Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ccm imefikia hatua ya kulia lia hivi wakati kwa miaka mitano mfululizo mmekuwa mnafanya kila mnachojisikia.Ofisi yenye walinzi inaanzaje kushambuliwa kwa moto na taarifa itoke baada ya moto kuisha kabisa? Kiki zimegoma msimu, CCM imekubali kucheza fea, nanyinyi chezeni fea.
Mbona lisu alipigwa risasa Dodoma kwenye kebinet yote ya mawaziri na ulinzi ulikuwepoOfisi yenye walinzi inaanzaje kushambuliwa kwa moto na taarifa itoke baada ya moto kuisha kabisa? Kiki zimegoma msimu, CCM imekubali kucheza fea, nanyinyi chezeni fea.
Upuuzi wa kuteka watu kimefikia?Hiyo ni kiki mkuu. Inawezekana chadema wamechoma wenyewe ofisi zao, kutafuta huruma kwa wananchi.
Ccm ni chama kikubwa sana, hakijafikia kufanya upuuzi kama huo.
Hizi ni siasa za kipumbavu sana.
Njia pekee ya ccm kushinda ni kuchoma moto kura zote za chadema.Haizuii Mafuriko ya Lissu, waache waione NGONDOIGWA.
sasa kati ya lisu na huyo mzee wenu wa chato nani kichaa?nyie ndiyo pimbi kabisa mnaofikiria na kuamini kuwa lissu anaweza kupewa nchi kweli tumpe nchi kichaa? nani anataka shida? hatuwezi kukubali kaeni na ujinga wenu mshabikie kitu ambacho hakiwezekani
Mnauhakika gani kama ni wapinzani wa Lissu ndiyo wamechoma moto acheni ushabiki acheni police wafanye kazi ya uchunguzi
Wakunyumba hadi wewe mwenyenchi unakataa kuunga juhudi?Ngoja ichomwe ya ccm
Wazee wa kutengeneza matukio hongera zenu.
Sijui Balozi wa UK, USA n.k watasemaje
Kama uko Arusha au vinginevyo wewe ni mmoja wa walioshiriki kwa namna moja au nyingine kuchoma moto ofisi hiyo kwani unaonekana una taarifa za ziada.Ofisi yenye walinzi inaanzaje kushambuliwa kwa moto na taarifa itoke baada ya moto kuisha kabisa? Kiki zimegoma msimu, CCM imekubali kucheza fea, nanyinyi chezeni fea.
kati ya RAIS MTARAJIWA TUNDULISSU na MEKO WENU nani anayejiita KICHAA?nyie ndiyo pimbi kabisa mnaofikiria na kuamini kuwa lissu anaweza kupewa nchi kweli tumpe nchi kichaa? nani anataka shida? hatuwezi kukubali kaeni na ujinga wenu mshabikie kitu ambacho hakiwezekani
Tumemfikia mwananchi wa chini kabisa, huku ndipo walipo watanzaniaWakunwaji ndivyo walivyoView attachment 1536788
HOVYOOOO!! Unauliza halafu unajibu mwenyewe shwain kweli weweHii habari si nzuri kabisa.
Mleta uzi, ingekuwa vizuri utuambie ni ofizi zipi, maana umesema ofisi za kanda ya kaskazini, sasa ni ofisi za nini? kutokana na maelezo ineonekana ni ofisi za CHADEMA.
Kura yako moja ndio inakupa kibri icho?Ndo watanzania tujifunze kuwa ni lazima wagombea upraising wetu katika vyama vyote wawe watanzania kweli ambao utanzania wao hautiliwi mashaka.
Haya yote yanatokea kwa sababu ya kumpa nchi Mburundi ambaye kwake udhalimu ndo maisha yake!
Vyovyote watakavyofanya wakumbuke kuwa tunaweka rekodi ya udhalimu wao wote wanaoufanya mwaka huu kama ushahidi na ushahidi huu tunawatumia wahusika wote. Lazima arrest warrant za ICC zitatoka tu mwaka huu!!
Kikubwa CCM wakumbuke, mwaka huu hawatoki inyeshe mvua, liwake jua Lissu ndo Raisi mwaka huu!