#COVID19 Ofisi nyingi hazitaruhusu watu kuingia bila kuwa na chanjo

#COVID19 Ofisi nyingi hazitaruhusu watu kuingia bila kuwa na chanjo

Kuna waliochanjwa, wameambukizwa na kufa, kuna haja gani kuchanjwa kama ngoma ni droo
Tatizo siyi kuchanjwa mkuu.

Lipo hapa, kupata huduma muhimu mfano, unatakiwa kwenda nchi za ulaya kusaini mkataba au jambo lolote muhimu kwako.
 
Ukichanja tu,mkeo hutaweza kumpa mimba!
Subirini mtashuhudia mbeleni huko!
 
Damu ikiganda inamaanisha mwisho wa maisha, hivyo mimba utampaje mkeo?
 
Japo kwa sasa wanasema chanjo ni hiyari, lakini ninapenda kuwahakikishia huko mbeleni hakuna ofisi yoyote ya Serikali utakayoweza kuingia bila ya kuwa na kibali cha chanjo.

Kwa namna moja au nyingine itatulazimu na sisi tusiotaka kuchanjwa tuchanje bila kupenda maana hatutakuwa na jinsi.

Kwa kifupi huyu mama ametuharibia sana nchi ndani ya kipindi kifupi sana.

Hili suala la korona tulikuwa tumeshalisahau kitambo, watu wachache wenye maslahi yao binafsi wamemshika masikio matokeo yake anaturudisha kule kule tulipotoka.

Magu pia alikua anaipeleka pabaya hii nchi, ameipinga chanjo na kusababisha maelufu ya raia kupoteza maisha, ndugu jamaa wametutoka for covid-19. Uyu mama karuhusu ili kuokoa maisha ya watu, na sio lazima bali ni hiali.

Ukija swala la ajira, amefungia migodi and athers amewafilisi na kuperekea kufunga migodi, others amewabambikia makesi ya makodi na kutaifisha mali za wageni mfano wahindi n.k. Apo tayali ashasababisha maelufu ya watanzania wapoteze ajira na kujikuta wanazulula mijini.

So kuna mazuli na mabaya vile vile kayafanya.

Ivyo huwezi nishawishi jpm alikua raisi wa wanyonge/anaipereka nchi kwenye neema.Nooooo.

Huyu mama anatakiwa abadirike from now, asifuate nyayo za magu. Tozo za miamala, kodi n.k apunguze Katiba vile vile aipitishe.
 
Back
Top Bottom