Ogopa Mkopo wa simu Airtel ikishirikiana na Watu Credit, wamsababishia baba shida

Ogopa Mkopo wa simu Airtel ikishirikiana na Watu Credit, wamsababishia baba shida

Wewe kama ni ke na pis, si ufanye one night stand ya 50k umlipie mzee kwa mwezi mmoja
 
Hiv insurance huwa inasimama kama utafukuzwa kazi au utakufa?
Bima inasimamia show ikiwa utafukuzwa kazi ama kufariki, kuna sehem niliona pia kama utapata ajali ukiwa kazini.
Lakini kwa kuacha kazi hua linabadilika na kua deni sugu ambapo hupeleke mdaiwa kuingizwa kwenye record ya BOT
 
Back
Top Bottom