Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Sawa πPole, hutaelewa
Sijaelewa why umenimention hapa. Nimefumbia macho jambo gani mrembo? π€·ββοΈπ€·ββοΈKaw ya demand na supply itatutesa sana. Hata huko ambako ada ni Ndgo demandya kuomba nafasi ikiwa kubwa, nitategemea haya huyo bursar Analyse Kaz yake kufumba macho tu
Muhasibu kampa siku kumi atafute laki moja afu bado anaona kaonewa.Mkuu Karma unaijua?
Hajakutenda baya. Anatimiza majukumu yake kama yalivyo masharti ya Mkataba wake. Naye anabanwa. Huenda kapewa siku 14 wanafunzi wote wawe wamelipa ada.
Kakupa siku 10, naamini utaipata laki moja. Shule nyingi hazipokei bila kutimiza hela kamili. Hawataki usumbufu wa kuanza kuwarudisha wanafunzi.
Mpe assistSijaelewa why umenimention hapa. Nimefumbia macho jambo gani mrembo? π€·ββοΈπ€·ββοΈ
Shule sio yake, hata yeye yupo kazini. Sometime tunaweza saidia watu wengine, ila kumbe tunajiumiza na sisi. Kuruhusu mtoto wako aendelee, maana yake anaenda kinyume na taratibu za shule.
Ikitokea amekusaidia alaf akafukuzwa, utamsaidia? Au ndio utatafuta laki kwa ajili ya mwanao alaf yeye utamwambia pole?
My concern ni kwamba kwann amkasirikie muhasibu hivyo? Maana yule nae kaajiliwa tu. Hana mamlaka ya kuhurumia watu. Alichotakiwa ni kwenda ngazi za juu mf: kwa Mwalim mkuuHii case ikimfikia mhusika atasaidia, this is a very common thing kwa kweli, ila huyu naye kalipa 1.1m, hiyo laki inamshindaje?
Hajamaanisha hivyo π π πMpe assist
Ngoja ajibuHajamaanisha hivyo π π π
My concern ni kwamba kwann amkasirikie muhasibu hivyo? Maana yule nae kaajiliwa tu. Hana mamlaka ya kuhurumia watu. Alichotakiwa ni kwenda ngazi za juu mf: kwa Mwalim mkuu
[emoji16][emoji16]Mmmhhh...huyu anaomba pesa kisirisiri asaidiwe na Wana jf.
#ChezeaWabongoWewe
UMEOLEWA DADA YANGU SAMAHANI KWA SWALI HILIBaki hivyo hivyo
Afu usikute, hizo ids zote zinazomjibu na kumshauri ni zake zote.....[emoji16][emoji16]