Ogopa mwanamke anayedai pesa ya matunzo

Ogopa mwanamke anayedai pesa ya matunzo

Mwanamke anayeona upendo hauwezi kuwepo bila pesa huyo ni danga tu hawa mara nyingi huwa hawaolewi ni wakitumika tu
Kuna wanaume wanaona kawaida , wanaoa kabisa alafu moto ukiwaka wanalialia.
 
Ndugu wanawake wote, mwanaume anaekupenda na kukuthamini hataacha kukuhudumia sawa sawa na uwezo wake.
Kama hafanyi hivyo kimbia huyo ni tapeli
Upendo unapimwa na miamala au sio? acha kuhalalisha ukahaba dada.
 
Kashindwa kutunzwa na kuhudumiwa na wazazi wake wampe maisha bora ndo nitaweza mimi!!!!! Hapana aisee afanye kazi ili ajitunze
 
No money no honey.

UnAkumbuka huu msemo?

Uliyoandika ni sahihi kabisa but does not help.

Siku hizi wanasema tafuta pesa uache kujieleza sana
 
Wadau hasahasa wanaume, kuna utamaduni ambao kimsingi binafsi naona umechangia kwa kiasi kikubwa sana matatizo ya mahusiano.

Kuna kitu wanawake wanaita 'pesa ya matunzo', au 'huduma' na majina mengine mengi.

Wanaume wengi wameingia kwenye huu mtego hasa wakiwa na kahela hata kadogo anaona ni jukumu lake kumhudumia mwanamke ambae naye anapaswa kufanya kazi na kujitafutia.

Sasa, hili jambo limepelekea wanawake kujihusisha na ukahaba na umalaya.

1. Mapenzi ambayo ni yanahusisha miamala, yani transactional relationship ni biashara tayari.

2. Pale mwanaume anapokosa riziki, au kufulia, suala la kugongewa linakuwa karibu kabisa naye sababu mwenzie alishazoea maintenance.

Kwahiyo ataangalia option nyingine huku wewe ukitaabika na stress.

Nilibahatika kidogo kuishi na tamaduni kadha wa kadha, lakini niligundua kuna baadhi ya tamaduni hawaendekezi huu upuuzi.

Pesa haitolewi bila kazi ya msingi. Sasa mwanaume jiulize hiyo pesa unaitoa kwasababu tu ni mwanamke au kwasababu ya huduma gani?

Mwisho kabisa. Watu wengi wameweka ndani makahaba bila kujua, na mtashangaa sana mahusiano ya kisasa yalivo na misukosuko.

OBRIGADO.
Kama huna hela kama mimi kaa kando waache wenye nazo wapite mikono mitupu hailambwi
 
1. kwa upande wa wanawake tatizo siyo kuomba pesa bali kugeuza mahusiano kama ajira ingawa si wote.

jukumu la wanaume:
a. kujua hali ya kiuchumi ya mwanamke unayemtaka itasaidia kujua kama vizinga ni kausha damu au halisia.

b. kuijua tabia halisi ya mwanamke unayemtaka kama 'slay queen' au 'wife material'.

c. ukijua a na b hapo juu ni uamuzi wako kusuka au kunyoa.


2. kwa wanaume kutokuwa na pesa nyingi si tatizo ila shida ni kushindwa kujiongeza hata kwa masuala yaliyo ndani ya uwezo wake.

jukumu la wanawake:
a. kujua hali ya kiuchumi ya mwanaume anayekutaka itakusaidia kujua ataweza kukuhudumia au vinginevyo.

b. kujua mwanaume anayekutaka ni wa 'hit and run basis' au wa 'here to stay basis'.

ushauri kwa jinsia zote:
1. kauli za wanawake 'omba omba' hazina maana kama utayazingatia hayo hapo juu ingawa si sheria.

2. kauli za 'tafuta hela' hazina mashiko kwa kuwa watu wanazidiana vipato mfano mhudumu wa ofisi kwenye halmashuri hawezi lingana kipato na mhudumu wa ofisi ya bunge, lakini tukizingatia hayo hapo juu tutakuwa kwenye nafasi ya kujikuna pale tumapoweza.

3. pia kwa zipo 'coincidence za watu kuwa:
-wanajali mapenzi ya kweli kuliko kipato
-wako tayari wapambane kutafuta maisha kutokea chini ili asimpoteze ampendaye.
 
Uhudumie usihudumie, ukubali ukatae, hakuna mwanamke asiyetoka nje ya ndoa, kikubwa ni kuvumiliana kama ambavyo, hakuna mwanaume asiyetoka nje ya ndoa.
 
Kuhonga ni raha sana mkuu, mwanamke atajituma sana kwako hata kama una show mbovu.

Ukiwa bahili basi viagra, mkongo, mo extra, kung fu enenrgy ndizo mambo zenu ili msimamie ukucha msiachwe na bado haohao wanakuja kulia shida kwa mapedeshee huku wakijituma haswa ili waongezewe kibunda.

Ila maisha haya....
Kumbe dawa yao ni ndalama ili wajitume kitandani
 
Uhudumie usihudumie, ukubali ukatae, hakuna mwanamke asiyetoka nje ya ndoa.
Huu sasa ndio ukweli wenyewe. Kuchapiwa kupo pale pale. Wanawake wanapenda kutombaner hawa acha tuu. Ila sasa wanavyojifanya malaika...
 
Unaendekeza umalaya na ukahaba pia. Mimi nikimpa pesa, matumizi yake yanafahamika na ni kwa ajili ya family, sio maintenance yake. Yeye anafanya kazi. Akitaka nimpe extra. Afanye kazi ntakayompatia kwa makubaliano!! Sio nimpe tu simply because ni mwanamke
Unajielewa👍
 
Back
Top Bottom