Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Aisee wameanza sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee wameanza sasa
jirani anasema alimsikia Mlinzi akipiga
Kuna mahali pameandikwa hivyo?mnauhakika gani kama ni wapinzani wa lissu ndiyo wamechoma moto acheni ushabiki acheni police wafanye kazi ya uchunguzi
INTERAHAMWE wanafanya yao kabla ya kuwa wakimbizi.Hawa Ccm sasa wanakotaka kutupeleka sipo kabisa. Huwa ninasema siku amani ya nchi Yetu ikitoweka basi Ccm watakuwa wahusika No.1
Kichaa huyo mchato wenu. Aliyefanya siasa peke ake miaka mi5 na bado hajiamini.nyie ndiyo pimbi kabisa mnaofikiria na kuamini kuwa lissu anaweza kupewa nchi kweli tumpe nchi kichaa? nani anataka shida? hatuwezi kukubali kaeni na ujinga wenu mshabikie kitu ambacho hakiwezekani
Media gani? Au humu ulimo ni chumbani. Umepataje taarifa. Au hii Ni taarifa ya kuchomwa kwa ofisi za CCM eti.Yote hiyo wanatafuta media attention wameona hawatangazwi wameanza kujitengenezea matukio kutafuta media attention
Hiyo ni kiki mkuu. Inawezekana chadema wamechoma wenyewe ofisi zao, kutafuta huruma kwa wananchi.mnauhakika gani kama ni wapinzani wa lissu ndiyo wamechoma moto acheni ushabiki acheni police wafanye kazi ya uchunguzi
Na nyie tafuteni sympathy kama unaona wivu.Ni kama self created, kupata public sympathy! Hakuna waTz wanaotaka drama za kijinga...binafsi siamini CCM wanaweza kufanya haya!
#Twende_na_Rungwe
#CHAUMA_2020
Everyday is Saturday........................... 😎
Jibu swali achana na ramlipaandikweje sasa nyie mmeshapiga ramli mnaona ni ccm acheni ushabiki wa kijinga
Hata risasi za Lissu mlisema kiki. Mpigeni wa kwenu Basi Kama Ni kiki.Hiyo ni kiki mkuu. Inawezekana cdm wamechoma wenyewe ofisi zao, kutafuta huruma kwa wananchi.
Ccm ni chama kikubwa sana, hakijafikia kufanya upuuzi kama huo.
Hizi ni siasa za kipumbavu sana.
Kweli aisee atakuwa kachoma yule Dada waliyegombea nayemnauhakika gani kama ni wapinzani wa lissu ndiyo wamechoma moto acheni ushabiki acheni police wafanye kazi ya uchunguzi
Boss kwani nchi inatolewaje? Kwani watanzania wakimchagua Lissu si ndio watakuwa wameamua kumpa nchi? Sasa wewe ni nani hapa duniani useme Lissu hawezi kupewa nchi?nyie ndiyo pimbi kabisa mnaofikiria na kuamini kuwa lissu anaweza kupewa nchi kweli tumpe nchi kichaa? nani anataka shida? hatuwezi kukubali kaeni na ujinga wenu mshabikie kitu ambacho hakiwezekani
Ndio kwaaanza wanazidi kumpa maarufu maana wananchi tayari washaona kinachoendelea