Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Leo mbona una raha sana aisee?Kulikoni?
Aisee,tugawane basi kaka yangu,mie hata sina cha mwisho wa mwaka wala mwanzo.....lolteh teh teh utajuaje labda nimetoka kufunga vitabu vya hesabu.. Mwisho wa mwaka huu teh teh teh
Kuna uzi niliona umemnyooshea mikono Dimondii..
Aisee,tugawane basi kaka yangu,mie hata sina cha mwisho wa mwaka wala mwanzo.....lol
Unanijuaga vile nilivyo mkweli eeh?Kwanini nisimpongeze?
Wewe kama umeipenda video/wimbo halafu huku unaponda unamdanganya nani?
Pia mimi kama shabiki wa Ali K ile ni changamoto kwake (Kiba).
Imagine wifi amsifie mjamaa mwingine!Utachukia lakini lazima utafanya improvement ufanane kama sio kumzidi jamaa aliyesifiwa.....
Nayasubiria maoni yako maana leoNgoja nikaucheki nije na maoni yangu......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Changanya miguu huwa unajua tunakogawanaga... Kule migombani teh teh..
Ila umechukua muda kuukubali ukweli, mbona tangia zamani tu jamaa anafanya vitu vizuri. Huyu Dimondii bana kama mchawi vile, we angalia tu usi'fall kabisa ukamwacha Kiba kwenye mataa teh teh teh
Mhhhhh wewe kijana mtakatifu saa hizi unafanya nini huku?Nayasubiria maoni yako maana leo
👂😀
Mhhhhh wewe kijana mtakatifu saa hizi unafanya nini huku?
Haya subiri.
Hawakuheshimu mchezo wa golf,yaani wanacheza huku wanajibizana na kubrowse,tuacheni unafki diamond anajua kuigiza,hata humkubali kuna sehemu kwenye video yake itakufanya urudishe nyuma,my love boad na kcee video inafika mwishoni kuna namna anadance anachezesha mdomo kama anavibrate utapenda urudie,video na inyaya "nakupenda" kuna sehemu anashake utaipenda "utanipenda kuna sehemu kakanyagiwa maji na wolper alivyorespond utadhani ni kweli,kwetu mbagala bibi harusi anaolewa yeye anachugulia utadhani ni kweli..Nana dem anaingia class macho ya diamond yanagongana na ya dem halafu diamond anaangalia chini yaani kitu ambacho kipo sana inatokea.....diamond nyimbo zake nzuri,video zinauhalisia anajua kuigiza utadhani kweli ,alikiba ana sauti,ila video anazotoa hazina mvuto hata hii ya kawaida sana,quality nzuri ila yanayoendelea mle hazina tofauti na video za zilipendwa
Hata kwa mtu asiyejua lugha akiangalia video za diamond anajua kinachoendelea na story inahusu nini,inavutia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha hizo wewe,Kiba habari nyingine simhami miaka 89999 japo ukweli nitausema.
Nampenda hivyohivyo yani.
Moyo wangu utabakia kwa Kiba milele my dear,don't quote me wrong.Acha uchawi... wewe moyo wako wala haupo huko tena..
Yaani msanii wako katoa Video wala hujui kama katoa teh teh teh teh
Umcharukie nani wewe?Wakati unacharuka mimi nitakuwa nimelala au?Mtakatifu? Ngoja niku charukie hadi upate maana tofauti
Nli lala vyakutosha mchana, ndyo maana macho kodoo usiku huu,
Poor you.Mnapo sema ally kiba ana sauti mna maanishaga nn ...
Maana naamini kila msanii ana sauti nzuri inayopendwa na watu na labda tuseme huwa mnamaanisha sauti nzuri ukizaja list ya wanamuziki Tanzania wenye uwezo wa kucheza na sauti zao hawezi ingia top ten..hyo concept inanipa shida sana kuielewa
#Nagharamia ,video nzuri sana acheni hizo.
Mliotaka inga'e kwani ni kitumbua?
Ali Kiba hongera zako,na masauti yenu mmeua.
Ila pale kwenye kochi nimepapenda sana.....
Heheheheee
Moyo wangu utabakia kwa Kiba milele my dear,don't quote me wrong.