Ogopa sana watu, lakini karma is real

Ogopa sana watu, lakini karma is real

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Nianze kwa salam.

Ninamsomesha mtoto wa dada shule moja ya gharama mjini. Day

Ada ni ndefu kwa kweli, term moja 1.2 m hali ya maisha si njema kwa wengi wetu ni kujinyima tu watoto wapate kilicho bora.

Iko hivi: Shule zinafungwa Juni huko Mhasibu kuvumilia siku 10 nimalizie laki iliyobaki amegoma, 1.1M niliyolipa haoni thamani yake binti kama mie kweli? Karma is real.
 
Nianze kwa salam.

Ninamsomesha mtoto wa dada shule moja ya gharama mjini.Day

Ada ni ndefu kwa kweli, term moja 1.2m hali ya maisha si njema kwa wengi wetu ni kujinyima tu watoto wapate kilicho bora. .

Iko hivi.
Shule zinafungwa Juni huko Mhasibu kuvumilia siku 10 nimalizie laki iliyobaki amegoma, 1.1M haoni thaman yake binti kama mie kweli? Karma is real
Shule sio yake, hata yeye yupo kazini. Sometime tunaweza saidia watu wengine, ila kumbe tunajiumiza na sisi. Kuruhusu mtoto wako aendelee, maana yake anaenda kinyume na taratibu za shule.

Ikitokea amekusaidia alaf akafukuzwa, utamsaidia? Au ndio utatafuta laki kwa ajili ya mwanao alaf yeye utamwambia pole?
 
Shule sio yake, hata yeye yupo kazini. Sometime tunaweza saidia watu wengine, ila kumbe tunajiumiza na sisi. Kuruhusu mtoto wako aendelee, maana yake anaenda kinyume na taratibu za shule.

Ikitokea amekusaidia alaf akafukuzwa, utamsaidia? Au ndio utatafuta laki kwa ajili ya mwanao alaf yeye utamwambia pole?
Pole, hutaelewa
 
Karma hata kama ipo lakini huwa inachelewa sana.

Pia zipo shule ndugu mleta mada ambazo hutoa pia elimu bora lakini ada yake ni robo ya hio unayo lipa hapo.

Pole pia na hongera kwa kujali.
Kaw ya demand na supply itatutesa sana. Hata huko ambako ada ni Ndgo demandya kuomba nafasi ikiwa kubwa, nitategemea haya huyo bursar Analyse Kaz yake kufumba macho tu
 
Nianze kwa salam.

Ninamsomesha mtoto wa dada shule moja ya gharama mjini. Day

Ada ni ndefu kwa kweli, term moja 1.2 m hali ya maisha si njema kwa wengi wetu ni kujinyima tu watoto wapate kilicho bora.

Iko hivi: Shule zinafungwa Juni huko Mhasibu kuvumilia siku 10 nimalizie laki iliyobaki amegoma, 1.1M niliyolipa haoni thamani yake binti kama mie kweli? Karma is real.
Pole sana..
Ni vizuri kumtafutia mtoto shule nzuri, lakini iwe yenye ada unayoweza kumudu
 
Pole sana inakuaga hivyo hivyo. Mimi wamemrudisha wangu asubuhi hii kwakua amebeba pesa cash, wao wanatakiwa wachukue Slip tu sio pesa. Nimemuelewa, atalipa baadae kesho watamchukua.

Relax na mshukuru Mungu. Umeikosa hio laki?
 
Nianze kwa salam.

Ninamsomesha mtoto wa dada shule moja ya gharama mjini. Day

Ada ni ndefu kwa kweli, term moja 1.2 m hali ya maisha si njema kwa wengi wetu ni kujinyima tu watoto wapate kilicho bora.

Iko hivi: Shule zinafungwa Juni huko Mhasibu kuvumilia siku 10 nimalizie laki iliyobaki amegoma, 1.1M niliyolipa haoni thamani yake binti kama mie kweli? Karma is real.
Kwamba Karma itampata kwavile kazuia mtoto asiendelee na shule,
Bila kua strictly na watu kama nyie ,tutakwamisha mambo mengi sana

Angemruhusu mwanao , means umemuamishia tatizo yeye
 
Kwamba Karma itampata kwavile kazuia mtoto asiendelee na shule,
Bila kua strictly na watu kama nyie ,tutakwamisha mambo mengi sana

Angemruhusu mwanao , means umemuamishia tatizo yeye
Waacheni wabakie kayumba maana hamuelewi Chochote hapa
 
Pole sana inakuaga hivyo hivyo. Mimi wamemrudisha wangu asubuhi hii kwakua amebeba pesa cash, wao wanatakiwa wachukue Slip tu sio pesa. Nimemuelewa, atalipa baadae kesho watamchukua.

Relax na mshukuru Mungu. Umeikosa hio laki?
Kwa kweli ni fundisho sana. Ila mm nimeichukulia kama roho Mbaya roho nyeusi si
 
Pole saana.

Hamna namna hapo zaidi ya kuonana na mwl mkuu au meneja yanazungumzika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili tulizojaaliwa nazo, tumshukuru Manani, hapa ni kwa vitendo tu. Hasira zimenijaa mtoto ambaye anafanya kuuliza leo sio sikukuu. Labda ili andelee kula pasaka. Anatokea Mtu anablock, hapa anakomolewa mtoto na mamaake mdg.

Hizi siku atakazokosa watazilipa? Si wizi teyar! Ndio maana nasema Karma is real
 
Mkuu Karma unaijua?
Hajakutenda baya. Anatimiza majukumu yake kama yalivyo masharti ya Mkataba wake. Naye anabanwa. Huenda kapewa siku 14 wanafunzi wote wawe wamelipa ada.

Kakupa siku 10, naamini utaipata laki moja. Shule nyingi hazipokei bila kutimiza hela kamili. Hawataki usumbufu wa kuanza kuwarudisha wanafunzi.
 
Back
Top Bottom