Ofisi ya CHADEMA Mikocheni ina ukumbi mkubwa sana, kwanini wanaranda randa katika kumbi za hoteli za kifahari, wakati wanasema hawana hela?ufisadi?

Ofisi ya CHADEMA Mikocheni ina ukumbi mkubwa sana, kwanini wanaranda randa katika kumbi za hoteli za kifahari, wakati wanasema hawana hela?ufisadi?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ofisi ya chadema makao makuu mikocheni ina ukumbi mkubwa sana, kwa nini wasifanyie vikao hapo? Wanaenda kukodi kumbi za makumi ya mamilioni wakati wanalia chama hakina hela? Chama kinafanyia maamuzi hotelini? Wanapishana na watu wametoka kuzini au wana mataulo walikuwa wanaoga?

Chadema, tumieni kumbi za ofisini kwenu, tumechoka kuchangishwa ili mkale raha mahotelini
 
Mara zote hizo hotel Chadema hupewa bure na wazalendo waliochoshwa na ccm, nakung'ata sikio ila usimuambie mtu

Screenshot_2025-02-10-18-32-15-1.png
 
Ofisi ya chadema makao makuu mikocheni ina ukumbi mkubwa sana, kwa nini wasifanyie vikao hapo? Wanaenda kukodi kumbi za makumi ya mamilioni wakati wanalia chama hakina hela? Chama kinafabhia maamuzi hotelini? Wanapishana na watu wametoka kuzini au wana mataulo walikuwa wanaoga?

Chadema, tumieni kumbi za ofisini Owens, tumechoka kichangishwa ili mkale raha mahotelini
Kumbi zao hazina facilities zote za mikutano.

Unafikiri mkutano kana huo unahitaji space pekee?
 
Kumbi zao hazina facilities zote za mikutano.

Unafikiri mkutano kana huo unahitaji space pekee?
Acha utetezi wa kitoto. Hayo mamilioni ya kulipa mahoteli hayatoshi kununua hizo facilities?
 
Wewe unajua Nani analipia hiyo mikutano?

Hata mbowe alikuwa anawajifanya kukopesha chama kumbe Muongo tu pesa alikuwa anapewa na watu Tena wengine kutoka ndani ya ccm

Ungejua hii nchi watu wamechoka we unafikiria waliochoka ni NETO tu pole sana
 
Kuna huyo Erythrocyte anasema kuwa wanapewa kumbi bure. Hakuna mfanyabiashara makini atatoa ukumbi bure.
Nitafutie cheki ya malipo ya mkutano ulifanyika mlimani city wa uchaguzi chadema ukiipata nakupa laki5
 
Nitafutie cheki ya malipo ya mkutano ulifanyika mlimani city wa uchaguzi chadema ukiipata nakupa laki5
A
Wewe unajua Nani analipia hiyo mikutano?

Hata mbowe alikuwa anawajifanya kukopesha chama kumbe Muongo tu pesa alikuwa anapewa na watu Tena wengine kutoka ndani ya ccm

Ungejua hii nchi watu wamechoka we unafikiria waliochoka ni NETO tu pole sana
Huna akili
 
Back
Top Bottom