Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

Ajira ajira ajira, sisi waalimu tangu itangazwe kwamba rais ametoa kibali cha ajira 12,000 hadi leo ni kimya tena hiyo ilikuwa ni mwaka wa fedha 23/24

Nini kilikwamisha huu mchakato? Mbona kada ya ualimu ni miongoni mwa Kada yenye mishahara midogo sana inakuwaje inakuwa ngumu kuajiri?

Mimi naishi Dar es salaam ila kiukweli uhaba wa waalimu ni mkubwa sanaa sijajua huko vijijini hali ipoje, inakuwaje mnashndwa kuajiri waalimu wakutosha katika hali ya uhitaji kiasi hiki haliyakuwa waalimu wamejaa kibao mtaani?

Wengi wa waliosoma fani ya ualimu ni watanzania wakawaida sana kiuchumi, wamelazimika kusoma ualimu kwasababu tu ya uhakika wa kupata mkopo wa HESLB na sasa wapo mtaani watu hawa hawana namna ya kurudisha hiyo mikopo huku serikali ikihangaika namna ya kuwakopesha madogo mpaka wamekuja na hii program yao ya FICHUA

Hebu tupeni ajira jamani tuweze
1. KURUDISHA HELA ZA HESLB ILI WENGINE WAKOPESHWE
2.TUWEZE KUJIKIMU MAISHA
3. TUWEKE KULIPA KODI KUONGEZA MAPATO YA SERIKALI ie Paye nk.
4. TUWEZE KUIHUDUMIA JAMII YENYE UHITAJI MKUBWA WA NGUVU KAZI YETU MASHULENI
5. TUONGEZE MZUNGUKO WA FEDHA

Mwisho kabisa 😭😭😭😭😭😭
 
Mojawapo ya kero Kubwa ni kuzuia uhamisho wa mkoa Kwa mkoa. Mnasema watumishi wajisajiri utumishi portal ili kila kitu kifanyikie kule, ikiwemo uhamisho, lakini hakuna la maana lolote mpaka Sasa.
 
Ajira ajira ajira, sisi waalimu tangu itangazwe kwamba rais ametoa kibali cha ajira 12,000 hadi leo ni kimya tena hiyo ilikuwa ni mwaka wa fedha 23/24
Nini kilikwamisha huu mchakato? Mbona kada ya ualimu ni miongoni mwa Kada yenye mishahara midogo sana inakuwaje inakuwa ngumu kuajiri?
Mimi naishi Dar es salaam ila kiukweli uhaba wa waalimu ni mkubwa sanaa sijajua huko vijijini hali ipoje, inakuwaje mnashndwa kuajiri waalimu wakutosha katika hali ya uhitaji kiasi hiki haliyakuwa waalimu wamejaa kibao mtaani?

Wengi wa waliosoma fani ya ualimu ni watanzania wakawaida sana kiuchumi, wamelazimika kusoma ualimu kwasababu tu ya uhakika wa kupata mkopo wa HESLB na sasa wapo mtaani watu hawa hawana namna ya kurudisha hiyo mikopo huku serikali ikihangaika namna ya kuwakopesha madogo mpaka wamekuja na hii program yao ya FICHUA

Hebu tupeni ajira jamani tuweze
1. KURUDISHA HELA ZA HESLB ILI WENGINE WAKOPESHWE
2.TUWEZE KUJIKIMU MAISHA
3. TUWEKE KULIPA KODI KUONGEZA MAPATO YA SERIKALI ie Paye nk.
4. TUWEZE KUIHUDUMIA JAMII YENYE UHITAJI MKUBWA WA NGUVU KAZI YETU MASHULENI
5. TUONGEZE MZUNGUKO WA FEDHA

Mwisho kabisa 😭😭😭😭😭😭
wasome hii
 
Nzega DC wastaafu wa toka 2019 wanahangaikia mapunjo ya mafao yao kisa michango yao haikupelekwa kikamilifu na mwajiri na sijui kama mna hizo taarifa

Hivi ugumu upo wapi kuagiza DEDs wafanikishe hilo au wakae pembeni?
 
Karibuni sana. Tena mmechelewa hapana kuna kubwa zaidi katika kupata taarifa nyeti za utendaji wenu.
Nyie ambayo mnashughulika na akaunti hii hapa JF mnaweza kupatabo mengi ya kuwasaidia katk balance and check iwapo mtakuwa hamna ila.

Jibuni yanayo wahusu na mnayoyaweza nanpale mnapo kwazwa mchukulie kuwa changamoto za kazi.
Kwa kuanzia kuna wadau washasema kuhusu malalamiko kadhaa hapo. Ni vyema mkirudi mje na majibu yatakayowalidhisha wadau.
Kwasasa ni hayo.
Karibuni...
 
OR TAMISEMI igeni utaratibu wa mheshimiwa mama Dkt. Gwajima D yuko active kujibu hoja za wadau bila kusahau wahusika wengine kama TRA Tanzania , TANESCO na wengine mnaohudumia umma.

Tafuteni namna bora ya kujibu hoja za watu humu ndani kuliko kuanzisha uzi kisha mnawaachia wadau wateme ya moyoni bila kupata neno la faraja toka kwenu.

Nawatakia kila la kheri katika ujenzi wa Taifa.
 
Kuna watumishi wanatakiwa kuwekwa kwenye kundi Rika(harmonization)je hili jambo likoje na wahusika walituma taarifa zao muda mrefu ,je watapandishwa vyeo?
 
Ajira ajira ajira, sisi waalimu tangu itangazwe kwamba rais ametoa kibali cha ajira 12,000 hadi leo ni kimya tena hiyo ilikuwa ni mwaka wa fedha 23/24
Nini kilikwamisha huu mchakato? Mbona kada ya ualimu ni miongoni mwa Kada yenye mishahara midogo sana inakuwaje inakuwa ngumu kuajiri?
Mimi naishi Dar es salaam ila kiukweli uhaba wa waalimu ni mkubwa sanaa sijajua huko vijijini hali ipoje, inakuwaje mnashndwa kuajiri waalimu wakutosha katika hali ya uhitaji kiasi hiki haliyakuwa waalimu wamejaa kibao mtaani?

Wengi wa waliosoma fani ya ualimu ni watanzania wakawaida sana kiuchumi, wamelazimika kusoma ualimu kwasababu tu ya uhakika wa kupata mkopo wa HESLB na sasa wapo mtaani watu hawa hawana namna ya kurudisha hiyo mikopo huku serikali ikihangaika namna ya kuwakopesha madogo mpaka wamekuja na hii program yao ya FICHUA

Hebu tupeni ajira jamani tuweze
1. KURUDISHA HELA ZA HESLB ILI WENGINE WAKOPESHWE
2.TUWEZE KUJIKIMU MAISHA
3. TUWEKE KULIPA KODI KUONGEZA MAPATO YA SERIKALI ie Paye nk.
4. TUWEZE KUIHUDUMIA JAMII YENYE UHITAJI MKUBWA WA NGUVU KAZI YETU MASHULENI
5. TUONGEZE MZUNGUKO WA FEDHA

Mwisho kabisa 😭😭😭😭😭😭
Nilichoka mno siku moja namwona kiongozi nadhani ni naibu waziri au katibu toka Tamisemi anahojiwa TBC anasema kuhusiana na ajira huwa kunakuwa na nafasi za walemavu na hazijawahi kujazwa. Yaani wakitoa ajira elf kadhaa asilimia mbili au tatu ni za walemavu.

Sasa nilisafiri mwez ulipita kwenda msibani nikamkuta Jamaa mmoja amesoma Education na ni mlemavu wa mkono. Maana alipata ajali mkono mmoja ukawa mdogo unaoning'inia tuu.

Sasa tukiongea kama vijana ninamuuliza lkn si mbona haujapata kazi wakat nafas za walemavu zipo na huwa hazijazwi zote kila mwaka akasema ameomba na kuonyesha vithibitisho vyote miaka kadhaa lkn hapati. Nikasikitika kuona tunadanganywa kwenye majukwaa na watanzania wenzetu lkn kwenye Utekelezaji hali tofauti.

Pia napendekeza hizi ajira zizingatie na umri wa waombaji. Wewe unaajirije Fresh Graduates unaacha waombaji waliokaa au waliomaliza miaka 10 nyuma?

Hayo yakizingatiwa Tamisemi itakuwa imetakaswa kwa sehemu kubwa.
 
Ndugu wana JamiiForums,

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), kupitia thread hii, tutapokea Maoni, Ushauri, Malalamiko, Mapendekezo yako Mwananchi. Tunakuhakikishia kuchukua hatua stahiki kwa haraka zaidi kwa kile utakachokiwasilisha kwetu.

Ikumbukwe kuwa tangu Mwaka 1961 hadi sasa Ofisi ya Rais –TAMISEMI imekuwa ni Wizara inayojitegemea na madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka Madaraka kwa Wananchi ambapo chimbuko lake ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 Sura ya 8, Ibara ya 145 na 146.
Ni sawa mlicho fanyaaa ,huku watu wanapewa vidonge vyao kama vilivoo ,muwe tayari kupokeaaa,pili hakutokuwa naa maana yoyote kuwa humu kama hamtojibu /kutolea ufafanuzi hoja zinazotolewa na wadau /sisi tuko mahali popoteeeeee ,ulipo tupo
 
Nilichoka mno siku moja namwona kiongozi nadhani ni naibu waziri Tamisemi anasema kuhusiana na ajira huwa kunakuwa na nafasi za walemavu na hazijawahi kujazwa. Yaani wakitoa ajira elf kadhaa asilimia mbili au tatu ni za walemavu.

Sasa nilisafiri mwez ulipita kwenda msibani nikamkuta Jamaa mmoja amesoma Education na ni mlemavu wa mkono. Maana alipata ajali mkono mmoja ukawa mdogo unaoning'inia tuu.

Sasa tukiongea kama vijana ninamuuliza lkn si mbona haujapata kazi wakat nafas za walemavu zipo na huwa hazijazwi zote kila mwaka akasema ameomba na kuonyesha vithibitisho vyote miaka kadhaa lkn hapati. Nikasikitika kuona tunadanganywa kwenye majukwaa na watanzania wenzetu lkn kwenye Utekelezaji hali tofauti.

Pia napendekeza hizi ajira zizingatie na umri wa waombaji. Wewe unaajirije Fresh Graduates unaacha waombaji waliokaa au waliomaliza miaka 10 nyuma?

Hayo yakizingatiwa Tamisemi itakuwa imetakaswa kwa sehemu kubwa.
Inaumiza sana tena Sana mkuu,
 
Kibali cha Ajira kilishapatikana na hivi sasa tunaendelea kukamilisha taratibu zingine ili Tangazo la Ajira litolewe!
Kukamilisha taratibu tangu mwezi wa tano? Karibia kila kata imejengwa shule mpya pengine zaidi ya moja za msingi na sekondari

Ila nguvu kazi haijaongezwa
 
Inaumiza sana tena Sana mkuu,
Na hao fresh graduates wakiwapanga huko Pembezoni mwa nchi hawaendi maana bado vijana wabichi wanaona haina sababu kwenda vijijini mimi nafahamu kadhaa walipangwa nwaka jana na hawakwenda.

Hii inatokana na kuacha wenye nia ambao wamemaliza long time na kuchukua watu walio apply kama kubet iwapo watapangwa wapi wakipangwa mbali hawaendi. Haswaa wale waliosoma sciences.

Nashauri umri na mwaka wa kumaliza chuo mhusika uzingatiwe. Laa sivyo shule za pembezoni zitaendelea kuhujumika kwa kukosa waalimu.
 
Kuna zahanati nyingi sana hapa nchini zina mtoa huduma mmoja huyo huyo ni daktari, nesi, mfamasia na pia ndio mfanya usafi naomba mlitazame hili, zahanati kuwa na mtumishi mmoja sio haki kabisa, hata likizo na dharula nyingine hawapati fuatilieni hili watu wanaumia.
 
Back
Top Bottom