Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Umeona mbali mkuu, maana hana point ya maana et karmaAfu usikute, hizo ids zote zinazomjibu na kumshauri ni zake zote.....
#bongoNyoso #jichanganye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona mbali mkuu, maana hana point ya maana et karmaAfu usikute, hizo ids zote zinazomjibu na kumshauri ni zake zote.....
#bongoNyoso #jichanganye
Hahahaha... Wabongo tuna akili sana ...laiti kama tungekua tunazitumia kama wanaijeria...Taifa letu lingekua mbali sana.Umeona mbali mkuu, maana hana point ya maana et karma
In mama samia's voice!mtoe mpeleke st kayumba
shule haijiendeshi na mawe
kula urefu wa kamba yako inapoishia, acha kujimwambafy
Karma ina apply vipi hapa.Nianze kwa salam.
Ninamsomesha mtoto wa dada shule moja ya gharama mjini. Day
Ada ni ndefu kwa kweli, term moja 1.2 m hali ya maisha si njema kwa wengi wetu ni kujinyima tu watoto wapate kilicho bora.
Iko hivi: Shule zinafungwa Juni huko Mhasibu kuvumilia siku 10 nimalizie laki iliyobaki amegoma, 1.1M niliyolipa haoni thamani yake binti kama mie kweli? Karma is real.
Wewe so mama watoto wa BM X6?Nianze kwa salam.
Ninamsomesha mtoto wa dada shule moja ya gharama mjini. Day
Ada ni ndefu kwa kweli, term moja 1.2 m hali ya maisha si njema kwa wengi wetu ni kujinyima tu watoto wapate kilicho bora.
Iko hivi: Shule zinafungwa Juni huko Mhasibu kuvumilia siku 10 nimalizie laki iliyobaki amegoma, 1.1M niliyolipa haoni thamani yake binti kama mie kweli? Karma is real.