Ofisi ya CAG yatangaza Nafasi za Kazi 104 kwa Kada mbalimbali

Ofisi ya CAG yatangaza Nafasi za Kazi 104 kwa Kada mbalimbali

Nimeiweka, si naiweka kwenye Experience?

Wakiniambia FAILED wanasema niangalie Academic na Professional qualification, hii sehemu wao wameorodhesha ambapo najaza kulingana na wao walivyoorodhesha(yaani siwezi kujaza kivyangu). Sasa sijui wanataka nini zaidi maana wanaendelea kuniambia Failed
Ivi taarifa zako ulijaza au ulijaziwa?
 
Hapana job category unaipata ukiwa unajaza academic nenda kwenye edit
Mkuu hapa kwenye Academic Qualifications? ebu nioneshe
IMG_20220528_184527_236~2.jpg
 
Mimi naona waajiriwa wa hii ofisi walipwe hata mara mbili ya waajiriwe wengine wa kada zinazofanana..... Mambo ya rushwa au mnasemaje wadau......
 
Nimeiweka, si naiweka kwenye Experience?

Wakiniambia FAILED wanasema niangalie Academic na Professional qualification, hii sehemu wao wameorodhesha ambapo najaza kulingana na wao walivyoorodhesha(yaani siwezi kujaza kivyangu). Sasa sijui wanataka nini zaidi maana wanaendelea kuniambia Failed
Tusubiri jumatatu. System huenda ikatulia. Kozi zimeandikwa kiswahili huenda system ikawa inapata shida ku match
 
Hapo kwenye program category weka category ya kwenye ile nafasi ukitaka kuijua category nenda kwenye vacancy click hiyo nafasi utaona maelezo
Haipo, ila zipo caregory za jumla mf Health ambapo hapa kuna programme nyingi tofauti tofauti. Na hapa programme zinakuja kama zilivyo mavyuoni( yaani Bachelor of .....).

Job post walioisema naona inafit kuijaza kwenye work experience ila nimefanya hivyo lakini wanazidi kusema niangalie vigezo vya academic na professional.

Mnaokubaliwa huwa mnafanyaje? usikute nang'ang'a hapa kumbe ni nafasi ya mtu ananichora tu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mbona nimesema hapo kwamba inamaanisha kozi yako haIwezi omba hiyo post.

Na ikatokea umebadili jina la kozi ukiapply utaitwa interview ila hua wanakagua vyeti na pale utaambiwa tu cheti chako hakiwezi omba hii kazi so umedanganya system.
Kuna kozi huwa zinawachanganya sana utumishi,interview nyingi huwa wanawazuia watu WA procurement and supplies management na procurement and logistic management.Inabidi utumishi wakae na kuzitafakali uwiyano wa hizi kozi.
 
Haipo, ila zipo caregory za jumla mf Health ambapo hapa kuna programme nyingi tofauti tofauti. Na hapa programme zinakuja kama zilivyo mavyuoni( yaani Bachelor of .....).

Job post walioisema naona inafit kuijaza kwenye work experience ila nimefanya hivyo lakini wanazidi kusema niangalie vigezo vya academic na professional.

Mnaokubaliwa huwa mnafanyaje? usikute nang'ang'a hapa kumbe ni nafasi ya mtu ananichora tu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo ni ishu ya system Yao
Sijawahi kuona system mbovu kama ajira portal
Hawataki kuiupdate na kuifanyia mantainance wao wanaona Raha kupigwa na kiyoyozi huku watoto wa masikini wanateseka..
Ishu KUBWA hiyo system inaonekana waliiset kwenye lugha ya kiingereza
Yan job requirements inatakiwa imatch na job position in English way
Sasa job position ya national audit wameiweka Kwa Kiswahili ndo maana system inashindwa Ku match at the end Lazima ikujibu job failed Tu.
So ni wao ndo wamezingua.
 
Hiyo ni ishu ya system Yao
Sijawahi kuona system mbovu kama ajira portal
Hawataki kuiupdate na kuifanyia mantainance wao wanaona Raha kupigwa na kiyoyozi huku watoto wa masikini wanateseka..
Ishu KUBWA hiyo system inaonekana waliiset kwenye lugha ya kiingereza
Yan job requirements inatakiwa imatch na job position in English way
Sasa job position ya national audit wameiweka Kwa Kiswahili ndo maana system inashindwa Ku match at the end Lazima ikujibu job failed Tu.
So ni wao ndo wamezingua.
Hivi kwa aliyesoma education na masomo ya kufundishia ni economics na commerce, anaweza kuomba kama mchumi? Msaada wakuu
 
Hivi kwa aliyesoma education na masomo ya kufundishia ni economics na commerce, anaweza kuomba kama mchumi? Msaada wakuu
Inawezekana Ndio
Mimi kuna Bro wangu mmoja alipiga diploma ya education,
Baadae degree akapiga ya computer science with education, Sasa Hivi anapiga Kazi kama ICT OFFICER sehemu Fulani.
Lakini wakati huo hakuitumia system ya ajira portal. Kuna wale wa NIT wao Wana kozi inaitwa BEMIT( Bachelor of education in Mathematics with Information Technology) nae kuna Jamaa Yangu ni ICT OFFICER sehemu anakula Maisha Tu.
Ila Kwa jinsi ninavyoijua hii system ya ajira portal itakukataa mapema Sana Asubuhi labda uwatimbie physically makao makuu Yao watakusaidia
Lakini Kwa system Yao ilivyokuwa mbovu haitakusaidia Mkuu.
Jiongeze Mapema
 
Hiyo ni ishu ya system Yao
Sijawahi kuona system mbovu kama ajira portal
Hawataki kuiupdate na kuifanyia mantainance wao wanaona Raha kupigwa na kiyoyozi huku watoto wa masikini wanateseka..
Ishu KUBWA hiyo system inaonekana waliiset kwenye lugha ya kiingereza
Yan job requirements inatakiwa imatch na job position in English way
Sasa job position ya national audit wameiweka Kwa Kiswahili ndo maana system inashindwa Ku match at the end Lazima ikujibu job failed Tu.
So ni wao ndo wamezingua.
Kuna wapo ambao huwa wanaweza kuapply, huwa wanawezaje? Hapa inabidi watueleze.

Utashangaa watu wengi wanaitwa kwenye usahili ilihali system ilikugomea huku ukiwa na vigezo vyote.
 
Kuna wapo ambao huwa wanaweza kuapply, huwa wanawezaje? Hapa inabidi watueleze.

Utashangaa watu wengi wanaitwa kwenye usahili ilihali system ilikugomea huku ukiwa na vigezo vyote.
Wengi hua wanapiga simu wanateleza...Ila tatzo likiwa kubwa Wana skirt out kwa wote
 
Wengi hua wanapiga simu wanateleza...Ila tatzo likiwa kubwa Wana skirt out kwa wote
Hayo ndio mambo ya koneksheni sasa. Upuuzi kuweka kitu Public halafu usubiri utafutwe ndio uruhusu ulichokiweka public
 
Hayo ndio mambo ya koneksheni sasa. Upuuzi kuweka kitu Public halafu usubiri utafutwe ndio uruhusu ulichokiweka public
Unapiga simu kwenye official namba zao mzee (help desk)...wanakusaidia tatzo lko
 
Back
Top Bottom