Doppelganger
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,858
- 757
Nchi yetu ya kijanjajanja sana...
yani kukiwa na jambo linalotikisa nchi kama la gas kusini,katiba mpya,madawa ya kulevya,ufisadi n.k basi serikali itawatafutia vijimambo vinginevyo na kuvikuza ili kuwapumbaza,kuwatoa katika msimamo na kuwasahaulisha yale madai muhimu.
Kina FEKI wako wengi maeneo mbalimbali ambapo waeza pata SAHIHI YA RAIS na mawaziri wake wote,cheti cha chuo chochote hadi kile cha Havard bongo unapata...
Serikali imeishiwa mbinu!!!
yani kukiwa na jambo linalotikisa nchi kama la gas kusini,katiba mpya,madawa ya kulevya,ufisadi n.k basi serikali itawatafutia vijimambo vinginevyo na kuvikuza ili kuwapumbaza,kuwatoa katika msimamo na kuwasahaulisha yale madai muhimu.
Kina FEKI wako wengi maeneo mbalimbali ambapo waeza pata SAHIHI YA RAIS na mawaziri wake wote,cheti cha chuo chochote hadi kile cha Havard bongo unapata...
Serikali imeishiwa mbinu!!!