#COVID19 Ofisi nyingi hazitaruhusu watu kuingia bila kuwa na chanjo

#COVID19 Ofisi nyingi hazitaruhusu watu kuingia bila kuwa na chanjo

Japo kwa sasa wanasema chanjo ni hiyari, lakini ninapenda kuwahakikishia huko mbeleni hakuna ofisi yoyote ya Serikali utakayoweza kuingia bila ya kuwa na kibali cha chanjo.

Kwa namna moja au nyingine itatulazimu na sisi tusiotaka kuchanjwa tuchanje bila kupenda maana hatutakuwa na jinsi.

Kwa kifupi huyu mama ametuharibia sana nchi ndani ya kipindi kifupi sana.

Hili suala la korona tulikuwa tumeshalisahau kitambo, watu wachache wenye maslahi yao binafsi wamemshika masikio matokeo yake anaturudisha kule kule tulipotoka.
Madalali wachumia tumbo wakiongozwa na Tony Blair ndio wanaleta hizi shida, ila hakika nawaambia, hakuna atakaechoma hizo chanjo za majaribio , penye nia pana njia, tutatafuta namna ya kufanya
 
Japo kwa sasa wanasema chanjo ni hiyari, lakini ninapenda kuwahakikishia huko mbeleni hakuna ofisi yoyote ya Serikali utakayoweza kuingia bila ya kuwa na kibali cha chanjo.

Kwa namna moja au nyingine itatulazimu na sisi tusiotaka kuchanjwa tuchanje bila kupenda maana hatutakuwa na jinsi.

Kwa kifupi huyu mama ametuharibia sana nchi ndani ya kipindi kifupi sana.

Hili suala la korona tulikuwa tumeshalisahau kitambo, watu wachache wenye maslahi yao binafsi wamemshika masikio matokeo yake anaturudisha kule kule tulipotoka.
ndugu we acha tu jpm alikuwa na uchungu sana na hii nchi na akawa anaeleza kabisa ubaya wa hizo chanjo maskini watu wakambeza wakamtukana mpaka mzee wa watu kajiondokea kwa baba lakini alishawahi kusema kuwa MTANIKUMBUKA TENA MTANIKUMBUKA KWA MAZURI SIYO KWA MABAYA yaani bado asubuhiiiii tyushaanza kumkumbuka tunasahau matusi yote watu walikuwa wana mtukana Mungu amrehemu huko aliko ampe pumziko la milele
 
Japo kwa sasa wanasema chanjo ni hiyari, lakini ninapenda kuwahakikishia huko mbeleni hakuna ofisi yoyote ya Serikali utakayoweza kuingia bila ya kuwa na kibali cha chanjo.

Kwa namna moja au nyingine itatulazimu na sisi tusiotaka kuchanjwa tuchanje bila kupenda maana hatutakuwa na jinsi.

Kwa kifupi huyu mama ametuharibia sana nchi ndani ya kipindi kifupi sana.

Hili suala la korona tulikuwa tumeshalisahau kitambo, watu wachache wenye maslahi yao binafsi wamemshika masikio matokeo yake anaturudisha kule kule tulipotoka.
Haitofika huko labda wewe kama dalali umekuja na hii gia kupata wateja...
 
Kama watu wameweza kufoji hela hata kadi za chanjo watafoji tu
Issue hata sio kuchanja watu, issue ni pesa watakayotengeneza kwenye zoezi la kuchanja, kuna madalali wameshajiweka standby kupiga pesa ndefu, yaani uchanje, usichanje wala hawajali sana, cha msingi wanaandika tu kwamba tumechanja watu milioni 10 hata kama hakuna aliechanja, na watalipwa pesa yote kwa kazi hiyo, na wewe ukitaka hata cheti original cha kuchanja bila hata kuchanjwa watakupa ili mradi una pesa ya kuwahonga, kwahiyo wanakula huku na huku, pesa achaneni nayo nyie...
 
Japo kwa sasa wanasema chanjo ni hiyari, lakini ninapenda kuwahakikishia huko mbeleni hakuna ofisi yoyote ya Serikali utakayoweza kuingia bila ya kuwa na kibali cha chanjo.

Kwa namna moja au nyingine itatulazimu na sisi tusiotaka kuchanjwa tuchanje bila kupenda maana hatutakuwa na jinsi.

Kwa kifupi huyu mama ametuharibia sana nchi ndani ya kipindi kifupi sana.

Hili suala la korona tulikuwa tumeshalisahau kitambo, watu wachache wenye maslahi yao binafsi wamemshika masikio matokeo yake anaturudisha kule kule tulipotoka.

Nyinyi si ni hiari kutochanjwa mbona mnataka kulazimishana pa kuingia?

Kwanini isiwe hivi ni hiari ya wenye ofisi zao kuruhusu waingiao?

Kwenye hiari hizi tuheshimiane tu.
 
Hili jambo naona kama lina ukweli, kuna mahali nilisikia "chanjo haikuja kwa ajili ya corona bali corona ilikuja kwa ajili ya chanjo" 🤔
 
Chanjo=namba ya NIDA(sio lazima kuwa nayo ila matumizi yake ni ya lazima). Utachagua mwenyewe, haya mambo ni hatari sana.
 
Japo kwa sasa wanasema chanjo ni hiyari, lakini ninapenda kuwahakikishia huko mbeleni hakuna ofisi yoyote ya Serikali utakayoweza kuingia bila ya kuwa na kibali cha chanjo.

Kwa namna moja au nyingine itatulazimu na sisi tusiotaka kuchanjwa tuchanje bila kupenda maana hatutakuwa na jinsi.

Kwa kifupi huyu mama ametuharibia sana nchi ndani ya kipindi kifupi sana.

Hili suala la korona tulikuwa tumeshalisahau kitambo, watu wachache wenye maslahi yao binafsi wamemshika masikio matokeo yake anaturudisha kule kule tulipotoka.
Hoja
 
Madalali wachumia tumbo wakiongozwa na Tony Blair ndio wanaleta hizi shida, ila hakika nawaambia, hakuna atakaechoma hizo chanjo za majaribio , penye nia pana njia, tutatafuta namna ya kufanya
Sasa hivi kila kukicha wanatumia mbinu mpya kutisha watu, ukienda hospitali pengune wakakukuta na malaria ama ugonjwa mwengine... Watalazimisha ulazwe na ndugu zako watapewa taarifa kuwa una matatizo ya kupumua.... Nasema hivyo Nina mtu wa karibu namfahamu.... Anasumbuliwa na maralia tumempeleka hospitality kubwa tu... Ndugu wamefika getini wanaambiwa ana matatizo ya kupumua kaeni mbali.....
Nikasema duuh! Mungu wa mbinguni atawajibu tu.... Wamepewa dhamana ya kuwaljnda wa tz afu wanataka kuwaangamiza kwanguvu......
 
Sasa hivi kila kukicha wanatumia mbinu mpya kutisha watu, ukienda hospitali pengune wakakukuta na malaria ama ugonjwa mwengine... Watalazimisha ulazwe na ndugu zako watapewa taarifa kuwa una matatizo ya kupumua.... Nasema hivyo Nina mtu wa karibu namfahamu.... Anasumbuliwa na maralia tumempeleka hospitality kubwa tu... Ndugu wamefika getini wanaambiwa ana matatizo ya kupumua kaeni mbali.....
Nikasema duuh! Mungu wa mbinguni atawajibu tu.... Wamepewa dhamana ya kuwaljnda wa tz afu wanataka kuwaangamiza kwanguvu......
Duh sad
 
Wale wanafunzi wa geita waliokuwa wanachoma shule tukiwachangia hela wawe wanachoma magodauni ya chanjo inapotunziwa ikifika nchini hiyo mbinu haitotusaidia kweli? Hivyo tutakuwa na kisingizio kuwa chanjo hazitoshi kumbe hatutaki kuchanjwa. Ndege ikileta tu fire. Ikileta tena fayaaa. Au mnaonaje ndugu zangu
 
Back
Top Bottom