Teh teh 😃 😃 acha uoga bhana...Salaam wanajukwaa
Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )
Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.
Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.
Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.
Nawasilisha.
Mi nina gari. Naruhusiwa kutoa ushauri?Salaam wanajukwaa
Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )
Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.
Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.
Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.
Nawasilisha.
Salaam wanajukwaa
Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )
Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.
Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.
Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.
Nimesoma comment zote. Ahsanteni sanaSalaam wanajukwaa
Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )
Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.
Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.
Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.
Nawasilisha.
Usiamini uchawiToa mkuu
Baadae wanaenda kuipigia kura CCMNdio hawa wanaowashauri Yanga na Simba waingie kinyume nyume taifa
Mwisho nchi inalaaniwaBaadae wanaenda kuipigia kura CCM
Mimi ninaomba niwe pembeni kidogo na wanaoona wako juu ya uchawi ulozi ushirikina. Ninachojua njia Moja wapo ya kumloga mtu ni kumfanya ajione halogeki na yuko juu ya wachawi na wanaologeka au kuwangiwa ni masikini, wajinga, wavivu nk. Mchawi ni zaid ya profesa wa psychology mana ukiongelea misimamo yako anasapoti then anaenda kuharibu anavyojua then anakuuliza imekuwaje utatoa sababu za kisayansi au za kawaida tu akitoka hapo anaenda Cheka mpk anazimia.Nimesoma comment zote. Ahsanteni sana
Nimesoma comment zote. Ahsanteni sana
unamaanisha chuma ulete?Salaam wanajukwaa
Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )
Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.
Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.
Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.
Nawasilisha.
Fafanua zaidi.Salaam wanajukwaa
Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )
Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.
Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.
Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.
Nawasilisha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo tukipanda daladala tukatae kulipa nauli?
Ni faza...Unaweza kukuta mleta mada ni wa kiume,ana ndevu zake na ana familia ambayo inamtegemea siku Nyoka akiingia sebuleni,yeye ndiye amuue.