Sasa hapo wewe ni wapi hukuelewa?Hii habari si nzuri kabisa.
Mleta uzi, ingekuwa vizuri utuambie ni ofizi zipi, maana umesema ofisi za kanda ya kaskazini, sasa ni ofisi za nini? kutokana na maelezo ineonekana ni ofisi za CHADEMA.
Nani sasa mburundi?Ndo watanzania tujifunze kuwa ni lazima wagombea upraising wetu katika vyama vyote wawe watanzania kweli ambao utanzania wao hautiliwi mashaka.
Haya yote yanatokea kwa sababu ya kumpa nchi Mburundi ambaye kwake udhalimu ndo maisha yake!
Vyovyote watakavyofanya wakumbuke kuwa tunaweka rekodi ya udhalimu wao wote wanaoufanya mwaka huu kama ushahidi na ushahidi huu tunawatumia wahusika wote. Lazima arrest warrant za ICC zitatoka tu mwaka huu!!
Kikubwa CCM wakumbuke, mwaka huu hawatoki inyeshe mvua, liwake jua Lissu ndo Raisi mwaka huu!
Likiwaka ujue tutaanza na watu kama weweCCM haijawahi mjengea hofu mpiga kura .ukimjengea hofu hatapiga kura .Hiyo ni kutafuta tu kick kwa kitoto kwa Chadema.Mnachofanya Ni utoto
Likiwaka tutaanza na nyinyi wahamiaji haramu kutoka BurundiHaya ni machadema yenyewe mkuu, hakuna mtu atahangaika na Lisu wakati tunajua yule hapati zaidi ya 20% ya kura,
Haijawahi kutokeaTunachotaka kusikia za ccm lini zinachomwa?
Nani hajua nyie ni WAUWAJI?Hilo tukio Ni la kutafuta kick tu ya media namkumbuka 2015 pia lilirushwa bomu mkutano wa Chadema Huko Huko Arusha lengo kutafuta kick na attention kwenye media
Ni Chadema tu wanatafuta kick za media attention tu
Propaganda zenu hazimzuii Magufuli kuiongoza dola ya Tanzania 2020-2025 mtasubiri sanaNani sasa mburundi?
Huko arusha kipindi cha jk kuna bomu lililipuka katika mkutano wa chadema, kumbe sasa inaonesha nchi hii tunaongozwa na waburundi?
Hizi propaganda zenu za ki da mange da mange, haziwezi kumzuia Magufuli kuwa rais hadi hapo 2025
Kwanza pana ofisi hapo basi!Hiyo ni kiki mkuu. Inawezekana cdm wamechoma wenyewe ofisi zao, kutafuta huruma kwa wananchi.
Ccm ni chama kikubwa sana, hakijafikia kufanya upuuzi kama huo.
Hizi ni siasa za kipumbavu sana.
Yeah! Hilo linawaumiza wanaCCM wengi sana walioamini kuwa siku ile ya mapokezi watu wangepigwa mabomu na virungu, huku wengine wakifunguliwa kesi za kukusanyika bila kibali na mengineyo mengi ya kubambikiza! Ni lazima watambue kuwa hili jeshi huwa linafanya kazi kulingana na maelekezo ya uongozi uliopoPolisi fanyene uchunguzi, wako baadhi ya wanacdm wanashangaa kwa nini Lissu tangu arudi msafara wake na wafuasi wake haujatawanywa na polisi ili wafanye fujo. Yawezekana wamekuja kwa staili hii.
Mlipochoma office za uwakili za fatuma karume na wakili wa manji mlipata faida gani?Ni kweli CCM haiwezi fanya kea purpose ipi ku complete objective gani ya kiofisi Koko Kama hicho? Kuwa CCM wachome ili iwe Nini? Ifaidike Nini Ni kiofisi hovyo Kama hicho.Hakuna hata kimoja CCM yaweza faidi kwa kuchoma hicho kiofisi Kama kibanda Cha kuuza vocha
Hao Ni wenyewe Chadema wanatafuta tu Kiki za Kisiasa na Media attention tu ujinga mtupu
Tatizo lako wewe ni kutofikiri nje ya box!Likiwaka tutaanza na nyinyi wahamiaji haramu kutoka Burundi
Polisi gani? Wale ambao mwaka wa 3 huu hawajawahi kumkamata yeyote aliyehusika na tukio la shambulio la Lissu??mnauhakika gani kama ni wapinzani wa lissu ndiyo wamechoma moto acheni ushabiki acheni police wafanye kazi ya uchunguzi
Mkuu mbona unazeeka vibaya???CHADEMA (viongozi) kuweni waangalifu na siasa zenu za propaganda. Ni huko Arusha jana mmetangaza kutekwa na kupigwa kada wa ccm alietoa tuhuma za rushwa za mgombea. Kule Ruangwa mkadai wagombea ubunge wa CDM na ACT wametekwa kisa wasishindane na PM. No reasonable person will support this kind of incidents and allegations which seems to win public sympathy from the voters. Fanyeni siasa achaneni vurugu kwa jamii.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Lowasa aliwaambia wazi 2015 kuwa Kama mkishindwa mwaka ule mkiwa na resources zote at your disposal na mwamko mkubwa wa wananchi .mkiwa na mahelikopta na ndege za kwenda kila Kona ya nchi miashindwa uchaguzi wa mwaka huu mtashindwa vibaya mnoHata kama lakini Mwaka huu lazima Tanzania ifanye kitu, Hatuwezi kuendelea kusubiri Muda mwingine kufanya Mageuzi ya Serikali.Waliowengi Wamezaliwa wakaukuta Mfumo wa Serikali za CCM iliyoziweka mpaka sasa hivi.Hivyo raia Wengi tumechoshwa na mfumo uliopo kwa sababu ndio uliochangia kukosekana kwa Ajira kwa wahitimu wa taaluma mbalimbali sasa Basi.
CCM Mungu amewaumbua sana kumuweka Lissu hai hadi leo.Nimefurahi sana kuona ma CCM yameshindwa kuiua CHADEMA kama yalivyo kuwa yakijitapa wakidhani watanzania ni Wajinga.Sasa wamekimbilia kuua Majengo. Huu ni upimbi wa hali ya juu sana. Hapo kampeni hazijaanza wameanza kujinyea nyea hivi. Tunawaambia hivi ninyi Mataga majengo hayapigi kura ila sisi Wananchi ndio tutamkabidhi nchi Mtanzania mwenzetu Tundu. A. Lissu. Hao ma intaramwe wenu waanze kukimbilia kwao.Hatutaki tena ushenzi na ushamba hapa nchini kwetu.
Acheni uhuni, haya matukio mnapanga wenyeweHizi vurugu zao za kitoto hazina maana, lazima wajue hatutishwi kwa hivi vitimbi vyao vya kitoto, jeshi la polisi liwatafute hao wahalifu na wapatikane, wafikishwe kwenye vyombo vya sheria waonekane na sheria ichukue mkondo wake.
Haya matukio ya hovyo kila siku yakiendelea kufumbiwa macho sasa yataenda kulipeleka hili taifa kwenye machafuko, hao wahuni lazima wakome kutumiwa, na wale wanaowatumia nao wakomeshwe hivyo hivyo.