Ogopa sana mpenzi mwenye mashosti

We shoga unaweza kuoa kwan??
 
Kwa hiyo alikuwa ni king'asti?
 
to cut the mashosti's chain look for one/two of them and make love with them they will one day give you all the information
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakuta k imevurugwa haswa...
 
Exactly, we ndio umeielewa dhima ya hii topic kabisa ila watu wamekuwa swayed na muda wa mke kurudi![emoji28]

Hakikisha mkeo hana mashosti shosti wake uwe wewe mkuu! Thats how you protect the queen.
Wewe mwenyewe uwe unashostika sasa. Usikute mtu anayeongea hivi muda wote sura ya mbuzi
 
Wewe mwenyewe uwe unashostika sasa. Usikute mtu anayeongea hivi muda wote sura ya mbuzi
Hahahahaha kushostika sio lazma tugongeane mikono! 😅😅😅

Wa mbuzi lazma uhusike usije ukaanza kuomba nikupige deki nyumba na kukukunia nazi!
 
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] touching yourself
Yes Sweetheart, Touchin my Dick , in fact kwa kuufikiria Uzuri wa Umbo lako. uzuri wa sura yako, huwa naget Hard as rock ,from there najikuta mkono unashuka kwa Boksa naanza kujishika shika m.b..o.
 
Mmmh Kaka Hapana saa 11 umezidisha,si tutakutana na microwave zetu tulizopewa kwenye kitchen party mlangoni🤣
 
Na pia marafiki wa waume zetu Ni majoka....kila demu wa best yake utasikia shemelaaaa
 
Kwanza kabisa kuruhusu mkeo arudi home asubuhi hayo ni matumizi mabaya ya JINSIA…pili simama kama kdume kamua mkeo vzur halafu tafuta hela..najua huwez kuzuia mkeo akitaka kugongwa ila ajue kuwa ukijua tu basi jiko la mkaa litamwagiwa maji..kwan hujawah kula demu la mtu tena dem sio mke ila dem anakwbia kabisa jamaa gaidi akinikuta nimeisha..[emoji3][emoji3]ila unakula mbususu kama kawa
ANGALIZO:ukila mke wa mtu na wako watamla
:mke wa mtu ni sumu
 
Mwanaume uwe mkali mkali kidogo jamani, hata me nakua najua kabisa nikifanya kitu flan mme wangu atanimeza mzima mzima.. msituachie sana kuna muda bila command hatuendi, unaongea neno moja tu hurudii, sitaki utoke, sitaki utoke no discussion..
Dada shikamoo
 
Mimi sherehe za birthday hazijawahi kuniingia akilini sanaa,,,naona ni utamaduni wa hovyo tu na matumizi mabaya ya fedha

Ukiona mkeo anarudi alfajiri na mme anaona sawa,,,,Mme nae anakuwa wa hovyo pia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…