Official Video: Nagharamia - Pongezi kwa Ali Kiba

Official Video: Nagharamia - Pongezi kwa Ali Kiba

Leo mbona una raha sana aisee?Kulikoni?

teh teh teh utajuaje labda nimetoka kufunga vitabu vya hesabu.. Mwisho wa mwaka huu teh teh teh

Kuna uzi niliona umemnyooshea mikono Dimondii..
 
teh teh teh utajuaje labda nimetoka kufunga vitabu vya hesabu.. Mwisho wa mwaka huu teh teh teh

Kuna uzi niliona umemnyooshea mikono Dimondii..
Aisee,tugawane basi kaka yangu,mie hata sina cha mwisho wa mwaka wala mwanzo.....lol

Unanijuaga vile nilivyo mkweli eeh?Kwanini nisimpongeze?
Wewe kama umeipenda video/wimbo halafu huku unaponda unamdanganya nani?
Pia mimi kama shabiki wa Ali K ile ni changamoto kwake (Kiba).

Imagine wifi amsifie mjamaa mwingine!Utachukia lakini lazima utafanya improvement ufanane kama sio kumzidi jamaa aliyesifiwa.....
 
Naona kama Kiba kajitahidi vile, kwa aina ya video zake hii kapiga hatua kiasi all the best King wa watu
 
Aisee,tugawane basi kaka yangu,mie hata sina cha mwisho wa mwaka wala mwanzo.....lol

Unanijuaga vile nilivyo mkweli eeh?Kwanini nisimpongeze?
Wewe kama umeipenda video/wimbo halafu huku unaponda unamdanganya nani?
Pia mimi kama shabiki wa Ali K ile ni changamoto kwake (Kiba).

Imagine wifi amsifie mjamaa mwingine!Utachukia lakini lazima utafanya improvement ufanane kama sio kumzidi jamaa aliyesifiwa.....


Changanya miguu huwa unajua tunakogawanaga... Kule migombani teh teh..

Ila umechukua muda kuukubali ukweli, mbona tangia zamani tu jamaa anafanya vitu vizuri. Huyu Dimondii bana kama mchawi vile, we angalia tu usi'fall kabisa ukamwacha Kiba kwenye mataa teh teh teh
 
Changanya miguu huwa unajua tunakogawanaga... Kule migombani teh teh..

Ila umechukua muda kuukubali ukweli, mbona tangia zamani tu jamaa anafanya vitu vizuri. Huyu Dimondii bana kama mchawi vile, we angalia tu usi'fall kabisa ukamwacha Kiba kwenye mataa teh teh teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Acha hizo wewe,Kiba habari nyingine simhami miaka 89999 japo ukweli nitausema.
Nampenda hivyohivyo yani.
 
Kiba na bella wamejitahidi ila rangi ya video kusema za ukweli ni mbaya inaharibu kila kitu kizuri cha ndani aseee...

Yaan hii video ingekuwa na color ya chekecha ingekuwa poa sanaa...

Upande wa pili kina ommy dimpoz, jux na wengineo hawafanyi mistakes kama hizi kwenye video zao
 
Mhhhhh wewe kijana mtakatifu saa hizi unafanya nini huku?
Haya subiri.

Mtakatifu? Ngoja niku charukie hadi upate maana tofauti
Nli lala vyakutosha mchana, ndyo maana macho kodoo usiku huu,
 
Hawakuheshimu mchezo wa golf,yaani wanacheza huku wanajibizana na kubrowse,tuacheni unafki diamond anajua kuigiza,hata humkubali kuna sehemu kwenye video yake itakufanya urudishe nyuma,my love boad na kcee video inafika mwishoni kuna namna anadance anachezesha mdomo kama anavibrate utapenda urudie,video na inyaya "nakupenda" kuna sehemu anashake utaipenda "utanipenda kuna sehemu kakanyagiwa maji na wolper alivyorespond utadhani ni kweli,kwetu mbagala bibi harusi anaolewa yeye anachugulia utadhani ni kweli..Nana dem anaingia class macho ya diamond yanagongana na ya dem halafu diamond anaangalia chini yaani kitu ambacho kipo sana inatokea.....diamond nyimbo zake nzuri,video zinauhalisia anajua kuigiza utadhani kweli ,alikiba ana sauti,ila video anazotoa hazina mvuto hata hii ya kawaida sana,quality nzuri ila yanayoendelea mle hazina tofauti na video za zilipendwa

Hata kwa mtu asiyejua lugha akiangalia video za diamond anajua kinachoendelea na story inahusu nini,inavutia

Mnapo sema ally kiba ana sauti mna maanishaga nn ...

Maana naamini kila msanii ana sauti nzuri inayopendwa na watu na labda tuseme huwa mnamaanisha sauti nzuri ukizaja list ya wanamuziki Tanzania wenye uwezo wa kucheza na sauti zao hawezi ingia top ten..hyo concept inanipa shida sana kuielewa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Acha hizo wewe,Kiba habari nyingine simhami miaka 89999 japo ukweli nitausema.
Nampenda hivyohivyo yani.

Acha uchawi... wewe moyo wako wala haupo huko tena..

Yaani msanii wako katoa Video wala hujui kama katoa teh teh teh teh
 
#Nagharamia ,video nzuri sana acheni hizo.
Mliotaka inga'e kwani ni kitumbua?
Ali Kiba hongera zako,na masauti yenu mmeua.
Ila pale kwenye kochi nimepapenda sana.....
Heheheheee
 
Acha uchawi... wewe moyo wako wala haupo huko tena..

Yaani msanii wako katoa Video wala hujui kama katoa teh teh teh teh
Moyo wangu utabakia kwa Kiba milele my dear,don't quote me wrong.
 
Mtakatifu? Ngoja niku charukie hadi upate maana tofauti
Nli lala vyakutosha mchana, ndyo maana macho kodoo usiku huu,
Umcharukie nani wewe?Wakati unacharuka mimi nitakuwa nimelala au?
 
Mnapo sema ally kiba ana sauti mna maanishaga nn ...

Maana naamini kila msanii ana sauti nzuri inayopendwa na watu na labda tuseme huwa mnamaanisha sauti nzuri ukizaja list ya wanamuziki Tanzania wenye uwezo wa kucheza na sauti zao hawezi ingia top ten..hyo concept inanipa shida sana kuielewa
Poor you.
Hii comment ya leo imenifanya nikudharau sana.
Otherwise uniambie ni akili za usiku.
 
Assume ule mtangazo wa "Dr Year" ungekua kwa Kiba,hayo makelele sasa,ila kule kwa Ndomo fresh tu......
 
Back
Top Bottom