- Thread starter
- #61
Niambie huduma maana yake nini labda tutaenda sawa, na ni kwasababu gani!Kwa hiyo tunaohudumia wake tunaendekeza ujinga?
Kwa hiyo wa kwako hutoi huduma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niambie huduma maana yake nini labda tutaenda sawa, na ni kwasababu gani!Kwa hiyo tunaohudumia wake tunaendekeza ujinga?
Kwa hiyo wa kwako hutoi huduma.
Kuna wanaume wanaona kawaida , wanaoa kabisa alafu moto ukiwaka wanalialia.Mwanamke anayeona upendo hauwezi kuwepo bila pesa huyo ni danga tu hawa mara nyingi huwa hawaolewi ni wakitumika tu
Upendo unapimwa na miamala au sio? acha kuhalalisha ukahaba dada.Ndugu wanawake wote, mwanaume anaekupenda na kukuthamini hataacha kukuhudumia sawa sawa na uwezo wake.
Kama hafanyi hivyo kimbia huyo ni tapeli
Nimegundua wewe ni hamnazo. Ngoja nikuache na wenzio muendelee kujazana ujingaUpendo unapimwa na miamala au sio? acha kuhalalisha ukahaba dada.
Kama huna hela kama mimi kaa kando waache wenye nazo wapite mikono mitupu hailambwiWadau hasahasa wanaume, kuna utamaduni ambao kimsingi binafsi naona umechangia kwa kiasi kikubwa sana matatizo ya mahusiano.
Kuna kitu wanawake wanaita 'pesa ya matunzo', au 'huduma' na majina mengine mengi.
Wanaume wengi wameingia kwenye huu mtego hasa wakiwa na kahela hata kadogo anaona ni jukumu lake kumhudumia mwanamke ambae naye anapaswa kufanya kazi na kujitafutia.
Sasa, hili jambo limepelekea wanawake kujihusisha na ukahaba na umalaya.
1. Mapenzi ambayo ni yanahusisha miamala, yani transactional relationship ni biashara tayari.
2. Pale mwanaume anapokosa riziki, au kufulia, suala la kugongewa linakuwa karibu kabisa naye sababu mwenzie alishazoea maintenance.
Kwahiyo ataangalia option nyingine huku wewe ukitaabika na stress.
Nilibahatika kidogo kuishi na tamaduni kadha wa kadha, lakini niligundua kuna baadhi ya tamaduni hawaendekezi huu upuuzi.
Pesa haitolewi bila kazi ya msingi. Sasa mwanaume jiulize hiyo pesa unaitoa kwasababu tu ni mwanamke au kwasababu ya huduma gani?
Mwisho kabisa. Watu wengi wameweka ndani makahaba bila kujua, na mtashangaa sana mahusiano ya kisasa yalivo na misukosuko.
OBRIGADO.
Ukweli mchunguNashauri mwanamke wako muhudumie!!
Watamla usipo muhudumia na hata ukimuhudumia watamla vile vile!! Asante [emoji15][emoji15]
Kumbe dawa yao ni ndalama ili wajitume kitandaniKuhonga ni raha sana mkuu, mwanamke atajituma sana kwako hata kama una show mbovu.
Ukiwa bahili basi viagra, mkongo, mo extra, kung fu enenrgy ndizo mambo zenu ili msimamie ukucha msiachwe na bado haohao wanakuja kulia shida kwa mapedeshee huku wakijituma haswa ili waongezewe kibunda.
Ila maisha haya....
Huu sasa ndio ukweli wenyewe. Kuchapiwa kupo pale pale. Wanawake wanapenda kutombaner hawa acha tuu. Ila sasa wanavyojifanya malaika...Uhudumie usihudumie, ukubali ukatae, hakuna mwanamke asiyetoka nje ya ndoa.
Mbona nyie hamtimizi wajibu wenuSI ndio maana upinde unazidi kung'aa rangi zake.
Wanaume hawataki kutimiza wajibu wao kama waume
Unajielewa👍Unaendekeza umalaya na ukahaba pia. Mimi nikimpa pesa, matumizi yake yanafahamika na ni kwa ajili ya family, sio maintenance yake. Yeye anafanya kazi. Akitaka nimpe extra. Afanye kazi ntakayompatia kwa makubaliano!! Sio nimpe tu simply because ni mwanamke
Sio sisi ni huyo uliye naye.Mbona nyie hamtimizi wajibu wenu
Mie sina mwanamkeSio sisi ni huyo uliye naye.