Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

Indigenous blacks wa Egypt,Tunisia, Morocco et al walienda wapi? Waarabu ni watu katili sana.
Alafu UAE wanatuhumiwa kufadhili makundi ya kigaidi kama Rapid Support Forces ya Sudan ambalo linapambana na serikali ya Sudan sasa.
Akili bandia!!!!
 
Mimi nimeiona hii kwenye chaGPT, au feki hii?:

 
Kwani wabongo wanapiga pesa ngapi kuliko hizo atakazo jilipa Mwarabu
Bora wabongo wapige ela yao izunguke nchini
Wewe nae umelala, pesa hizo hizo wanazozichapa wabongo wanakwenda kuziwekeza Dubai. Jisomee:

 
kwahyo boro bandari, mbuga, mashamba na fukwe zote tuwagawie "miungu watu yenu Waarabu" ??!

kwanini waislamu mnajipendekeza na kujikomba sana kwa waarabu na kuwaona kama miungu ili hali wao wanawadharau kama kinyesi kibichi.
 
Wakisoma kile kitabu wanaona wale ni wenzao kumbe bado wanaonekana nyani.😂😂😂
Sasa sijuwi tukimbilie wapi maana kwenye biblia yesu ndiyo katuita mbwa kabisa, jisomee:

Mathayo 15
25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
26 Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
 

Mimi si mtaalamu sana, lakini kama mambo yako hivi, basi hatuna viongozi wa kutegemewa na wananchi , bali ni wauza wananchi na nchi yao.


Sasa wanachopambana kupinga ni kitu gani?

Hivi wale wabunge waliopelekwa uarabuni walikuwa na kazi gani kule?
 
CCM tunawambia mkataba niwakitapeli niwabishi
CCM wajiuzulu kwa kuwatapeli WaTanzania.
Kuanzia juu waondoke kwa ridhaa Yao.
Majuzi bungeni eti watu wamekula pesa wanapewa barua ya Onyo!! Upuuzi gani huu? Kwa ni watashindwa kuendeleana wizi huo.
Ni ujinga wa Hali ya juu mno.
CDM mko wapi na haya mambo!??
 
kwahyo boro bandari, mbuga, mashamba na fukwe zote tuwagawie "miungu watu yenu Waarabu" ??!

kwanini waislamu mnajipendekeza na kujikomba sana kwa waarabu na kuwaona kama miungu ili hali wao wanawadharau kama kinyesi kibichi.
Wanadharau kuliko Yesu alivyotuita mbwa?:

Mathayo 5
25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
26 Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
 
Acha
Uongo mkuu. Waamini wabunge weyu please.
 
Chadema wanakata mauno hata baada ya dj kuzima muziki , tumefika hapa tulipo kwasababu ya unyumbu, na jamii mfu ambayo haiwezi kuhoji kwa sauti inayosikika na bunge ambalo linapitisha sera bila kuwa na ujuzi wa kutambua madhara ya hizo sera hapo baadae. Without the knowledge of the aftermath of the implemented policies the end result will be ineffective policies
 
Wewe si ndiyo ulitaka link ya kesi ya Djibouti? Au ulikuwa unabwabwaja na kuhororoja hovyo tu?


Huwa sikisii.
Una makasiriko ya haraka sana.

Haufai kuwa kiongozi labda uwe mbeba begi la kiongozi. Hekima haiuzwi dukani
 
Hayabana
Uzeni kila kitu kwa jina la uwekezaji.

Kuna kabwawa kangu ka kuogelea nataka kujenga bandari ndogo ya vimashua vya watoto.

Nayo najua mtaiuza. Loh
 
Kwani wale chawa wakipumbavu, wenye unafiki, njaaa na ubinafsi watakuelewa., watakuona mpotoshaji tu. Kuna watu wanzidiwa akili na mbwa, ambaye ukimwambia wee acha na kweli anaaacha hata kama alikuwa anakula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…