Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Hahaaaaa unaifahama 2bi.?
🤓 Si ruzuku Yao ya muda mfupi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaa unaifahama 2bi.?
Unazungumza ramani ya Iringa?Hahaaa nyie jamaa mafisadi sana kwahyo hyo ofs mmepanga/mmenunua,Sasa ramani mlituonyesha ya nn huku hamna uwezo wa kujenga
Ramani ilikutesa sana?Mnaonyesha Raman Kali mnakuja kujenga kijumba Cha udongo🤣
Kuna ufisadi syo bure haiwezekani mchore Raman kwa garama kubwa ili hali hamtaijenga, inaonyesha hela zilikuwepo mmepga. Sahz mnaonyesha jengo la kupanga 🤣Ramani ilikutesa sana?
Ukiolewa utakuwa unaonea Wivu misosi ya mpangaji mwenzako 😄
Hilo jengo limenunuliwaLile jengo Mikocheni ni la kupanga, ipo bilioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa majengo mawili ya makao makuu, moja Zanzibar, na jingine Dsm.
Miezi kadhaa iliyopita tulionyeshwa ramani ya jengo la gorofa wakidai ndiyo itakuwa Ofisi mpya ya CHADEMA.
Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.
Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?
2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?
3. Nani mmiliki wa chopa?
ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.
Hela ni ruzuku Kodi zetu mmepokea ruzuku toka 1992 hadi Leo hii mnatuonyesha nyumba used Tena yakupanga. Hela mmepeleka wapiWhy usiulize kiasi cha pesa ulichotoa na Aina ya jengo lililojengwa?
Unauliza its like kuna pesa yoyote umetoa
Mambo mengine yaache Tu yakupite sio kila kitu kuhoji
You have no argument, only blem, you gay.Mnaonyesha Raman ya gorofa mnazindua nyumba ya kupanga hopeless kabisa Nyie 🚮 ndo maana mnakaa Ni viongozi miaka 28 hamubadilishi. Ndo maana mnaitwa MANYUMBU Kama ww hvi kiazi we!
Kwani ukioneshwa ramani baadae wakaja na wazo tofauti la kujenga tofauti na ramani ya awali kuna nongwa gani? so far jengo ni lao, muwasho unatokea wapi?Miezi kadhaa iliyopita tulionyeshwa ramani ya jengo la gorofa wakidai ndiyo itakuwa Ofisi mpya ya CHADEMA.
Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.
Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?
2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?
3. Nani mmiliki wa chopa?
ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.
Nimekwambia ivo kwasaabbu umeshindwa kujua hilo jengo unalolisema sio kwa ajili ya Dar mzeeMbona mnakuwa wakali jibuni maswali hayo...mnaficha maovu yenu kwa mgongo wa bandari wezi nyie🤣
Tupo busy kuyashitaki majizi yanayotaka kuuza bandari kwa DP World!Jengo ni la umma Ni Kodi zetu Ni ruzuku zetu acheni utapeli