MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
Makao Makuu ndio pale Nenda Ardhi kafanye Title search utajua kama wamepanga au wamenunua Tumia basi akiliTaarifa kamili za hilo jengo sina, kama ni la kupanga au wamenunua, lakini nachojua hilo halitakuwa lakudumu kwa kuendeshea shughuli zao, bado wana mpango wa kujenga makao makuu yao.
Wanadai wamenunua nyumba ya mtu lakini tuwape miaka miwili watupiwe vyombo nje tuambiwe mwenye nyumba Mbowe hajalipwa pesa ya pango!Miezi kadhaa iliyopita tulionyeshwa ramani ya jengo la gorofa wakidai ndiyo itakuwa Ofisi mpya ya CHADEMA.
Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.
Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?
2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?
3. Nani mmiliki wa chopa?
ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.
CCM mbona haina Mapori, Washauri kwanza CCM kwani ni CHAMA kizeeKwa ukubwa wa chama chao... wangetafuta mkoa wowowote wanunue hata pori kubwa heka 100 kwa ml 10 tuu... wangetengeneza makao makuu makubwa na kufanya siasa za kufa mtu. Tatizo hii nchi hainaga mtu yupo serious
Kama huna majibu tulia waje wahusika masupreme leader wenyewe
Put here a map and a picture of the building and compare it with that you say.Miezi kadhaa iliyopita tulionyeshwa ramani ya jengo la gorofa wakidai ndiyo itakuwa Ofisi mpya ya CHADEMA.
Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.
Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?
2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?
3. Nani mmiliki wa chopa?
ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.
Hana hoja, hilo ni chawa la CCM linataka kuhamisha hoja ya bandari zetu!Kwamba hapa ndio umejibu hoja ya ndugu aletaka tu, kufahamu status ya ofisi mpya ya Chama? 🤓 Kama huna jibu unaketi kimya tu kiungwana.
Vinginevyo kama ndio upambanaji basi katikati ya mapambano kuna kugeukana zaidi ya vikosi vya Wagner,
Hatakama ni chawa la lipe za uso za Ukweli kwa usahihi likaumize kichwa na kitu kingine huko machimboni kwaoHana hoja, hilo ni chawa la CCM linataka kuhamisha hoja ya bandari zetu!
CCM wamesha jenga makao makuu ofisi kubwa za kujitoshelezaCCM mbona haina Mapori, Washauri kwanza CCM kwani ni CHAMA kizee
Na wapi Chadema ilisema mambo ya bilioni 2? Msisikilize mambo ya mitaani. Wakitoa oficial notice kuwa jengo ni hilo, then mtu naweza akahoji.....Sasa Wewe ulidhani bil 2 utanunua ghorofa Mikocheni?
Miezi kadhaa iliyopita tulionyeshwa ramani ya jengo la gorofa wakidai ndiyo itakuwa Ofisi mpya ya CHADEMA.
Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.
Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?
2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?
3. Nani mmiliki wa chopa?
ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.
Dar siyo Tanga bwashee 😄😄Na wapi Chadema ilisema mambo ya bilioni 2? Msisikilize mambo ya mitaani. Wakitoa oficial notice kuwa jengo ni hilo, then mtu naweza akahoji.....
Hahaaaaa unaifahama 2bi.?Kwa maoni yangu, without fear of contradictions ukiangalia na kutathimini picha za jengo, hali ya jengo na location ya jengo. Whether ni jipya au la zamani, 2b is reasonable price kabisa. Muhimu tu liwe ni la chadema sio la kupanga.
Mnaonyesha Raman Kali mnakuja kujenga kijumba Cha udongo🤣Kwani wakiwa na Majengo mawili wanavunja sheria gani?
Uvccm mnawaza kimaskini sana ndio sababu mmeshindwa kuendesha Bandari mnaishia Kuendesha Kamari kwenye Maonesho ya Saba Saba 😄😄