Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

Sana tena, mtu nishalenga dili zangu la kuwapangisha nyumba DP World kwa Dirham.

Nishaanza na kuwanoa wajukuu Kiarabu chao, Mungu akiwajaalia wanaweza kupata wachumba wa Dubai huko, halafu wajinga wajinga wanataka kuleta kauzibe.
Aiseee


Kila nikisoma koment zako najikuta nazid kukupenda
 
It is common sense,kama wameonyesha kutokuwa na waaminifu tangia mwanzo,kwa nini tuendelee nao.Tenda hii itangazwe upya makampuni yanayotaka kuiendesha Bandari yashindanishwe kwa uwazi.Utapeli uliofanywa na akina Mbarawa haukubaliki.Ingekuwa China akina Mbarawa wangekuwa Hayati leo,bahati yao.
 
Mawakili wenu?!So wewe ni mmoja wa wanaouza nchi yetu eti?Ndio maana ulifurahi ndugu yako alipo olewa na familia ya Eugenicist Billy Gates,ni zuzu kweli kweli.
Hivyo unavyo wewe tu, hata mawakili wenu Mbeya hawajavitaja.
 
Huo sio mkataba ni makubaliano kati ya tz na dubai mikataba itakuwa kati ya TPA na dpw kumbuka kwenye chat gpt hujaweka ushahidi wa sheria ya ardhi ya 1999 hairuhusu mwekezaji kumiliki ardhi Tanzania. Haiwezekani dubai kujimilikisha kitu Nchi ina sheria zake
 
Itakuwa kichekesho.Wana moral authority gani ya kumpeleka mtu mahakamani.Halafuu,mbona hajataja mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…