SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Bravo team copy!Man down!!!..Alpha team I repeat Man down
Air support on the way!
Prepare for evacuation!
Bravo do you copy?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bravo team copy!Man down!!!..Alpha team I repeat Man down
Vaa deraYesu nitie nguvu baba.. peke yangu siwezi[emoji119][emoji119][emoji119]
Na kipini puani ogopa sana[emoji41]Huu ni ushauri wangu kwenu wakulungwa wenzangu. Mwanaume mwenzangu ogopa sana mwanamke anayevaa dera tena mchana. Utakuja kunikumbuka.
Picha ya hilo Dela iko wapiHuu ni ushauri wangu kwenu wakulungwa wenzangu. Mwanaume mwenzangu ogopa sana mwanamke anayevaa dera tena mchana. Utakuja kunikumbuka.
Haswaa wanaovaa dera na kasuruali kwa ndani,hatar sana.[emoji1787][emoji1787]Huu ni ushauri wangu kwenu wakulungwa wenzangu. Mwanaume mwenzangu ogopa sana mwanamke anayevaa dera tena mchana. Utakuja kunikumbuka.
Yah! Ni muhimu sana iko kikao aisee.Tunaovaa Madera katibu wenu nawataarifu tuna kikao cha dharura.
Si nione tu mnavyoyashikilia na mapozi ya kupga pichaHuruhusiwi kabisa
Ki vipi, mbona sipati mantiki ya hoja yako?Huu ni ushauri wangu kwenu wakulungwa wenzangu. Mwanaume mwenzangu ogopa sana mwanamke anayevaa dera tena mchana. Utakuja kunikumbuka.
Ndo maana umeachwa na bichwa lako🤣Udundwe tu hakuna namna..🤣
Hivi viumbe usivichukulie poa ndg mostly "NI WASHESHI "Utajisikiaje mke wako yuko barabarani hajavaa chupi yuko na mdera wake !
hakana nyama nyingi, uwingi uko kwenye maneno. VINA ONGEA HIVYO.Ogopa sana tens kawe kembamba na kanashinda na madera huwa wanabonge La pango Mzee ukienda ovyo unavunja vuzi
Nimevaaa tena la rangi rangi🤣🤣🤣Vaa dera
hakana nyama nyingi, uwingi uko kwenye maneno. VINA ONGEA HIVYO.Ogopa sana tens kawe kembamba na kanashinda na madera huwa wanabonge La pango Mzee ukienda ovyo unavunja vuzi
Man down!!!..Alpha team I repeat Man down