buffon....ila weakness nyingine ya Juve niliyoigundua ni kuwa WALE JAMAA UKIWAPELEKEA MASHAMBULIZI YA KUFORCE NONSTOP UPEPO WAO UNAKATA...Na uzuri Wa Monaco hawakati tamaa wale vijana walilazimisha Hadi bibi kizee akawapa walichotaka...ila naweza nikadiriki kusema Monaco ni moja ya timu yenye washumbuliaji wazuri...sema tu Juve wana ukuta imara ...lakini lile goli kama wangelipata dakika za 40's hiviii....wangeweza kurudisha mabao mengine kwa namna walivyoongeza kasi ya mashambulizi mwishoni.

Mkuu ukubali tu Monaco wana attacking force nzuri zaidi ya Madrid. Laiti kama Semi final Madrid angecheza na Monaco muda huu huenda tungekuwa tunaongea kifaransa zaidi na kiitaliano.
 
Lakini hutoamini mkuu REAL Atabeba hili Taji lake la 12...Juve watafungika tu...mie nachowafahamu Madrid kwenye games kubwa kama hizi huwa hawanaga upuuzi hata punje, ILISEMEKANA JUVE NI MFUPA ULIOMSHINDA FISI(BARCELONA)...JE MBWA(MONACO) ANGEUWEZA???...Lakini Huo msemo yule Mbappe akaufutilia mbali na kumfunga Buffon goli dakika ya 69...Wakati watu wazima BARCA mlishindwa kupata goli ata la kusingiziwa kwa DAKIKA 180!
...Hivyo kwa kilichowakuta nyie BARCA Sidhani kama ndicho kitakachomkuta REAL...Me nachojua mpira hubadilika mkuu.


Mkuu kwa hiyo Juve ndio huwa wana upuuzi katika game kama hizi?
 
Back
Top Bottom