Ogopa sana watu, lakini karma is real

Umeona mbali mkuu, maana hana point ya maana et karma
Hahahaha... Wabongo tuna akili sana ...laiti kama tungekua tunazitumia kama wanaijeria...Taifa letu lingekua mbali sana.
 
Karma ina apply vipi hapa.

Hakuna cha karma wala karama.

Maliza ada au utafute shule inayoendana na uwezo wako
 
Wewe so mama watoto wa BM X6?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…