Ogopa binadamu unaongea naye hakujibu bali anatabasamu

Ogopa binadamu unaongea naye hakujibu bali anatabasamu

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Nimekaa na kuishi na watu kadhaa, unamtendea sivyo ila yeye ana smile tu. Hasemi kitu.

Yeye pamoja na mabaya yanayofanywa na watu wanaoona wako sawa na wabishi yeye kazi yake ni kuongea kidogo baadae mnapojadili yeye kimya, na kuendelea ku smile 😃 tu.

Kuna maamuzi atachukua na utashangaa tu ameshasepa, mwingine wala hakukimbii anakuacha tu.

Kuna dada mmoja ofsn, amezoeana na mkaka flan, ama walikuwa wanatoka wote au mkaka alimtongoza bidada. Sasa kwa sababu mdada ni kivuruge, amekuwa akimtania tena maneno mabaya yule mkaka , kaka wa watu kazi yake ni kutabasamu tu. Miaka inaenda na maisha yanavyosonga, bidada hatchi...kuna wadada kama wawili inasadikika huyu mkaka Amepita nao...bidada anazidi kumtania ila ni kama anamkomoa mkaka yule Mpolee ila kiwembe....

Movie iliendelea bidada anaonekana kuumia na amekuwa Mpole kwa mkaka...alichokufanya mkaka ni mimba ya kwanza...mtoto hajaanza kutembea au kuongea vzr akampiga nyingine...na wala sio wanandoa
 
Ni kweli kabisa kuna jamaa alikuwa wa hivyo Sasa Mimi nikawa nimezoea nikikutana naye na wakiwepo watu wengine naanza kumtania watu wanamcheka Ila yeye hajibu anatabasamu tu .

Siku moja nikamtania tena mbele ya watu wakacheka sana yeye akasmile Sasa wakati wa kutawanyika nikampa lift kwenye Corolla yangu tulikuwa wawili tu ,jamaa alinikwida vibaya ovyo ,akanibana Koo alafu ndiyo akawa anasema unapenda sana kunidhalilisha ,nililia sana kwa kile kibano omba msamaha wapi ,mwamba anatembeza makonde tu alafu kanibana kwenye Sterling nikaona Cha kufia nini nikawa napiga makelele ndiyo watu kuja kutuamulia toka siku hiyo jamaa namheshimu sana na simletei utani kabisa.

Hivyo hata job nikiletaga tafrani utasikia boss anasema au tumuite fulani lengo niogope
 
Ni kweli kabisa kuna jamaa alikuwa wa hivyo Sasa Mimi nikawa nimezoea nikikutana naye na wakiwepo watu wengine naanza kumtania watu wanamcheka Ila yeye hajibu anatabasamu tu .

Siku moja nikamtania tena mbele ya watu wakacheka sana yeye akasmile Sasa wakati wa kutawanyika nikampa lift kwenye Corolla yangu tulikuwa wawili tu ,jamaa alinikwida vibaya ovyo ,akanibana Koo alafu ndiyo akawa anasema unapenda sana kunidhalilisha ,nililia sana kwa kile kibano omba msamaha wapi ,mwamba anatembeza makonde tu alafu kanibana kwenye Sterling nikaona Cha kufia nini nikawa napiga makelele ndiyo watu kuja kutuamulia toka siku hiyo jamaa namheshimu sana na simletei utani kabisa.

Hivyo hata job nikiletaga tafrani utasikia boss anasema au tumuite fulani lengo niogope
Pole love...
 
Ni kweli kabisa kuna jamaa alikuwa wa hivyo Sasa Mimi nikawa nimezoea nikikutana naye na wakiwepo watu wengine naanza kumtania watu wanamcheka Ila yeye hajibu anatabasamu tu .

Siku moja nikamtania tena mbele ya watu wakacheka sana yeye akasmile Sasa wakati wa kutawanyika nikampa lift kwenye Corolla yangu tulikuwa wawili tu ,jamaa alinikwida vibaya ovyo ,akanibana Koo alafu ndiyo akawa anasema unapenda sana kunidhalilisha ,nililia sana kwa kile kibano omba msamaha wapi ,mwamba anatembeza makonde tu alafu kanibana kwenye Sterling nikaona Cha kufia nini nikawa napiga makelele ndiyo watu kuja kutuamulia toka siku hiyo jamaa namheshimu sana na simletei utani kabisa.

Hivyo hata job nikiletaga tafrani utasikia boss anasema au tumuite fulani lengo niogope
Huyoo jamaa wa kukwida watu ni mimi huyoooo
 
Back
Top Bottom