Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Umeanza kutunga mi sijaachwa.Ndo maana umeachwa na bichwa lako🤣
Umeachika😛😂 Umeanza kutunga mi sijaachwa.
TakudundaUmeachika😛
Hivi kila nguo ina tabia maalum?Huu ni ushauri wangu kwenu wakulungwa wenzangu. Mwanaume mwenzangu ogopa sana mwanamke anayevaa dera tena mchana. Utakuja kunikumbuka.
😂😂😂😂😛😛😛😛Takudunda
Jamani,hata Mimi nashangaa kwa kwelidera hilihili au kuna lingine linaongelewa
Tena wewe ndio wanakufaa,unawainamisha na kuwasweka tuSema chukuchuku mkuu
Kwani kanzu ni nini,si dera la kiumeSa unataka Dera avae nani?wanaume au.we kama umeingia mkenge sio kwa sababu ya Dera..ila ni Ufala wako.
Wasagula, vigodoro uvaa mbonaMkuu hebu rekebisha kauli yako Visichana havipendagi madira ila mwanamke ambao mama zetu wanapenda sana kuvaa madira kwahiyo unataka tuwaogope mama zetuu.
Ushasababisha ajali akilini mwangu.Nimevaaa tena la rangi rangi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hehee ...hahaa.."make hapo kwanza ncheke"Huu ni ushauri wangu kwenu wakulungwa wenzangu. Mwanaume mwenzangu ogopa sana mwanamke anayevaa dera tena mchana. Utakuja kunikumbuka.
Subiri niombe ruhusa kwa konokono wangu KENZYUshasababisha ajali akilini mwangu.
Hebu nitumie picha ukiziba sura.
Picha kwa PM ili niobdoe brain konkasheni
AstaqafirullahKwani kanzu ni nini,si dera la kiume
Tango, alpha team, we are heading to the extraction site, limaMan down!!!..Alpha team I repeat Man down
Acha ukauzuOle wako..[emoji41]