Ofisi mpya ya CHADEMA na ramani tuliyooneshwa vinakinzana sana

Ofisi mpya ya CHADEMA na ramani tuliyooneshwa vinakinzana sana

Taarifa kamili za hilo jengo sina, kama ni la kupanga au wamenunua, lakini nachojua hilo halitakuwa lakudumu kwa kuendeshea shughuli zao, bado wana mpango wa kujenga makao makuu yao.
Makao Makuu ndio pale Nenda Ardhi kafanye Title search utajua kama wamepanga au wamenunua Tumia basi akili
 
Miezi kadhaa iliyopita tulionyeshwa ramani ya jengo la gorofa wakidai ndiyo itakuwa Ofisi mpya ya CHADEMA.

Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.

Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?

2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?

3. Nani mmiliki wa chopa?

ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.
Wanadai wamenunua nyumba ya mtu lakini tuwape miaka miwili watupiwe vyombo nje tuambiwe mwenye nyumba Mbowe hajalipwa pesa ya pango!
 
Miezi kadhaa iliyopita tulionyeshwa ramani ya jengo la gorofa wakidai ndiyo itakuwa Ofisi mpya ya CHADEMA.

Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.

Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?

2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?

3. Nani mmiliki wa chopa?

ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.
Put here a map and a picture of the building and compare it with that you say.
 
Kwamba hapa ndio umejibu hoja ya ndugu aletaka tu, kufahamu status ya ofisi mpya ya Chama? 🤓 Kama huna jibu unaketi kimya tu kiungwana.

Vinginevyo kama ndio upambanaji basi katikati ya mapambano kuna kugeukana zaidi ya vikosi vya Wagner,
Hana hoja, hilo ni chawa la CCM linataka kuhamisha hoja ya bandari zetu!
 
Issue ni kuwa Chadema wapi ilitoaoficil ramani ya jengo la chama? wapi chadema wametangaza kuwa hilo lililochapishwa kwenye gazet dilo jengo jipya?

Let our focus be on Bandai zetu
 
Miezi kadhaa iliyopita tulionyeshwa ramani ya jengo la gorofa wakidai ndiyo itakuwa Ofisi mpya ya CHADEMA.

Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.

Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?

2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?

3. Nani mmiliki wa chopa?

ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.

Kwa maoni yangu, without fear of contradictions ukiangalia na kutathimini picha za jengo, hali ya jengo na location ya jengo. Whether ni jipya au la zamani, 2b is reasonable price kabisa. Muhimu tu liwe ni la chadema sio la kupanga.
 
Kwa maoni yangu, without fear of contradictions ukiangalia na kutathimini picha za jengo, hali ya jengo na location ya jengo. Whether ni jipya au la zamani, 2b is reasonable price kabisa. Muhimu tu liwe ni la chadema sio la kupanga.
Hahaaaaa unaifahama 2bi.?
 
Taarifa kamili za hilo jengo sina, kama ni la kupanga au wamenunua, lakini nachojua hilo halitakuwa lakudumu kwa kuendeshea shughuli zao, bado wana mpango wa kujenga makao makuu yao.
Tunahitaji ufafanuzi
 
Kwani wakiwa na Majengo mawili wanavunja sheria gani?

Uvccm mnawaza kimaskini sana ndio sababu mmeshindwa kuendesha Bandari mnaishia Kuendesha Kamari kwenye Maonesho ya Saba Saba 😄😄
Mnaonyesha Raman Kali mnakuja kujenga kijumba Cha udongo🤣
 
Back
Top Bottom