Ogopa sana hili jambo kwenye Daladala

Ogopa sana hili jambo kwenye Daladala

Salaam wanajukwaa

Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )

Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.

Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.

Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.

Nawasilisha.
Teh teh 😃 😃 acha uoga bhana...
 
Sasa umeandika nini hiki??
Na chenji utakayopewa na konda inabidi uichape maombi papo hapo sio??
 
Salaam wanajukwaa

Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )

Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.

Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.

Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.

Nawasilisha.
Mi nina gari. Naruhusiwa kutoa ushauri?
 
Hamna kitu kama hiko,ni sawa sawa na wale wanaosema usitoe chenchi asubuhi asubuhi,sasa kama watu wote mtaani wakiwa na mtizamo kama huu,hamuoni kwamba mnateseka nyie wenyewe,mtu akiomba kitu ambacho unacho mpe,wewe unapewa marq ngapi?
 
Salaam wanajukwaa

Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )

Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.

Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.

Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.

Salaam wanajukwaa

Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )

Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.

Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.

Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.

Nawasilisha.
Nimesoma comment zote. Ahsanteni sana
 
Nimesoma comment zote. Ahsanteni sana
Mimi ninaomba niwe pembeni kidogo na wanaoona wako juu ya uchawi ulozi ushirikina. Ninachojua njia Moja wapo ya kumloga mtu ni kumfanya ajione halogeki na yuko juu ya wachawi na wanaologeka au kuwangiwa ni masikini, wajinga, wavivu nk. Mchawi ni zaid ya profesa wa psychology mana ukiongelea misimamo yako anasapoti then anaenda kuharibu anavyojua then anakuuliza imekuwaje utatoa sababu za kisayansi au za kawaida tu akitoka hapo anaenda Cheka mpk anazimia.

Solution ya hiyo shd ya chumaulete inakuja soon Dunia nzima. Ni Cashless economy nadhani mlisikia hata Kwenye Bungee la katiba juzi. Huko ndo Dunia iendako. Then tutaona kama wanaweza kuchuma Kwenye credit cards. 😊😊
Nimesoma comment zote. Ahsanteni sana
 
Salaam wanajukwaa

Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )

Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.

Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.

Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.

Nawasilisha.
unamaanisha chuma ulete?
 
Ni kweli, inaitwa chuma ulete.

Kuna baadhi ya watu humu wanapinga kwamba haya mambo hayapo kumbe ndio vigagula wenyewe, wanataka kupumbaza watu ili waendelee kuibia watu kichawi.
 
Mjini nako bado kuna matakataka mengi! Hili nalo takataka! Sasa pale mwendokasi uko na elfu 1 anakuja mwenye 750 unaachaje kumwomba akupe hiyo 250?
 
cover.jpg
 
Salaam wanajukwaa

Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )

Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.

Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.

Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.

Nawasilisha.
Fafanua zaidi.
Bado hujaeleweka nini unachotaka tujadili.
 
Back
Top Bottom