Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
nyie ndiyo pimbi kabisa mnaofikiria na kuamini kuwa lissu anaweza kupewa nchi kweli tumpe nchi kichaa? nani anataka shida? hatuwezi kukubali kaeni na ujinga wenu mshabikie kitu ambacho hakiwezekani
Hawatangazwi na nani wewe umetangaziwa na TBC kuwa ofisi imechomwa?Yote hiyo wanatafuta media attention wameona hawatangazwi wameanza kujitengenezea matukio kutafuta media attention
ExactlyHuyu kijana anaonekana umri wake bado ni mdogo, ni kumsamehe tu. Akiongezeka ataelewa namna ya kutumia akili katika kutoa comments zenye hoja.
Mkuu juzi niliweka ka thread kangu modes wakakafyatua, nilikuwa naongea haya haya kuwa ukimya wa CCM unamfanya kila siku achuje na haitoshangaza hata kujitengenezea jaribio la kuuliwa ili mradi tu apate attention. Hauhitaji kwenda kwa Mganga kujua kuwa CHADEMA ndio wamechoma Ofisi yao ili kupata kiki leo hapo Arusha. Kumbuka huko ndiko wanakoamini bado wanna pumzi!Yote hiyo wanatafuta media attention wameona hawatangazwi wameanza kujitengenezea matukio kutafuta media attention
Ma ccm analog mitambo chakuvu tupa kuleBoss kwani nchi inatolewaje? Kwani watanzania wakimchagua Lissu si ndio watakuwa wameamua kumpa nchi? Sasa wewe ni nani hapa duniani useme Lissu hawezi kupewa nchi?
Hizi ni dalili tosha kuwa sasa upande wa pili wameishiwa pumziHaizuii Mafuriko ya Lissu ,waache waione NGONDOIGWA.
Policcm walishafanya uchunguzi gani ukakamilika tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi?mnauhakika gani kama ni wapinzani wa lissu ndiyo wamechoma moto acheni ushabiki acheni police wafanye kazi ya uchunguzi
Kawaida dawa ya moto ni motoMaendeleo hayana chama!
Kinachofuata jino kwa jino.
Ndiyo kilichobakiaHawa banyamulenge wa Tz wameshapagawa sasa naona siasa za ushindani zimewashinda wameanza fujo.
Watu wakijibu mapigo na kukuta Lumumba inafuka moshi wasije laumu.
Ni kweli CCM haiwezi fanya kea purpose ipi ku complete objective gani ya kiofisi Koko Kama hicho? Kuwa CCM wachome ili iwe Nini? Ifaidike Nini Ni kiofisi hovyo Kama hicho.Hakuna hata kimoja CCM yaweza faidi kwa kuchoma hicho kiofisi Kama kibanda Cha kuuza vocha
Hao Ni wenyewe Chadema wanatafuta tu Kiki za Kisiasa na Media attention tu ujinga mtupu
Hiyo ni sawa na tai na sutiSasa mwisho Twende na Lisu 2020
Swissme
Hizo taarabu zako hazitasaidia kutuliza hasira za wenye ofisi zao mlizo zichomamnauhakika gani kama ni wapinzani wa lissu ndiyo wamechoma moto acheni ushabiki acheni police wafanye kazi ya uchunguzi
Huyo wa kwenu ni kopo maji.nyie ndiyo pimbi kabisa mnaofikiria na kuamini kuwa lissu anaweza kupewa nchi kweli tumpe nchi kichaa? nani anataka shida? hatuwezi kukubali kaeni na ujinga wenu mshabikie kitu ambacho hakiwezekani
Wapinzani wa cdm pumzi zimekata tayari hata kabla ya kampeini kuanzakelele kuwa amevamiwa akiomba msaada akiwa anakimbia - anafukuzwa, hajapatikana hadi sasa.
Yote hayo yanatokea (ofisi za @Chademakaskazni kuchomwa moto) wakati mgombea urais wa @ChademaTz ndg. @TunduALissu akiingia Arusha leo kutafuta saini za wadhamini akitokea Katesh, Hanang
Wewe ni mshabiki kubwa jinga, Hujijui kwani?paandikweje sasa nyie mmeshapiga ramli mnaona ni ccm acheni ushabiki wa kijinga
Wacha Mungu afanye kazi yakeKuna mgombea atakufa kabla ya uchaguzi sababu asiyempenda kaja
Magaidi pia humiliki mabomu waweza jificha vyama vya siasaNimeamini wewe ni taahira. Yaani CHADEMA ijirushie bomu iue wafuasi wake? Mabomu yanamilikiwa na majeshi. CHADEMA sio jeshi Wala polisi. Mods pigeni life ban hili jinga.