OfficialLynn: Siwezi ku-date na mwanaume asiye na hela

OfficialLynn: Siwezi ku-date na mwanaume asiye na hela

Afate moyo wake anachoona kinafaa, ila ajue tu kwamba pesa siyo kila kitu kwenye mapenzi, unaweza kuwa na mwenye pesa ila hamna mapenzi ukaishia kuumia tuu, afu pesa zinatafutwa asipende ready made tu kuwa liability,awe chachu ya mwanaume wake kupata pesa kwa kumpa ushauri on how to make it,nk.
Wow! Great advice from great woman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afate moyo wake anachoona kinafaa, ila ajue tu kwamba pesa siyo kila kitu kwenye mapenzi, unaweza kuwa na mwenye pesa ila hamna mapenzi ukaishia kuumia tuu, afu pesa zinatafutwa asipende ready made tu kuwa liability,awe chachu ya mwanaume wake kupata pesa kwa kumpa ushauri on how to make it,nk.
Nimekupa like sijui umeiona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 82C129A1-6554-40E2-A430-35E3E20C2524.jpeg
    82C129A1-6554-40E2-A430-35E3E20C2524.jpeg
    237.9 KB · Views: 6
Back
Top Bottom