TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Tatizo siyi kuchanjwa mkuu.Kuna waliochanjwa, wameambukizwa na kufa, kuna haja gani kuchanjwa kama ngoma ni droo
Lipo hapa, kupata huduma muhimu mfano, unatakiwa kwenda nchi za ulaya kusaini mkataba au jambo lolote muhimu kwako.