Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
KIPI NI KIPI SASA,
ila ukweli ni kwamba wanawake wana chiti maana mimi nilishakuwa na marafiki wanakula wake za watu tena kwa hao wanawake kuanzisha, inasikitisha sana lakini
<br />Leonardo,pole sana mkuu wangu....Ukweli ni kwamba hata mimi naasikitikia sana wadogo zake Fredy.Binafsi dogo Fredy alikuwa mtu wangu wa karibu sana na nadiriki kusema kwamba ni mmoja wapo wa washauri wake wa karibu hasa kipindi kile alipofiwa na wazazi wake na kuachiwa mali huku yeye akiwa ni mwanafunzi wa pale IRDP....Vicky!!!!!,kwa nini kila mumewe anakufa kwa risasi?,marehemu Deo(wa IFAD) alikufa kwa risasi getini na majambazi na kumuachia mali zake,Fredy naye anadaiwa kujiua kwa risasi getini.......Kunani hapa?.....Pamoja na kuajiriwa Fredy alikuwa mtafutaji mzuri sana na alikuwa akifanya biashara ya kuuza magari ambayo ilimuingizia fedha nyingi tu.......Kifo cha Fredy kinaniuma sana...<br />
<br />
Nakumbuka Jumapili iliyopita nilikutana na Fredy CRDB Dodoma tukasalimiana kisha akaingia ndani ya gari yake aina ya Toyota Harrier na tangu hapo sijaonana naye tena badala yake napewa taarifa nikiwa safarini kuwa dogo kajishoot!!!!!!!.......So sad<br />
<br />
Polisi wanapaswa kueleza habari kamili maana inaonekana kuna mengi yamejificha kwani mwanaume anayedaiwa kuwa na Vicky ambaye majina yake yote mawili yanaanzia na herufi M(M.... M....) ni Askari Polisi na ni(alikuwa) mchezaji wa timu ya Polisi Dom(Polisi Tanzania) na kwa sasa ni mwanafunzi wa SJUT......Cha ajabu wanasema Vicky kapigwa risasi na ana hali mbaya yupo ICU kitu mbacho si kweli kwani Vicky yu mzima buheri wa afya,alichopata ni mshituko tu.......Inasikitisha sana.......Pumzika kwa amani mdogo wangu Nkwingwa Fredy,daima nitakukumbuka....<br />
<br />
Kuna mengi yamejificha hapa.........Ukweli utajulikana tu...<br />
<br />
Bala.
<br />
<br />
wait a minute mkuu,...
Ina maana huyo vicky ndo aliyekua ameolewa na deo irafay aliyeuawa na majambazi kipindi flani???naomba unijuze kwanza then ntajua cha kucomment..
Naombeni picha ya vicky
Ala! Kumbe wapo! Mimi ndo mara ya kwanza kusikia hivyo ingawa bado inaniwia vigumu kuamini.
Tatizo marehemu alikuwa msiri sana na mambo mengi alikuwa anaugulia moyoni asemi wazi wazi, hii ishu sisi washkaji tungemsaidia kusolve vzuri tu wala hata asingejiua. Kwa mliobahatika kumfahamu Fredy poleni sana, mimi bado nalia sana.Tangu juzi akili yangu imetekwa na huu msiba na najilaumu sana kwa kushindwa kuzuia kifo cha Fred.
Mara ya mwisho aliniambia amefurahi sana kurejea bongo kuungana na familia yake baada ya kusota S.Korea alikochukulia masters yake. Jamaa alikuwa na ndoto nyingi sana.
Nimeamini moyo wa mtu ni giza nene, wamama ficheni bastola za waume zenu ili kuepusha balaa kama hili.
RIP Fredy... Picha zetu za utotoni tukiwa tunacheza zinanijia sana and its a memory i cnt 4get. Umetangulia wengine tunafuata.
Sorry mkuu naomba kuuliza ili niweze kuamua kama namfahamu marehemu ama la. Background info yake yafanana kiasi kikubwa na bwana mmoja aitwa fred (niliyemfahamu kipindi cha nyuma huko musoma, alisoma makoko seminari o-level sijui a-level alisoma wapi, na baadae akasoma mlimani kisha akaenda korea pia kwa mastaz)
yani sijaamini bado,huyo deo irafay alivouawa nadhani ni mwaka jana au juzi ivi aliacha mkewe akiwa mjamzito.i wonder wat happened to that baby??au marehemu fred alikua akimlea?yan nimesikitika sana coz nilimfahamu deo but wakati anauawa sikuwepo nchini but i was shocked na sikupata bahati ya kumfahamu hata huyo mkewe..,i feel so sorry for the late fred,such a fine guy mbona wanawake wapo kibao kweli hasira mbaya...may he rip
Deo alikufa mwaka 2004 akamuacha Vicky mjane baadae Vicky akaanza mahusiano na Fredy kisha wakaoana na kuanza kuishi pamoja kama mke na mume na Mungu akawajalia kupata mtoto