Official Video: Nagharamia - Pongezi kwa Ali Kiba

Official Video: Nagharamia - Pongezi kwa Ali Kiba

Hawakuheshimu mchezo wa golf,yaani wanacheza huku wanajibizana na kubrowse,tuacheni unafki diamond anajua kuigiza,hata humkubali kuna sehemu kwenye video yake itakufanya urudishe nyuma,my love boad na kcee video inafika mwishoni kuna namna anadance anachezesha mdomo kama anavibrate utapenda urudie,video na inyaya "nakupenda" kuna sehemu anashake utaipenda "utanipenda kuna sehemu kakanyagiwa maji na wolper alivyorespond utadhani ni kweli,kwetu mbagala bibi harusi anaolewa yeye anachugulia utadhani ni kweli..Nana dem anaingia class macho ya diamond yanagongana na ya dem halafu diamond anaangalia chini yaani kitu ambacho kipo sana inatokea.....diamond nyimbo zake nzuri,video zinauhalisia anajua kuigiza utadhani kweli ,alikiba ana sauti,ila video anazotoa hazina mvuto hata hii ya kawaida sana,quality nzuri ila yanayoendelea mle hazina tofauti na video za zilipendwa

Hata kwa mtu asiyejua lugha akiangalia video za diamond anajua kinachoendelea na story inahusu nini,inavutia

Unapokosea ni kumfananisha daimond na alli kiba, ukifanya hivyo naamini kwenye video hauta ona ubora wa kiba kwenye video...
 
Safi sana shemeji sumbai,ushabiki pembeni tunajadili issues namna hii.
Umenifurahisha kuliko tukuka,kudos.

Ngoja nikaucheki nije na maoni yangu......

Binafsi mimi ni muumini wa musik mzuri, ni muumini wa video nzuri.

Nimeandika kiroho safi, video hii inafungua ukurasa mpya naiona ile hatua ya video ya mwana inaweza kujirud...
 
Last edited by a moderator:
#Nagharamia ,video nzuri sana acheni hizo.
Mliotaka inga'e kwani ni kitumbua?
Ali Kiba hongera zako,na masauti yenu mmeua.
Ila pale kwenye kochi nimepapenda sana.....
Heheheheee

Binafsi nlitamani video nzima iwe pale kwenye gofu na kochi...huwa naparudia kwenye kochi.
Honestly kiba kapiga hatua kwenye video.

Ashindwe mwenyewe sasa kuifanyia promo
 
Mnapo sema ally kiba ana sauti mna maanishaga nn ...

Maana naamini kila msanii ana sauti nzuri inayopendwa na watu na labda tuseme huwa mnamaanisha sauti nzuri ukizaja list ya wanamuziki Tanzania wenye uwezo wa kucheza na sauti zao hawezi ingia top ten..hyo concept inanipa shida sana kuielewa

Kwenye list yako binafsi hawezi kiwepo...na hataweza kuwepo. But mawazo yako sio lazima yawe ndio ukweli mkuu.
 
Video nzuri inaweza kuchezwa kokote tu duniani..Hongera kiba.
 
Kingkiba on point, sahivi hakuna cha utanipenda, kila mtu anataka kugharamia
 
Binafsi nlitamani video nzima iwe pale kwenye gofu na kochi...huwa naparudia kwenye kochi.
Honestly kiba kapiga hatua kwenye video.

Ashindwe mwenyewe sasa kuifanyia promo
Aiseee,hata mimi.
Sehemu hizo ndio zimeipendezesha video haswaaa
 
Ha ha ha ha ha ha ha naona unakusanya kusanya vimchanga unabumba bumba unavichomekea na maua ili uite keki

Ahahhahaha!!linyimbo libayaaaa mpaka video,akacheze mpira tu kwa kweli mziki awaachie vijana
 
Back
Top Bottom