The king 07
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 776
- 1,676
Killer smile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni wa kike au wa kiume ?Ni kweli kabisa kuna jamaa alikuwa wa hivyo Sasa Mimi nikawa nimezoea nikikutana naye na wakiwepo watu wengine naanza kumtania watu wanamcheka Ila yeye hajibu anatabasamu tu .
Siku moja nikamtania tena mbele ya watu wakacheka sana yeye akasmile Sasa wakati wa kutawanyika nikampa lift kwenye Corolla yangu tulikuwa wawili tu ,jamaa alinikwida vibaya ovyo ,akanibana Koo alafu ndiyo akawa anasema unapenda sana kunidhalilisha ,nililia sana kwa kile kibano omba msamaha wapi ,mwamba anatembeza makonde tu alafu kanibana kwenye Sterling nikaona Cha kufia nini nikawa napiga makelele ndiyo watu kuja kutuamulia toka siku hiyo jamaa namheshimu sana na simletei utani kabisa.
Hivyo hata job nikiletaga tafrani utasikia boss anasema au tumuite fulani lengo niogope
Kuna jamaa kwa gari umemkanyaga yeye anasmile tuu..Hii inaitwa niguse bahati mbaya ni kuchane chane na viwembe
kikwete ana nuru na maisha marefu sabu ana uhakika wa maisha yale ya kifalme, (daraja la juu zaidi) hoja yako haina uhalisia mkuu.Nilikuja kugundua mtu anaetabasamu mara nyingi hata katika mambo magumu na mabaya anakuwa na maisha marefu yenye furaha na amani na uso wake una nuru wakati wote,
Mfano mh Kikwete .
Ilishawahi kukutokea nn...?Kuna jamaa kwa gari umemkanyaga yeye anasmile tuu..
Kumbe anakuibia dadek zao
Basi urafiki na wewe kuanzia leo 🎗️Huyoo jamaa wa kukwida watu ni mimi huyoooo
Wakike au wakiume hawakungu'twi ?Wewe ni wa kike au wa kiume ?
Kazi iendeleeWakike au wakiume hawakungu'twi ?
Twende ofisini tukalitumikie taifa
Anae ibiwa ni mzembe...Ilishawahi kukutokea nn...?
Safi kabisa chief 🙏Kazi iendelee
Huo ni mwanzo... Huwa nakanda pia ahahahaBasi urafiki na wewe kuanzia leo 🎗️
Kazi ipo...Anae ibiwa ni mzembe...
Mi huwa nipo na zangu sina ishu za smile wala nn...
Ila ukinikuta na mabuti yangu ni lazima nikukwide
Anyways...Kazi ipo...
Anyways...badae ngoja nilale mimi
HupoteleaWachache sana kitaa ilawapo na wengine hupotea kabisa
Juzi Basi la BM limedondoka Lugalo kwa abiria kumzaba kumzaba kibao dereva! Ni hatariNi kweli kabisa kuna jamaa alikuwa wa hivyo Sasa Mimi nikawa nimezoea nikikutana naye na wakiwepo watu wengine naanza kumtania watu wanamcheka Ila yeye hajibu anatabasamu tu .
Siku moja nikamtania tena mbele ya watu wakacheka sana yeye akasmile Sasa wakati wa kutawanyika nikampa lift kwenye Corolla yangu tulikuwa wawili tu ,jamaa alinikwida vibaya ovyo ,akanibana Koo alafu ndiyo akawa anasema unapenda sana kunidhalilisha ,nililia sana kwa kile kibano omba msamaha wapi ,mwamba anatembeza makonde tu alafu kanibana kwenye Sterling nikaona Cha kufia nini nikawa napiga makelele ndiyo watu kuja kutuamulia toka siku hiyo jamaa namheshimu sana na simletei utani kabisa.
Hivyo hata job nikiletaga tafrani utasikia boss anasema au tumuite fulani lengo niogope
Mkuu leta taarifa kamili mbona hii kama interestingJuzi Basi la BM limedondoka Lugalo kwa abiria kumzaba kumzaba kibao dereva! Ni hatari
Kuna kijiji fulani nyanda za juu kusini wakazi wake wako hivyo, unaweza kujikuta asubuhi unapiga mswaki ziwaniNimekaa na kuishi na watu kadhaa unamtendea sivyo ila yeye ana smile tu. Hasemi kitu. Yeye pamoja na mabaya yanayofanywa na watu wanaoona wako sawa na wabishi yeye kazi yake ni kuongea kidogo baadae mnapojadili yeye kimya, na kuendelea ku smile 😃 tu. Kuna maamuzi atachukua na utashangaa tu ameshakipa, mwingine wala hakukimbii anakuacha tu.