Magufuli ninacho jua atataka uwanja mkubwa wa mawaziri, kwa hiyo hata taka tena wabunge wa kuteuliwa wamtie mashaka ndio maana wabunge wote wa kuteuliwa kawaambie wakaombe kura.
Pili Magufuli anahitahi watu wachache sana wa ccm ya zamani kama kina mkuchika ambao wanashikilia mikoba na nidhamu ndani ya serukali, wengine atahitaji watu makini na vijana kama kina Jafo.
Naamini wabunge wa ccm 2020-2025 , more than 60% watakua PHD holder.
Sio sababu ya Ole sendeka kuwa kwenye serikali yenye kasi kama hii..
Ajenda ya maendeleo imeteka kila kitu kwa sasa na is not kwa bahati, magufuli is smart beyond many phd holders.