Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

Arabs walochotufanyia Africa hawaamini how come wamekaribishwa tena so kuja kwao ni kwa kimitego ukiingia umekwisha
 
Kwa wale ambao hamuijui Chat GPT, hii ni teknolojia ya Artificial Intelligence (Akili Bandia),

Kumekuwa na vuta nikuvute ya huu mkataba, wapo wanaosema mkataba huu ni halali wakiongozwa na spika wa bunge Tulia Ackson na msemaji Gerson Msigwa... Upande wa pili ndio hawa wanaofanya ishu itrend kila kona ya nchi kwamba mkataba huu unapiga nchi mnada.

Nikaona nipandishe mkataba huu kwenye mtambo wa chat gpt.

Nikaiuliza swali - makubalioano haya yanaweza kuzipora bandari za Tanzania milele.

Jibu ndilo hilo kama lilivyo kwenye picha,

Huu mkataba unamwezesha mwarabu kuichukua bandari milele, Tukitaka kuuvunja hatuwezi upande moja, DP World akiamua anaweza kuiendesha bandari milele!!

View attachment 2675558

Nikaiuliza, kuna kifungu kinavunja mkataba kukiwa na "permanent cessation" hii ina maana gani, ikanijibu kwamba ni mpaka pale DP world atakapoamua kuacha shughuli zake, Ni mpaka yeye atakapoamua.

Nikauliza kama inaweza kuwa baada ya miaka elf 1, ikajibu kwamba inaweza kuwa milele "indefinetely"


View attachment 2675556

Inasikitisha sana kuona mpaka robots wanaukataa huu mkataba ulivyo wa hovyo, lakini ajabu viongozi wetu baadhi maprofesa wanajiaibisha kwamba kila kitu kiko sawa, Aibu tupu!

Ushauri wangu: mkataba uwe na kikomo cha muda, Mfano majirani wetu Zanzibar bandari yao hivi karibuni wamesaini mkataba wa miaka mitano na kampuni ya "The Africa Global Logistics - AGL", Sisi huku kwetu Tanzania Bara kwanini mkataba wetu hauna kikomo cha muda ? nachopendekeza mkataba uwe na muda wa kikomo, kwa sasa hao hao DP world wanaweza kuonekana waaminifu lakini hakuna aijuae kesho, wanaweza kuja kutukomoa huko mbele na hatuna cha kuwafanya, hii sio sawa kwa watoto na wajukuu zetu kuja kuumia kwenye jambo ambalo linaweza kurekebishwa ndani ya siku 1 tu bungeni.

kampuni iliyopita ya TICTS iliyosimamia bandari kwa miaka 22 ilikuwa na uwezo mdogo na madudu mengi haifai hata kidogo, suluhisho imebidi ije kampuni yenye ufanisi zaidi lakini hakuna sababu hata moja ya kujishusha kiasi hiki, Ni sawa na kwenda kwa mganga ukiwa na hali ya kawaida kiuchumi unataka pesa zaidi unapuuzia masharti lakini ukipata pesa unaanza kuona masharti ni magumu, unatamani kurudi hali ya zamani uwe huru lakini ndio hivyo tena huwezi.
Naomba kujua unatumiaje hii applications? Nisaidie kaka
 
Watanzania tuache undundu! Kwani ijienda milele huku tunapata chetu kuna shida gani? Tunahitaji ufanisi kwenye bandari yetu ili ituingizie pesa! Nyie endeleeni na vi-propaganda vyenu vya nyumbu wa Ufipa lakini sisi haturudi nyuma!!
 
Mama ana tatizo kwenye English lkn hamfikii jiwe. Jiwe yeye hakuwa na tatizo bali alikuwa hajui kabisa kiinglish
Kuna watu wapumbavu kabisa katika nchi hii! Udhaifu wanauona kwa mama tu!
 
Shida ya watu wale wengi shule hawajaenda halafu huona waraabu kama ni ndugu zao kumbe ni wafanyabiashara ya watumwa na pembe za ndovu.
wanaamini mwarabu akifaiika au hata akitapeli, wao pia wamefaidika kwasababu ni ndugu yao. is that what you mean?
 
fb8a12181aafe6ff7394a0c7a972b244.jpg
 
What effect can this cause in turn when normal reasoning is restored from Nyumbu Herding behaviour .suicidal? I guess.
I have thought it wise that, the definition should be an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of group objective, (conflict of interest), or fear of their leaders, (amygdala), by Ipyana Benny Haraba.. by the way you have made me improve this this definition, it will be in my entrepreneurship book to be released soon stay tuned
 
Wanadharau kuliko Yesu alivyotuita mbwa?:

Mathayo 5
25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
26 Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
Ukikaa na waislamu hauwezi kupata jema likakujenga. Ukiingia hata kwenye blog na website zao zaidi wanazungumzia Biblia Takatifu kuliko Quran. Mafundisho yao ni ya chuki zaidi kuhusu ukristo. Hapo ameelewa kuwaitwa mbwa. soma vizuri huo mstari utaelewa.
Najua shida ni lugha ndiyo maana huwezi kukuta muislamu anatoa hata mstari mmoja au kifungu kutoka kwenye Quran. Hapo atakimbilia kwenye Biblia Takatifu
Ukitaka kujua waislamu weupe
Nenda kwa shekh mwambie mimi ni mkristo nihubirie, mafundisho yako yanishawishi nisilimu. Ndiyo utajua hawa watu adui yao mkubwa ni ukristo. Atakosoa Biblia na neno la mwisho utasikia njoo kwenye dini ya haki
Nenda kwa mchungaji au padri mwambie mimi ni muislamu nihubirie niwe mkristo, hapo hautasika dini yako wala Quran imetajwa.
Hata ukiingia facebook, twitter au jamii forum huwezi kukuta muislam ametoa aya inayofundisha uislamu zaidi ya utakuta ameweka kifungu cha Biblia.
 
Ukikaa na waislamu hauwezi kupata jema likakujenga. Ukiingia hata kwenye blog na website zao zaidi wanazungumzia Biblia Takatifu kuliko Quran. Mafundisho yao ni ya chuki zaidi kuhusu ukristo. Hapo ameelewa kuwaitwa mbwa. soma vizuri huo mstari utaelewa.
Najua shida ni lugha ndiyo maana huwezi kukuta muislamu anatoa hata mstari mmoja au kifungu kutoka kwenye Quran. Hapo atakimbilia kwenye Biblia Takatifu
Ukitaka kujua waislamu weupe
Nenda kwa shekh mwambie mimi ni mkristo nihubirie, mafundisho yako yanishawishi nisilimu. Ndiyo utajua hawa watu adui yao mkubwa ni ukristo. Atakosoa Biblia na neno la mwisho utasikia njoo kwenye dini ya haki
Nenda kwa mchungaji au padri mwambie mimi ni muislamu nihubirie niwe mkristo, hapo hautasika dini yako wala Quran imetajwa.
Hata ukiingia facebook, twitter au jamii forum huwezi kukuta muislam ametoa aya inayofundisha uislamu zaidi ya utakuta ameweka kifungu cha Biblia.
Nimeusoma vizuri sana, na mimi kama Muislam nsiamini kama Yesu anaweza kusema maneno hayo kwa yeyote. Naamini huyo akiyeandika maneno hayo ni mbaguzi na alikuwa na sababu kuzuwa namna hiyo.

Mimi naamini Yesu alikuwa ni Mtume mwema wa Mwenyezi Mungu.

Wewe umesoma nilichokijibu kwa kutumia mistari hiyo ya biblia?
 
Kuna watu wapumbavu kabisa katika nchi hii! Udhaifu wanauona kwa mama tu!
Kwa hiyo wakija hela ya kodi tutakuwa tunagawiwa na ufanisi utakngezeka kupitia watu walewale waliopo pale. Hujafungwa minyororo wewe ungemjua tip wa ujiji ni nani na bagamoyo na slave Island nani alianzisha
 
Back
Top Bottom