Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

Tusaidieni kero hii, approver wa Ifakara TC kwenye madaraja anafanya kazi kwa kujivuta sana.

Wilaya nyingine watu wamekuwa approved tangu mapema sana ila Ifakara T.C waliokuwa approved ni wachache sana.

Shida iko kwa approver.

Tunaomba kero hii ishugulikiwe haraka sana.
 
Kituo cha afya Bulale - Buhongwa Mkoa mwa mwanza. Tunashukuru Kwa kutusogezea huduma ya Afya karibu. Asanteni Sana lakini changamoto kubwa ni Maji. Inafikia hatua mgonjwa anaenda chooni haja kubwa na kopo la maji ya kununua. Chimbeni kisima au hamasisheni watu wachangie kuchimba kisima. Mimi nitachangia.
 
Ndugu wana JamiiForums,

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), kupitia thread hii, tutapokea Maoni, Ushauri, Malalamiko, Mapendekezo yako Mwananchi. Tunakuhakikishia kuchukua hatua stahiki kwa haraka zaidi kwa kile utakachokiwasilisha kwetu.

Ikumbukwe kuwa tangu Mwaka 1961 hadi sasa Ofisi ya Rais –TAMISEMI imekuwa ni Wizara inayojitegemea na madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka Madaraka kwa Wananchi ambapo chimbuko lake ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 Sura ya 8, Ibara ya 145 na 146.

Hadi sasa Nchi ina Mikoa 26, Wilaya 139, Halmashauri 184, Tarafa 570, Kata 3,956, Vijiji 12,319, Vitongoji 64,361 pamoja na Mitaa 4,263.

Majukumu ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI
yanatekelezwa katika ngazi ya Makao Makuu, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuzingatia Hati ya Rais ya Mgawanyo wa Majukumu (Presidential Instrument) iliyotolewa na Rais Mei 2021, majukumu ya OR-TAMISEMI ni pamoja na:-

i) Kuratibu utekelezaji wa Sera ya Maendeleo Mijini na Vijijini na Upelekaji wa Madaraka kwa Umma (D by D);
ii) Kuratibu huduma mijini kama vile usafirishaji, maji na usafi wa mazingira;
iii) Kusimamia Tume ya Utumishi wa Walimu;
iv) Kuratibu na Kusimamia Tawala za Mikoa ili ziweze kuziwezesha Halmashauri kutekeleza wajibu wake;
v) Kuratibu Usimamizi na Uendeshaji wa Shule za Msingi na Sekondari nchini kupitia Mamlaka za Serikali za Mitaa (MSM);
vi) kusimamia na kuratibu shughuli za utolewaji wa huduma za Afya ya Msingi, Ustawi wa Jamii na Lishe
vii) Kuratibu na kusimamia mifumo na miundombinu ya TEHAMA katika Ofisi za Wakuu wa Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi
viii) Kujenga uwezo wa watumishi wa OR-TAMISEMI ili watekeleze majukumu yao kwa ufanisi
ix) Kuratibu shughuli za wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo
x) Kusimamia utendaji wa Mashirika, Taasisi, Programu na miradi iliyo chini ya OR-TAMISEMI

Kupitia JamiiForums.com unaweza kuwasiliana nasi (OR-TAMISEMI) kwa kutuma ujumbe wako kwenye sehemu ya kuweka maoni hapo chini au tutumie kupitia Private Message (PM).

Pia, tunapatikana kupitia:

Instagram @ortamisemi
Twitter @ortamisemitz
Facebook Ofisi ya Rais-Tamisemi
Website www.tamisemi.go.tz
YouTube @ortamisemi
Watssap channel: Ofisi ya Rais - TAMISEMI

Anuani
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
S.l.P 1923 Dodoma - Tanzania,
Telephone: +255 262 321 234
Fax: +255 262 322 116
Email: ps@tamisemi.go.tz
Complain: ps@tamisemi.go.tz

Kituo cha Huduma kwa Mteja
+255 735 160 210 au +255 26 216 0210
Kuanzia saa 1:30 asubuhi mpaka saa 10:30 jioni
Muwe mnatoa taarifa za Mapato ya ndani ya Halmashauri kama ilivyokuwa awamu ya Jafo
 
Ajira ajira ajira, sisi waalimu tangu itangazwe kwamba rais ametoa kibali cha ajira 12,000 hadi leo ni kimya tena hiyo ilikuwa ni mwaka wa fedha 23/24
Nini kilikwamisha huu mchakato? Mbona kada ya ualimu ni miongoni mwa Kada yenye mishahara midogo sana inakuwaje inakuwa ngumu kuajiri?
Mimi naishi Dar es salaam ila kiukweli uhaba wa waalimu ni mkubwa sanaa sijajua huko vijijini hali ipoje, inakuwaje mnashndwa kuajiri waalimu wakutosha katika hali ya uhitaji kiasi hiki haliyakuwa waalimu wamejaa kibao mtaani?

Wengi wa waliosoma fani ya ualimu ni watanzania wakawaida sana kiuchumi, wamelazimika kusoma ualimu kwasababu tu ya uhakika wa kupata mkopo wa HESLB na sasa wapo mtaani watu hawa hawana namna ya kurudisha hiyo mikopo huku serikali ikihangaika namna ya kuwakopesha madogo mpaka wamekuja na hii program yao ya FICHUA

Hebu tupeni ajira jamani tuweze
1. KURUDISHA HELA ZA HESLB ILI WENGINE WAKOPESHWE
2.TUWEZE KUJIKIMU MAISHA
3. TUWEKE KULIPA KODI KUONGEZA MAPATO YA SERIKALI ie Paye nk.
4. TUWEZE KUIHUDUMIA JAMII YENYE UHITAJI MKUBWA WA NGUVU KAZI YETU MASHULENI
5. TUONGEZE MZUNGUKO WA FEDHA

Mwisho kabisa 😭😭😭😭😭😭
Kuna watumishi wanatakiwa kuwekwa kwenye kundi Rika walioajiriwa nao ili wawe sawa hii imefikia wapi?please jibu
 
Ndugu wana JamiiForums,

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), kupitia thread hii, tutapokea Maoni, Ushauri, Malalamiko, Mapendekezo yako Mwananchi. Tunakuhakikishia kuchukua hatua stahiki kwa haraka zaidi kwa kile utakachokiwasilisha kwetu.

Ikumbukwe kuwa tangu Mwaka 1961 hadi sasa Ofisi ya Rais –TAMISEMI imekuwa ni Wizara inayojitegemea na madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka Madaraka kwa Wananchi ambapo chimbuko lake ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 Sura ya 8, Ibara ya 145 na 146.

Hadi sasa Nchi ina Mikoa 26, Wilaya 139, Halmashauri 184, Tarafa 570, Kata 3,956, Vijiji 12,319, Vitongoji 64,361 pamoja na Mitaa 4,263.

Majukumu ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI
yanatekelezwa katika ngazi ya Makao Makuu, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuzingatia Hati ya Rais ya Mgawanyo wa Majukumu (Presidential Instrument) iliyotolewa na Rais Mei 2021, majukumu ya OR-TAMISEMI ni pamoja na:-

i) Kuratibu utekelezaji wa Sera ya Maendeleo Mijini na Vijijini na Upelekaji wa Madaraka kwa Umma (D by D);
ii) Kuratibu huduma mijini kama vile usafirishaji, maji na usafi wa mazingira;
iii) Kusimamia Tume ya Utumishi wa Walimu;
iv) Kuratibu na Kusimamia Tawala za Mikoa ili ziweze kuziwezesha Halmashauri kutekeleza wajibu wake;
v) Kuratibu Usimamizi na Uendeshaji wa Shule za Msingi na Sekondari nchini kupitia Mamlaka za Serikali za Mitaa (MSM);
vi) kusimamia na kuratibu shughuli za utolewaji wa huduma za Afya ya Msingi, Ustawi wa Jamii na Lishe
vii) Kuratibu na kusimamia mifumo na miundombinu ya TEHAMA katika Ofisi za Wakuu wa Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi
viii) Kujenga uwezo wa watumishi wa OR-TAMISEMI ili watekeleze majukumu yao kwa ufanisi
ix) Kuratibu shughuli za wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo
x) Kusimamia utendaji wa Mashirika, Taasisi, Programu na miradi iliyo chini ya OR-TAMISEMI

Kupitia JamiiForums.com unaweza kuwasiliana nasi (OR-TAMISEMI) kwa kutuma ujumbe wako kwenye sehemu ya kuweka maoni hapo chini au tutumie kupitia Private Message (PM).

Pia, tunapatikana kupitia:

Instagram @ortamisemi
Twitter @ortamisemitz
Facebook Ofisi ya Rais-Tamisemi
Website www.tamisemi.go.tz
YouTube @ortamisemi
Watssap channel: Ofisi ya Rais - TAMISEMI

Anuani
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
S.l.P 1923 Dodoma - Tanzania,
Telephone: +255 262 321 234
Fax: +255 262 322 116
Email: ps@tamisemi.go.tz
Complain: ps@tamisemi.go.tz

Kituo cha Huduma kwa Mteja
+255 735 160 210 au +255 26 216 0210
Kuanzia saa 1:30 asubuhi mpaka saa 10:30 jioni
Kuna watumishi wanatakiwa kupanda vyeo wanawekwa kwenye kundi Rika je hili jambo likoje?
 
Tusaidieni kero hii, approver wa Ifakara TC kwenye madaraja anafanya kazi kwa kujivuta sana.

Wilaya nyingine watu wamekuwa approved tangu mapema sana ila Ifakara T.C waliokuwa approved ni wachache sana.

Shida iko kwa approver.

Tunaomba kero hii ishugulikiwe haraka sana.
Hivi Teaching college ziko TAMISEMI kweli na sio WIZARA YA ELIMU? Fuatilia vizuri hilo nahisi hawahusiani na teaching colleges ziko wizara ya elimu
 
Ndugu wana JamiiForums,

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), kupitia thread hii, tutapokea Maoni, Ushauri, Malalamiko, Mapendekezo yako Mwananchi. Tunakuhakikishia kuchukua hatua stahiki kwa haraka zaidi kwa kile utakachokiwasilisha kwetu.

Ikumbukwe kuwa tangu Mwaka 1961 hadi sasa Ofisi ya Rais –TAMISEMI imekuwa ni Wizara inayojitegemea na madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka Madaraka kwa Wananchi ambapo chimbuko lake ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 Sura ya 8, Ibara ya 145 na 146.

Hadi sasa Nchi ina Mikoa 26, Wilaya 139, Halmashauri 184, Tarafa 570, Kata 3,956, Vijiji 12,319, Vitongoji 64,361 pamoja na Mitaa 4,263.

Majukumu ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI
yanatekelezwa katika ngazi ya Makao Makuu, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuzingatia Hati ya Rais ya Mgawanyo wa Majukumu (Presidential Instrument) iliyotolewa na Rais Mei 2021, majukumu ya OR-TAMISEMI ni pamoja na:-

i) Kuratibu utekelezaji wa Sera ya Maendeleo Mijini na Vijijini na Upelekaji wa Madaraka kwa Umma (D by D);
ii) Kuratibu huduma mijini kama vile usafirishaji, maji na usafi wa mazingira;
iii) Kusimamia Tume ya Utumishi wa Walimu;
iv) Kuratibu na Kusimamia Tawala za Mikoa ili ziweze kuziwezesha Halmashauri kutekeleza wajibu wake;
v) Kuratibu Usimamizi na Uendeshaji wa Shule za Msingi na Sekondari nchini kupitia Mamlaka za Serikali za Mitaa (MSM);
vi) kusimamia na kuratibu shughuli za utolewaji wa huduma za Afya ya Msingi, Ustawi wa Jamii na Lishe
vii) Kuratibu na kusimamia mifumo na miundombinu ya TEHAMA katika Ofisi za Wakuu wa Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi
viii) Kujenga uwezo wa watumishi wa OR-TAMISEMI ili watekeleze majukumu yao kwa ufanisi
ix) Kuratibu shughuli za wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo
x) Kusimamia utendaji wa Mashirika, Taasisi, Programu na miradi iliyo chini ya OR-TAMISEMI

Kupitia JamiiForums.com unaweza kuwasiliana nasi (OR-TAMISEMI) kwa kutuma ujumbe wako kwenye sehemu ya kuweka maoni hapo chini au tutumie kupitia Private Message (PM).

Pia, tunapatikana kupitia:

Instagram @ortamisemi
Twitter @ortamisemitz
Facebook Ofisi ya Rais-Tamisemi
Website www.tamisemi.go.tz
YouTube @ortamisemi
Watssap channel: Ofisi ya Rais - TAMISEMI

Anuani
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
S.l.P 1923 Dodoma - Tanzania,
Telephone: +255 262 321 234
Fax: +255 262 322 116
Email: ps@tamisemi.go.tz
Complain: ps@tamisemi.go.tz

Kituo cha Huduma kwa Mteja
+255 735 160 210 au +255 26 216 0210
Kuanzia saa 1:30 asubuhi mpaka saa 10:30 jioni
Mweye nambar ya huduma Kwa wateja ya utumishi aiweke humu
 
Ndugu wana JamiiForums,

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), kupitia thread hii, tutapokea Maoni, Ushauri, Malalamiko, Mapendekezo yako Mwananchi. Tunakuhakikishia kuchukua hatua stahiki kwa haraka zaidi kwa kile utakachokiwasilisha kwetu.

Ikumbukwe kuwa tangu Mwaka 1961 hadi sasa Ofisi ya Rais –TAMISEMI imekuwa ni Wizara inayojitegemea na madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka Madaraka kwa Wananchi ambapo chimbuko lake ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 Sura ya 8, Ibara ya 145 na 146.

Hadi sasa Nchi ina Mikoa 26, Wilaya 139, Halmashauri 184, Tarafa 570, Kata 3,956, Vijiji 12,319, Vitongoji 64,361 pamoja na Mitaa 4,263.

Majukumu ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI
yanatekelezwa katika ngazi ya Makao Makuu, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuzingatia Hati ya Rais ya Mgawanyo wa Majukumu (Presidential Instrument) iliyotolewa na Rais Mei 2021, majukumu ya OR-TAMISEMI ni pamoja na:-

i) Kuratibu utekelezaji wa Sera ya Maendeleo Mijini na Vijijini na Upelekaji wa Madaraka kwa Umma (D by D);
ii) Kuratibu huduma mijini kama vile usafirishaji, maji na usafi wa mazingira;
iii) Kusimamia Tume ya Utumishi wa Walimu;
iv) Kuratibu na Kusimamia Tawala za Mikoa ili ziweze kuziwezesha Halmashauri kutekeleza wajibu wake;
v) Kuratibu Usimamizi na Uendeshaji wa Shule za Msingi na Sekondari nchini kupitia Mamlaka za Serikali za Mitaa (MSM);
vi) kusimamia na kuratibu shughuli za utolewaji wa huduma za Afya ya Msingi, Ustawi wa Jamii na Lishe
vii) Kuratibu na kusimamia mifumo na miundombinu ya TEHAMA katika Ofisi za Wakuu wa Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi
viii) Kujenga uwezo wa watumishi wa OR-TAMISEMI ili watekeleze majukumu yao kwa ufanisi
ix) Kuratibu shughuli za wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo
x) Kusimamia utendaji wa Mashirika, Taasisi, Programu na miradi iliyo chini ya OR-TAMISEMI

Kupitia JamiiForums.com unaweza kuwasiliana nasi (OR-TAMISEMI) kwa kutuma ujumbe wako kwenye sehemu ya kuweka maoni hapo chini au tutumie kupitia Private Message (PM).

Pia, tunapatikana kupitia:

Instagram @ortamisemi
Twitter @ortamisemitz
Facebook Ofisi ya Rais-Tamisemi
Website www.tamisemi.go.tz
YouTube @ortamisemi
Watssap channel: Ofisi ya Rais - TAMISEMI

Anuani
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
S.l.P 1923 Dodoma - Tanzania,
Telephone: +255 262 321 234
Fax: +255 262 322 116
Email: ps@tamisemi.go.tz
Complain: ps@tamisemi.go.tz

Kituo cha Huduma kwa Mteja
+255 735 160 210 au +255 26 216 0210
Kuanzia saa 1:30 asubuhi mpaka saa 10:30 jioni
Uchaguzi huooooo, kero yangu mimi ni babaangu + wazee wengine kadhaa mkoa wa tabora kaliua pesa zao za kustaafu mpka leo kimya
 
Pole sana kwa changamoto hii tafadhali naomba utume raarifa za kutosha ili tuweze kufuatilia suala hili
Niliwauliza kuhusu watumishi ambao wanatakiwa kupandishwa vyeo Kwa njia ya mserereko lakin hamkujibu,Iko hivi Kuna watumishi tangu waajiriwe wamepandishwa vyeo baada ya miaka 7 wengine 6kwenye waraka uliotolewa unawataja waliopokonywa vyeo tu ,kumbuka waliopokonywa vyeo changamoto zao zinafanya na walioajiriwa na wakakaa muda mrefu bila kupandishwa vyeo
Please hili jambo litolee ufafanuz na limeannza kuleta manunguniko makubwa sehemu ya kaz,hawa watu watarekebishiwa lini vyeo vyao?
 
Uhamisho wa watumishi waliomba kuhamishwa hamtoi majina mpaka sasa.
Mwaka huu mtatoa lini majina?
Uhamisho unatoka na Barua zimeshaanza kutumwa kwenye Halmashauri zenu! Tafadhali hakikisha kuwa Taarifa zako zilikamilika na ziliwasilishwa na Katibu Tawala Mkoa wako kama hilo lilikamilika utapokea barua yako hivi karibuni!
 
Uhamisho unatoka na Barua zimeshaanza kutumwa kwenye Halmashauri zenu! Tafadhali hakikisha kuwa Taarifa zako zilikamilika na ziliwasilishwa na Katibu Tawala Mkoa wako kama hilo lilikamilika utapokea barua yako hivi karibuni!
Kuna baadhi ya wakurugenzi wamekaa na maombi ya uhamisho Zaid ya miezi 2 na uhamisho umeanza kutoka. Ombi, kwa vile maombi ni kwenye mfumo naamini hata nyie mnaona ila hamuoni kama ni wajibu wenu kuwakumbusha kuhusu kukaa na maombi muda mrefu kwenye mfumo bila sababu ya msingi.

Mfano Halmashauri kama Ukerewe, Namtumbo na Lindi
 
Niliwauliza kuhusu watumishi ambao wanatakiwa kupandishwa vyeo Kwa njia ya mserereko lakin hamkujibu,Iko hivi Kuna watumishi tangu waajiriwe wamepandishwa vyeo baada ya miaka 7 wengine 6kwenye waraka uliotolewa unawataja waliopokonywa vyeo tu ,kumbuka waliopokonywa vyeo changamoto zao zinafanya na walioajiriwa na wakakaa muda mrefu bila kupandishwa vyeo
Please hili jambo litolee ufafanuz na limeannza kuleta manunguniko makubwa sehemu ya kaz,hawa watu watarekebishiwa lini vyeo vyao?
Hili sawali kwanini Tamisemi hamlijibu ?changamoto ni nini?
Niliwauliza kuhusu watumishi ambao wanatakiwa kupandishwa vyeo Kwa njia ya mserereko lakin hamkujibu,Iko hivi Kuna watumishi tangu waajiriwe wamepandishwa vyeo baada ya miaka 7 wengine 6kwenye waraka uliotolewa unawataja waliopokonywa vyeo tu ,kumbuka waliopokonywa vyeo changamoto zao zinafanya na walioajiriwa na wakakaa muda mrefu bila kupandishwa vyeo
Please hili jambo litolee ufafanuz na limeannza kuleta manunguniko makubwa sehemu ya kaz,hawa watu watarekebishiwa lini vyeo vyao?
 
Back
Top Bottom